Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Watu bana.Mtu kaweka kero yake mnaanza kuponda.Inaelekea ndio tabia zenu manake mnaacha kujadili mada mna jadili mengine
Wakuu,
Mimi niko chuoni UDSM nafanya Masters mwaka wa kwanza.
Muda mwingi huwa najipumzisha maeneo ya COET block P kwenye room yetu watu wa masters. Kwa kweli nimekua nikikelwa na hawa watoto wa kike kwa tabia zao chafu.
Unakuta mtu unajisomea litoto linatoka huko na kuanza kukuomba namba ya simu bila hata salamu. hujakaa sawa atakuomba hela ya lunch, jamani imekua kama ni tabia sasa. Manake tangu jumatatu nimefatwa na wasichana sita wote wakita namba yangu ya simu na kujitongozesha.
Ni tabia mbovu sana wakuu na inanikera. Usomi wa hawa watusiuoni kabisa. Ni wiki moja tu imepita wamewekewa boom ila cha kusikitisha wanaomba sana hela. Tena wanajirahisha sana kuhusu jambo la kugegedwa!
Sishangai maana kuna idadi kubwa ya wanafunzi wa kike wanasoma hata boom hawana na wanatokea familia maskini.Lakini na wewe jifunze kuandika kifasihi sio lazima kila mtu ajue unasoma Masters UDSM.
Mkuu taratibu jamani tuishi kwa adabu kidogo.Chakula cha hapo kitamu sana wala sio wasumbufu tuendako tutakuja kupata wabunge wauza k
Daah, kumbe ninapitwa na mambo mazuri kwa sababu tu ya kujichimbia library. Kuanzia kesho narudi uwanja wa nyumbani hapo PB 07, mimi nawatafuta sana wa hivyo. Kesho ukiona mtu anazugazuga na kilaptop humo ujue ni mimi!...Muda mwingi huwa najipumzisha maeneo ya COET block P kwenye room yetu watu wa masters....
BrajecMkuu hapo kwenye rangi nyekundu hapo nadhani pia ni chanzo, maana inaonekana utakuwa unaweka mazingira mwenyewe. Kwa level yako hutakiwi kupumzika hapo, ni kusoma tu, kapumzike UDASA, HILPARK, COET STAFF CAFETERIA n.k
Mkuu taratibu jamani tuishi kwa adabu kidogo.
Piga tuWakuu,
Mimi niko chuoni UDSM nafanya Masters mwaka wa kwanza.
Muda mwingi huwa najipumzisha maeneo ya COET block P kwenye room yetu watu wa masters. Kwa kweli nimekua nikikelwa na hawa watoto wa kike kwa tabia zao chafu.
Unakuta mtu unajisomea litoto linatoka huko na kuanza kukuomba namba ya simu bila hata salamu. hujakaa sawa atakuomba hela ya lunch, jamani imekua kama ni tabia sasa. Manake tangu jumatatu nimefatwa na wasichana sita wote wakita namba yangu ya simu na kujitongozesha.
Ni tabia mbovu sana wakuu na inanikera. Usomi wa hawa watusiuoni kabisa. Ni wiki moja tu imepita wamewekewa boom ila cha kusikitisha wanaomba sana hela. Tena wanajirahisha sana kuhusu jambo la kugegedwa!
Mkuu wewe ni MHAYA nini. Maana lengo la hii thread yako ni kutujulisha kuwa unasoma Masters UDSM. Ungepata sponsorship ya kusoma nje ya nchi sijui ungeweka kipasa sauti huko barabarani. Maana msichana yeyote hawezi kuomba namba ya simu kama wewe mwenyewe hujamchekea chekea.Wakuu, Mimi niko chuoni UDSM nafanya Masters mwaka wa kwanza. Muda mwingi huwa najipumzisha maeneo ya COET block P kwenye room yetu watu wa masters. Kwa kweli nimekua nikikelwa na hawa watoto wa kike kwa tabia zao chafu. Unakuta mtu unajisomea litoto linatoka huko na kuanza kukuomba namba ya simu bila hata salamu. hujakaa sawa atakuomba hela ya lunch, jamani imekua kama ni tabia sasa. Manake tangu jumatatu nimefatwa na wasichana sita wote wakita namba yangu ya simu na kujitongozesha. Ni tabia mbovu sana wakuu na inanikera. Usomi wa hawa watusiuoni kabisa. Ni wiki moja tu imepita wamewekewa boom ila cha kusikitisha wanaomba sana hela. Tena wanajirahisha sana kuhusu jambo la kugegedwa!
Mkuu huyo jamaa ni MHAYA na alitaka kuwajulisha wana jf kwamba na yeye anasoma Masters UDSM. Si unajua tena WAHAYA wanavyofikiri kuwa Masters is a big deal while it is as good as a graduate.Nina mashaka na mleta mada!!! Kwa tuliosoma pale recently hayo hayapo!!
katika hao 6 mie ni mmoja wapo!!!!!!!
msomi wa kihaya umekuja kutusema huku JF
JJB,kutowaambia huko na kuja hapa kukashifu wanafunzi wa kike wa UDSM ni kukosa ujasiri na kujiamini.Kama wewe ni mwananume usiyekubaliana na hilo,waambie huko huko.Ifikie mahali,msilete ajenda zenu za kitoto hapa.Unataka kuchafua sifa ya UDSM? Kuwa makini kijana
Mzee Tupatupa