Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Suala ni kuwa hawa watoto wanakutana na changamoto nyingi za kumaadili. Kuna wanafunzi wa Muhas, wafanyakazi wa mall, azaboy, Mara DIT Tambaza halafu kuna zile hostel maeneo ya jangwani hapo. Bado zile ibada zao za pamoja na boys. Then. Hao advance ni wakubwa wanavutia hadi wafanyakazi vijana mabazazi.
Pia maadili pale shuleni so makali sana nilihudhuria graduu 2014 niliona kitu amabcho sikukitegemea ktk shule kama ile
James! Wajina Na naniliu..
Umefanya utafiti eeh??
 
Tangu Matokeo ya Kidato cha sita yatangazwe na Jangwani Kufanya Vibaya.
Na vyombo vya habari kwenda na kuhoji wanafunzi mbalibali na Walimu takribani 39 kuhamishwa.
Imebainika ya kwamba,sasa wanafunzi hao kila wapitapo na sketi zao za Rangi ya Chungwa .Wanaonja chungu ya Zomeazomea mitaani ..
Hi imetokea baadhi ya mitaa ya Kariakoo na Kimara na kwingineko.
Vijana hasa wa Bodaboda wanazomea wakisema.
Haooooo mmefeli kwa jili ya uhuni..n.k
Jamani .
Jamii lazima kwa pamoja tukemee suala hili.
Kwani pamoja na Kufeli kwao kusababishwa na Mambo mbalimbali.
Lakini hatupaswi kuachia hali hii kuendelea Kwani tutasababisha Msongo kwa wasichana hawa na kujisikia wanyonge..
Cha ajabu.Waliofeli wapo majumbani wametulia. Na wasichojua ni kwamba Mork ya Form 4 iliyofanyika hivi karibuni.Jangwani Imeshika no.1 kimkoa.
Kwa hiyo sio kwamba kufeli kwa form 6,wa hapo shule lawama na kejeri wapewe wanafunzi wote.
Jamii isaidie kukemea wale wote watakaonekana wakiwakosesha Raha wanafunzi hawa.
Binafsi nilifanikiwa kukutana na baadhi ya wanafunzi wa hapo na wakanielezea madhira wanayokutana nayo kwa sasa baada ya kutangazwa kwenye vyombo vya habari Na wengine wanajisikia Soni kivaa sketi hizo(Rangi ya chungwa)
Cha ajabu waandishi wa habari mazuri ya Jangwani hawayavumishiii Bali wanavumisha mabaya.
Ikumbukwe mwaka 2016,Azania Shule jirani na Jamgwani ya Boys ilishika mkia matokeo ya form 6 ikapelekea Mkuu wa shule kushushwa cheo na wengine kuhamishwa kama ilivyotokea kwa Jangwani..
Lakini mwaka huu Azania kimkoa (Dar)imeshika no.1 hatujaona waandishi wa Habari au viongozi wakipongeza.Na kuna watu wengi wakijua sifa ya Zamani kwamba Azania ni ya Kufeli tu kwa sasa.

Cha kujifunza hapa ni kwamba Watu wanaweza wakafanya makosa Leo wakajifunza au kujirekebisha kesho.
Mfano.Walimu wamehamishwa Jangwani kwa kuwa form 6,wamefeli
Lakini ni Walimu haohao walioiwezesha Jangwani kushika nafasi ya 1 kimkoa kwa Morck kwa form 4(kumbuka Morck ni kipimo kizuri kwa matokeo ya Kitaifa)
Watanzania Tukemee tabia mbaya inayomea miongoni mwetu Na tupende kupongeza pale tunapoona Wenzetu wamefanya vyema.
Tukosoe kwa nia ya kurekebisha Na Si kwa lengo la Kunyanyasa Na kudhalilisha.
(Character assassination) Ni mbaya sana kwenye jamii hupelekea hata watu kujinyonga.
Let us Change our Mentality for our Better Generation.
Changes begins with you.!!
Iliyoshika namba 1 kimkoa kwenye Moko sio Jangwani ni Kibasila.
Tena imeongoza kwenye shule za Serikali,ila kwenye shule zote 300 yaani Public and Private Schools bado iko mbali sana almost ya 40+
Kama sio 44 basi 45.
Nenda kapitie data zako.
 
Tofautisha kibaha na jangwani!halafu kibaha wanaenda best students
Jangwani pia wanaenda best stidents.
Kwa DSM
1.Jangwani
2.Zanaki
3.Pugu
4.BENJA
5.DAR ES SALAAM SEC
6.Kibasila
7.Nimeisahau.
Hizi shule wanaenda best students.
Mwanafunzi asiposoma ni kwamba ATAFELI
 
Na kingine. Naona walimu wa nidhamu ni wa ovyo..matron nae atakua waovyo..nakumbuka enzi zile kulikua na matron huyo eti uage kwenda mjini aruhusu kizembezembe subutuuu...na akikupa ruhusa akisema mda flani uwe hapa alikua anaongea kwa kumaanisha

Ukija upande wa nidhamu nako motoo hakuna kufanya ujinga ujinga

Siku hizi sasa...ovyooo kabisa

Akifeli mwanafunzi lawama kwa mwalimu.
Hivi mwanafunzi wa kidato cha VI hajui anapaswa kufanya nini?Na hapaswi kufanya nini?
 
