Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Vyuoni hulazimisha kuvaa hadi wakati wa mtihani kwani huficha vibomu na wengine hufanyiwa mtihani hususani wavaa Juba au nikabu zile zinazoficha hadi sura. Nilimshuhudia mmoja SUA 2006 nilipokuwa nasoma pale.

Nje ya mada, huyo kwenye picha ya mleta uzi ndio mleta uzi mwenyewe au?
Yap wanazitumia kuficha nyoka aka snake 🐉
Wafate kanuni za chuo au waende wakasome kwenye vyuo vyao vya kiislqm vya afya,Kama wanavyo lakini.
 
Wazuiliwe tu hata ikiwezekana wapigwe marufuku kujifukiza bila kupenda jua lote hilo na miguo myeusi utadhani majini ya mayele!

Ufaransa walishapiga marufuku hiyo minguo
Ufaransa walipiga marufuku niqab sio kuvaa nguo za stara. Ushungi na baibui unavaa kama kawaida isipokuwa kufunika uso kama ninja.

Halafu usilazimishe dada zetu wavae uchi kama dada zako wafanyavyo hadi makanisani kwa kisingizio cha jua kali.
 
Ikitokea sehemu ya waislamu ikakataa mavazi yao ,hilo balaa lake 😁😁😁wala nguruwe utasikia sijui Mung anaangalia moyo.

Hapo wanatetea eti kwa vile Sheria za kikristo...kama hamruhusu basi toeni na lile sanamu lililovaa hijab pale

Hili sanamu mulitoe kabisa maana limevaa hijab😅😅👇
View attachment 2919690
Wala haichekeshi
Si muwashauri wakasome kwenye vyuo vyenu vya kiislqm vya afya,au hamna vyuo hivyo?
Mna madrasat tu 🤣🤣watoto wa mudy mna laana.
 
Mimi bado mpaka leo nailaumu Serikali kwa kuruhusu vazi la Hijab kwenye shule za msingi na sekondari! Kwenye vyuo sina tatizo maana pale ni watu wazima wana uhuru wa kuchagua!
Unailaumu kwanini? Unataka watoto wasifurahie uhuru wao wa imani kwa mujibu wa katiba?

Unadhani ni privilege tu serikali kuruhusu vazi la hijabu? Wamelazimika kwasababu kuna uhuru wa imani kwenye katiba.
 
Ufaransa walipiga marufuku niqab sio kuvaa nguo za stara. Ushungi na baibui unavaa kama kawaida isipokuwa kufunika uso kama ninja.

Halafu usilazimishe dada zetu wavae uchi kama dada zako wafanyavyo hadi makanisani kwa kisingizio cha jua kali.
Kasomeni kwenye vyuo vyenu binavyoruhusu hayo mavazi👌
Au hata hivyo vyuo hamna?🤣🤣
Mnajua kujenga madrasat tu🤣🤣🤣
 
Pumbavu kabsaa chuo cha kanisa mnaleta Mambo yenu ya kiislam mpeleke MUM kule morogoro
Mbona pale MUM mnalazimisha kila msichana kuvaa hijab?
Chuo hakitak hayo mango basi tafuta chuo kingine
Mijitu mijinga
Ni chuo cha masista pekee ama kinachopokea wanafunzi wa imani tofauti?
 
Wala haichekeshi
Si muwashauri wakasome kwenye vyuo vyenu vya kiislqm vya afya,au hamna vyuo hivyo?
Mna madrasat tu 🤣🤣watoto wa mudy mna laana.
Toeni sanamu maana roho inawasuta 😅😅😅.

Sanamu linawaumbua hapo

statue-maria-jesus-hold-thai-church-34522085.jpg
 

Attachments

  • statue-maria-jesus-hold-thai-church-34522085.jpg
    statue-maria-jesus-hold-thai-church-34522085.jpg
    148.6 KB · Views: 1
Chuo kina dressing code yake wafuate sheria sio kila jambo ni la kulalamika
Watataka Chuo kiwaruhusu Majuba, Kisha watataka Wajengewe Msikiti hapo hapo Chuoni...Kisha watataka Ijumaa isiwe siku ya Masomo kisha watataka Wakati wa Mfungo Mchana Kusiwepo Chakula Chuo chote Kisubirie Futari! Watataka Mida ya Swala Masomo Yasimamishe....... watataka weee wataka weee.....Chuo Kizima wote wawe Waislam
 
Watataka Chuo kiwaruhusu Majuba, Kisha watataka Wajengewe Msikiti hapo hapo Chuoni...Kisha watataka Ijumaa isiwe siku ya Masomo kisha watataka Wakati wa Mfungo Mchana Kusiwepo Chakula Chuo chote Kisubirie Futari! Watataka Mida ya Swala Masomo Yasimamishe....... watataka weee wataka weee.....Chuo Kizima wote wawe Waislam
Dini ya mazombie hii
 
Back
Top Bottom