Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Na wazomewe tuuu baada ya kusoma vyenyewe vnashinda insta yaan hiki kizazi mungu saidia aseee
 
Tangu Matokeo ya Kidato cha sita yatangazwe na Jangwani Kufanya Vibaya.
Na vyombo vya habari kwenda na kuhoji wanafunzi mbalibali na Walimu takribani 39 kuhamishwa.
Imebainika ya kwamba,sasa wanafunzi hao kila wapitapo na sketi zao za Rangi ya Chungwa .Wanaonja chungu ya Zomeazomea mitaani ..
Hi imetokea baadhi ya mitaa ya Kariakoo na Kimara na kwingineko.
Vijana hasa wa Bodaboda wanazomea wakisema.
Haooooo mmefeli kwa jili ya uhuni..n.k
Jamani .
Jamii lazima kwa pamoja tukemee suala hili.
Kwani pamoja na Kufeli kwao kusababishwa na Mambo mbalimbali.
Lakini hatupaswi kuachia hali hii kuendelea Kwani tutasababisha Msongo kwa wasichana hawa na kujisikia wanyonge..
Cha ajabu.Waliofeli wapo majumbani wametulia. Na wasichojua ni kwamba Mork ya Form 4 iliyofanyika hivi karibuni.Jangwani Imeshika no.1 kimkoa.
Kwa hiyo sio kwamba kufeli kwa form 6,wa hapo shule lawama na kejeri wapewe wanafunzi wote.
Jamii isaidie kukemea wale wote watakaonekana wakiwakosesha Raha wanafunzi hawa.
Binafsi nilifanikiwa kukutana na baadhi ya wanafunzi wa hapo na wakanielezea madhira wanayokutana nayo kwa sasa baada ya kutangazwa kwenye vyombo vya habari Na wengine wanajisikia Soni kivaa sketi hizo(Rangi ya chungwa)
Cha ajabu waandishi wa habari mazuri ya Jangwani hawayavumishiii Bali wanavumisha mabaya.
Ikumbukwe mwaka 2016,Azania Shule jirani na Jamgwani ya Boys ilishika mkia matokeo ya form 6 ikapelekea Mkuu wa shule kushushwa cheo na wengine kuhamishwa kama ilivyotokea kwa Jangwani..
Lakini mwaka huu Azania kimkoa (Dar)imeshika no.1 hatujaona waandishi wa Habari au viongozi wakipongeza.Na kuna watu wengi wakijua sifa ya Zamani kwamba Azania ni ya Kufeli tu kwa sasa.

Cha kujifunza hapa ni kwamba Watu wanaweza wakafanya makosa Leo wakajifunza au kujirekebisha kesho.
Mfano.Walimu wamehamishwa Jangwani kwa kuwa form 6,wamefeli
Lakini ni Walimu haohao walioiwezesha Jangwani kushika nafasi ya 1 kimkoa kwa Morck kwa form 4(kumbuka Morck ni kipimo kizuri kwa matokeo ya Kitaifa)
Watanzania Tukemee tabia mbaya inayomea miongoni mwetu Na tupende kupongeza pale tunapoona Wenzetu wamefanya vyema.
Tukosoe kwa nia ya kurekebisha Na Si kwa lengo la Kunyanyasa Na kudhalilisha.
(Character assassination) Ni mbaya sana kwenye jamii hupelekea hata watu kujinyonga.
Let us Change our Mentality for our Better Generation.
Changes begins with you.!!
Hao wanaowazomea hawakufika hata form 1, ujinga wao na kufuata mkumbo tuu. Tukemee udhalilishaji huu
 
waweza niambia umemaliza jite mwaka gan kama hutojali
Best chezeaa lift ww??
Pale karibu na shuleno kwao.zimefunguliwa.mall mbili mambo ya movie utawaambiaa nn??

Ni ndoto ya kila mdada kufaulu jangwani ili avae sketi fupi lols
Bora mi nilijisomeaaga jitegemeee pale ni bakoraa masaa 24 hata ukiwa nje ya shule
 
Wahuni wanafanya Na nani uhuni.Wanaume wavulana..Muache kuwafuatafuata Na vilift vyenu

Mimi lifti yangu mpaka nikufahamu au nikujue... zaidi ya hapo hapana...