Sio ndio hicho cha kushangaza sasa!

Kwa nini wao ndio waonekane ku fail sasa?

Wamekosea sawa, waonywe sawa, lakini sio kwa hivi.
Ni kweli kuzomewa kubaya ila lazima wanafunzi wa DAR wabadilike.
Hao waliobaki Jangwani bado ni tatizo.
Kwa muda sasa tangu 2017 na sasa 2018 Dar inaingia kwenye matokeo mabovu.
Watoto wabadilike,wazaz wasiwe busy kiasi cha kushindwa kujua taaluma za watoto zao.Nimeshuhudia somewhere watoto wamatembea na bisis bisis na visu na kusumbuana na walimu.
Shule kama Manzese,Mugabe na Mburahati walimu wameamua kukaa pembeno kuwaacha tu watoto kwa sababu ya utukutu.
Sasa naona jamii imeamua kuwabadilikia.
Pale Fire utakuta wale watoto wamekaa tu hawapandi daladala hawaendi shule.
Zile sketi na raba nyeupe zinawapumbaza sana.
Kuzomewa ni mojawapo ya Reward.
Alizomewa mzee wa Msoga pale udsm iwe hao watoto wa jangwani?

Halafu matokeo ya Jangwani yamewauma sana watawala na wadau wengine.Kwenye zile shule 10 kwa Dar kuna shule 2
Zenji kuna shule 2 why JANGWANI?
Watoto wa mjini wabadilike.
Watapata tabu sana
Screenshot_20180717-213913.jpg
 
Tangu Matokeo ya Kidato cha sita yatangazwe na Jangwani Kufanya Vibaya.
Na vyombo vya habari kwenda na kuhoji wanafunzi mbalibali na Walimu takribani 39 kuhamishwa.
Imebainika ya kwamba,sasa wanafunzi hao kila wapitapo na sketi zao za Rangi ya Chungwa .Wanaonja chungu ya Zomeazomea mitaani ..
Hi imetokea baadhi ya mitaa ya Kariakoo na Kimara na kwingineko.
Vijana hasa wa Bodaboda wanazomea wakisema.
Haooooo mmefeli kwa jili ya uhuni..n.k
Jamani .
Jamii lazima kwa pamoja tukemee suala hili.
Kwani pamoja na Kufeli kwao kusababishwa na Mambo mbalimbali.
Lakini hatupaswi kuachia hali hii kuendelea Kwani tutasababisha Msongo kwa wasichana hawa na kujisikia wanyonge..
Cha ajabu.Waliofeli wapo majumbani wametulia. Na wasichojua ni kwamba Mork ya Form 4 iliyofanyika hivi karibuni.Jangwani Imeshika no.1 kimkoa.
Kwa hiyo sio kwamba kufeli kwa form 6,wa hapo shule lawama na kejeri wapewe wanafunzi wote.
Jamii isaidie kukemea wale wote watakaonekana wakiwakosesha Raha wanafunzi hawa.
Binafsi nilifanikiwa kukutana na baadhi ya wanafunzi wa hapo na wakanielezea madhira wanayokutana nayo kwa sasa baada ya kutangazwa kwenye vyombo vya habari Na wengine wanajisikia Soni kivaa sketi hizo(Rangi ya chungwa)
Cha ajabu waandishi wa habari mazuri ya Jangwani hawayavumishiii Bali wanavumisha mabaya.
Ikumbukwe mwaka 2016,Azania Shule jirani na Jamgwani ya Boys ilishika mkia matokeo ya form 6 ikapelekea Mkuu wa shule kushushwa cheo na wengine kuhamishwa kama ilivyotokea kwa Jangwani..
Lakini mwaka huu Azania kimkoa (Dar)imeshika no.1 hatujaona waandishi wa Habari au viongozi wakipongeza.Na kuna watu wengi wakijua sifa ya Zamani kwamba Azania ni ya Kufeli tu kwa sasa.

Cha kujifunza hapa ni kwamba Watu wanaweza wakafanya makosa Leo wakajifunza au kujirekebisha kesho.
Mfano.Walimu wamehamishwa Jangwani kwa kuwa form 6,wamefeli
Lakini ni Walimu haohao walioiwezesha Jangwani kushika nafasi ya 1 kimkoa kwa Morck kwa form 4(kumbuka Morck ni kipimo kizuri kwa matokeo ya Kitaifa)
Watanzania Tukemee tabia mbaya inayomea miongoni mwetu Na tupende kupongeza pale tunapoona Wenzetu wamefanya vyema.
Tukosoe kwa nia ya kurekebisha Na Si kwa lengo la Kunyanyasa Na kudhalilisha.
(Character assassination) Ni mbaya sana kwenye jamii hupelekea hata watu kujinyonga.
Let us Change our Mentality for our Better Generation.
Changes begins with you.!!


