Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Kwenye maadili naunga mkono..Jangwani ya sasa iko ovyo sana kimaadili..
Afsa Elimu Ngonyani Ilala muda alitakaga kumtimulia mbali Mkuu wa Jangwani akakingiwa kifua.Mwache aende sasa Goba kata Seco akili ikamkae sawa
 
Siku zote walioshindwa ndio hucheka wenzao wanaposhindwa..
Watu wenyew wanaowazomea wanafunzi ni bodaboda ambao wao nao walifeli hakuna haja ya kuumia
Kweli but wengine sio Hata Boda boda.Huwezi Amini mpaka shule zingine wanawazomea.'hiyooo hiyooooo Zerooo zeroooo hayooo
 
Jangwani girls are not beyond reproach.

But equally, there is such a thing as blaming the victim.

Let us investigate the root cause well with a finely toothed comb before jumping to superficial conclusions and sacrifice scapegoats like sassy simpletons.
 
Na kingine. Naona walimu wa nidhamu ni wa ovyo..matron nae atakua waovyo..nakumbuka enzi zile kulikua na matron huyo eti uage kwenda mjini aruhusu kizembezembe subutuuu...na akikupa ruhusa akisema mda flani uwe hapa alikua anaongea kwa kumaanisha

Ukija upande wa nidhamu nako motoo hakuna kufanya ujinga ujinga

Siku hizi sasa...ovyooo kabisa
Kuchunga Mtoto wa kike Ni Tabu Na sana
 
mnawaathiri kisaikolojia hata mm sijapenda, watashindwa kuwa na confidence hata wakipita mitaani.
Kama wewe ni mtu mzima una akili timanu huwezi kusapoti hili.
Hakuna shule haina uhuni hakuna kabisa.
na hio haimaanishi shule hio haifanyi vizuri.. kuwazomea ni kuwafanya wazidi kufanya vibaya zaidi.
Watu wazima na sisi tujitambue
 
Kufeli mitihani ni matokeo kama matokeo mengine. Watanzania ni watu wa ajabu sana mbona sisikii mkiwahoji walioshika namBa 1 walitumia njia gani ili walioanguka wajifunze kwao?
Point kubwa sana
 
  • Thanks
Reactions: o_2
Mimi lifti yangu mpaka nikufahamu au nikujue... zaidi ya hapo hapana...

Unajua inakuaje, wanajikuta wanamekutana wanafunzi kutoka shule mbali mbali waliyochaguliwa kujiunga na Jangwani...
Tabia zao zinakua tofauti tofauti, sasa wale waliotoka na tabia za ujanja ujanja wa kihuni kwingine hutumbukiza wenzao kwenye uhuni...

Wengi hata hawafuatwi fuatwi, wao ndiyo hufuata fuata, kujichelewesha vituoni bila sababu... kupenda lifti za watu wasiyowajua...


Cc: mahondaw
Unajua Form Six wa Jangwani wengi ni Wa Hostel??
Ila sasa nasikia hakuna tena kutoka humo ndani .Watajuta.
Ndo masharti mapya hayo
 
Back
Top Bottom