Unajua inakuaje, wanajikuta wanamekutana wanafunzi kutoka shule mbali mbali waliyochaguliwa kujiunga na Jangwani...
Tabia zao zinakua tofauti tofauti, sasa wale waliotoka na tabia za ujanja ujanja wa kihuni kwingine hutumbukiza wenzao kwenye uhuni...

Wengi hata hawafuatwi fuatwi, wao ndiyo hufuata fuata, kujichelewesha vituoni bila sababu... kupenda lifti za watu wasiyowajua...


Cc: mahondaw
 
Kule kwetu uswahilini ulikuwa ukiwa kikojozi lazima upigiwe ule wimbo wa kindumbwe ndumbwe. Dhana ilikuwa ni kukufanya uache tabia ya kukojolea kitandani. Na ilisaidia sana.
Hao wazomewe tu hadi yatakapotoka matokeo mengine tujue kuwa wameacha uzwazwa. Wazee wao tunajitahidi sana kuwafanyia vitu vizuri na wema lakini wanajiona wanajua na wajeuri kisa bolo na kujifanya wa mjini. Sehemu nyingine huko vijijini, Msichana anatembea umbali mrefu kuifuata shule na kukumbana na vishawishi vingi na hana tution lkn bado anapata angalau div 3. Njoo sasa hao wa mjini, beg kubwa la tution siku za wkend, kaweka kanga na dela, akitoka kipindi kimoja anapitia kwa bwana anarudi nymbani saa 2 usiku.
Mamaeeeeee, zomea hao!!!!!!!!!
 
Chakushangaza hao wanaowazomea wenyewe pia ni failure!
Sio kitu kizuri kwa sababu wanawaharibu kisaikolojia.
Kufeli sio kitu cha ajabu kwani hata hao walioanza kurusha ndege huko angani walikumbana na changamoto kibao ila sasa ndege zinapaa vizuri tuu na kutua.
Mkuu ni kweli kufail si kitu cha ajabu, tatizo sababu zinazokufanya ufeli. Hao watoto tution wao. Hawana sababu coz dar upatikanaji wa elimu ni rahisi kuliko baadhi ya mikoa. Hao wanafail coz ujuha wa ujana wameuweka mbele sana. Changamoto wanazopata wa mikoa mingine wao hawana.
 
Nje ya Mada: Yule mtoto wa Kitwana Kondo ambaye mzee Ruksa alijitwalia hivi si alikuwa anasoma Jangwani eeee!!!!
 
Mkuu ni kweli kufail si kitu cha ajabu, tatizo sababu zinazokufanya ufeli. Hao watoto tution wao. Hawana sababu coz dar upatikanaji wa elimu ni rahisi kuliko baadhi ya mikoa. Hao wanafail coz ujuha wa ujana wameuweka mbele sana. Changamoto wanazopata wa mikoa mingine wao hawana.
Kuwakosoa ni sawa ila hayo mengine ni kuwaharibu kisaikolojia na hii itawafanya hata wanaosoma hapo sasa kupoteza munkari/morali ya kusoma so mnaweza pata matokeo mengine mabovu tena mwakani simoly kwa sababu hiyo shule mumeiwekea picha mbaya.
 