Alafu inaonekana kama si mwalimu wa jangwani au umesoma jangwa


Jokes
 
Jangwani girls are not beyond reproach.

But equally, there is such a thing as blaming the victim.

Let us investigate the root cause well with a finely toothed comb before jumping to superficial conclusions and sacrifice scapegoats like sassy simpletons.


Mkoroshokigoli naomba uone hii point kwanza.

I think one of the starting point to the best solution ni kuchimba the root of the problem.
Kuangalia kwanza kiundani tatizo lilikuwa wapi badala ya ku jump into conclusion na kuanza kuwa Judge kuwa ni watoto wa mjini.
What if tatizo ni walimu na sio wao.

Umeona hapo juu kuwa wanaruhusiwa kuingia darasani na simu. That's not okay.
Teachers are supposed to be held responsible for that, na sio wanafunzi.
 
Iliyoshika namba 1 kimkoa kwenye Moko sio Jangwani ni Kibasila.
Tena imeongoza kwenye shule za Serikali,ila kwenye shule zote 300 yaani Public and Private Schools bado iko mbali sana almost ya 40+
Kama sio 44 basi 45.
Nenda kapitie data zako.
Nimerekebisha on some of my comments Ni Ya Kwanza Kiwilaya.Leta Data za Wilaya ...especially Ilala
 
Best chezeaa lift ww??
Pale karibu na shuleno kwao.zimefunguliwa.mall mbili mambo ya movie utawaambiaa nn??

Ni ndoto ya kila mdada kufaulu jangwani ili avae sketi fupi lols
Bora mi nilijisomeaaga jitegemeee pale ni bakoraa masaa 24 hata ukiwa nje ya shule
Tena jitegemee ukiingia gateni kama unaingia gerezani
 
Jangwani pia wanaenda best stidents.
Kwa DSM
1.Jangwani
2.Zanaki
3.Pugu
4.BENJA
5.DAR ES SALAAM SEC
6.Kibasila
7.Nimeisahau.
Hizi shule wanaenda best students.
Mwanafunzi asiposoma ni kwamba ATAFELI
Best wa Jangwani na Dar es Salaam siyo sawa na Best wa Kibaha,Mzumbe, Ilboru na Tabora Boys
 
Mkoroshokigoli naomba uone hii point kwanza.

I think one of the starting point to the best solution ni kuchimba the root of the problem.
Kuangalia kwanza kiundani tatizo lilikuwa wapi badala ya ku jump into conclusion na kuanza kuwa Judge kuwa ni watoto wa mjini.
What if tatizo ni walimu na sio wao.

Umeona hapo juu kuwa wanaruhusiwa kuingia darasani na simu. That's not okay.
Teachers are supposed to be held responsible for that, na sio wanafunzi.
Zamani nilikuwa na tabia kama za Magufuli za kuita/ kuona watu wanaofeli mitihani vilaza.

Lakini Tanzania - not necessarily Jangwani- kuna sababu nyingi sana watu wanafeli.

Kuna watu hawana miwani tu, na hata hawajui kwamba wana matatizo ya macho wanahitaji miwani, wanaona kawaida, kwa sababu vijijini kwao huko watu hawavai miwani sana.

Na hawa (victims wa jamii ambayo kuvaa miwani ni anasa) wakifeli watasemwa vilaza.

Halafu mimi nahoji dhana nzima ya kwamba wanafunzi wa maswekeni huko wakiwa wa mwisho ni poa tu, hakuna anayelalamika, lakini siku wananfunzi wa maswekeni wakilipiza kisasi na kuchukua "nafasi ya Jangwani" ya juu, licha ya kukosa miwani na taa, halafu wanafunzi wa Jangwani wakachukua nafasi ambayo tulitegemea na kutarajia kwamba iwe ni nafasi ya wanafunzi wa maswekeni, hilo liwe ni tatizo la kitaifa linalotakiwa kutungiwa muswada pekee wa kupelekwa Bungeni kwa jina la "Saidia Jangwani Isishuke Daraja la Msimbazi"
 
Zama hizi siyo zama kama za zamani siku hizi Kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe.Kama hutaki kusoma unasubiri mwalimu akufosi wakati naye anahangaika na wanawe utafeli tu
Nashangaa wanaolalamika kuhusu Jangwani.
Mtoto anafundishwa na hasomi.
Kazi ya mwalimu ni kufundisha.
Suala la kufaulu ni la mtoto.
Hapo jamii inapaswa kuelewa
 
Back
Top Bottom