Tangu Matokeo ya Kidato cha sita yatangazwe na Jangwani Kufanya Vibaya.
Na vyombo vya habari kwenda na kuhoji wanafunzi mbalibali na Walimu takribani 39 kuhamishwa.
Imebainika ya kwamba,sasa wanafunzi hao kila wapitapo na sketi zao za Rangi ya Chungwa .Wanaonja chungu ya Zomeazomea mitaani ..
Hi imetokea baadhi ya mitaa ya Kariakoo na Kimara na kwingineko.
Vijana hasa wa Bodaboda wanazomea wakisema.
Haooooo mmefeli kwa jili ya uhuni..n.k
Jamani .
Jamii lazima kwa pamoja tukemee suala hili.
Kwani pamoja na Kufeli kwao kusababishwa na Mambo mbalimbali.
Lakini hatupaswi kuachia hali hii kuendelea Kwani tutasababisha Msongo kwa wasichana hawa na kujisikia wanyonge..
Cha ajabu.Waliofeli wapo majumbani wametulia. Na wasichojua ni kwamba Mork ya Form 4 iliyofanyika hivi karibuni.Jangwani Imeshika no.1 kimkoa.
Kwa hiyo sio kwamba kufeli kwa form 6,wa hapo shule lawama na kejeri wapewe wanafunzi wote.
Jamii isaidie kukemea wale wote watakaonekana wakiwakosesha Raha wanafunzi hawa.
Binafsi nilifanikiwa kukutana na baadhi ya wanafunzi wa hapo na wakanielezea madhira wanayokutana nayo kwa sasa baada ya kutangazwa kwenye vyombo vya habari Na wengine wanajisikia Soni kivaa sketi hizo(Rangi ya chungwa)
Cha ajabu waandishi wa habari mazuri ya Jangwani hawayavumishiii Bali wanavumisha mabaya.
Ikumbukwe mwaka 2016,Azania Shule jirani na Jamgwani ya Boys ilishika mkia matokeo ya form 6 ikapelekea Mkuu wa shule kushushwa cheo na wengine kuhamishwa kama ilivyotokea kwa Jangwani..
Lakini mwaka huu Azania kimkoa (Dar)imeshika no.1 hatujaona waandishi wa Habari au viongozi wakipongeza.Na kuna watu wengi wakijua sifa ya Zamani kwamba Azania ni ya Kufeli tu kwa sasa.

Cha kujifunza hapa ni kwamba Watu wanaweza wakafanya makosa Leo wakajifunza au kujirekebisha kesho.
Mfano.Walimu wamehamishwa Jangwani kwa kuwa form 6,wamefeli
Lakini ni Walimu haohao walioiwezesha Jangwani kushika nafasi ya 1 kimkoa kwa Morck kwa form 4(kumbuka Morck ni kipimo kizuri kwa matokeo ya Kitaifa)
Watanzania Tukemee tabia mbaya inayomea miongoni mwetu Na tupende kupongeza pale tunapoona Wenzetu wamefanya vyema.
Tukosoe kwa nia ya kurekebisha Na Si kwa lengo la Kunyanyasa Na kudhalilisha.
(Character assassination) Ni mbaya sana kwenye jamii hupelekea hata watu kujinyonga.
Let us Change our Mentality for our Better Generation.
Changes begins with you.!!
Acha Wazomewe tu Ili Wapate Mizuka Ya Kusoma Wafaulu Vizuri!Halafu Mtihani wa Mock Kitu Gani Bwana!Hiyo Mitihani Haina Inshu Siku Izi Zaidi Ya Kupiga Hela Tu Ya Mitihani Hiyo!Kitu NECTA kubwa la Maadaui!
 
Kule kwetu uswahilini ulikuwa ukiwa kikojozi lazima upigiwe ule wimbo wa kindumbwe ndumbwe. Dhana ilikuwa ni kukufanya uache tabia ya kukojolea kitandani. Na ilisaidia sana.
Hao wazomewe tu hadi yatakapotoka matokeo mengine tujue kuwa wameacha uzwazwa. Wazee wao tunajitahidi sana kuwafanyia vitu vizuri na wema lakini wanajiona wanajua na wajeuri kisa bolo na kujifanya wa mjini. Sehemu nyingine huko vijijini, Msichana anatembea umbali mrefu kuifuata shule na kukumbana na vishawishi vingi na hana tution lkn bado anapata angalau div 3. Njoo sasa hao wa mjini, beg kubwa la tution siku za wkend, kaweka kanga na dela, akitoka kipindi kimoja anapitia kwa bwana anarudi nymbani saa 2 usiku.
Mamaeeeeee, zomea hao!!!!!!!!!
 
Suala ni kuwa hawa watoto wanakutana na changamoto nyingi za kumaadili. Kuna wanafunzi wa Muhas, wafanyakazi wa mall, azaboy, Mara DIT Tambaza halafu kuna zile hostel maeneo ya jangwani hapo. Bado zile ibada zao za pamoja na boys. Then. Hao advance ni wakubwa wanavutia hadi wafanyakazi vijana mabazazi.
Pia maadili pale shuleni so makali sana nilihudhuria graduu 2014 niliona kitu amabcho sikukitegemea ktk shule kama ile
 
Back
Top Bottom