Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Chakushangaza hao wanaowazomea wenyewe pia ni failure!
Sio kitu kizuri kwa sababu wanawaharibu kisaikolojia.
Kufeli sio kitu cha ajabu kwani hata hao walioanza kurusha ndege huko angani walikumbana na changamoto kibao ila sasa ndege zinapaa vizuri tuu na kutua.
Point sana hii.
Ni sawa Na mwizi akona mwizi mwenzie anapigwa mawe naye anasaidia..
Hao wanaozomea wanafunzi wa Jangwani Si wengine hata kuonja la 7 hawajawai.
 
Pale mambo yanapornda vibaya si dhambi kuzomelewa! Na pale yanapienda vema si dhambi kupongeza!

Hiyo ndio asili ya tabia ya mwanadamu!

Yatapita tu hayo yanayoendea sasa. La msingi waweke bidii katika masomo ili mwakati washangiliwe na si kuzomewa tena!
Aiseeeee!
 
Kufeli mitihani ni matokeo kama matokeo mengine. Watanzania ni watu wa ajabu sana mbona sisikii mkiwahoji walioshika namBa 1 walitumia njia gani ili walioanguka wajifunze kwao?
 
Best chezeaa lift ww??
Pale karibu na shuleno kwao.zimefunguliwa.mall mbili mambo ya movie utawaambiaa nn??

Ni ndoto ya kila mdada kufaulu jangwani ili avae sketi fupi lols
Bora mi nilijisomeaaga jitegemeee pale ni bakoraa masaa 24 hata ukiwa nje ya shule
Wanaowapa lift wakemewe
 
Wanafunzi wa zama hizi wana kazi sana katika suala zima la masomo maana huu usasa umeharibu wengi.. baba busy jf, mama busy ig, mtoto busy fb, mwalimu busy twit, fb, ig na snap... lol pole yao but kuwazomea ni kama wamepewa motisha wasijisahau sababu hata mzazi mwanao akifeli unamuadhibu haijalishi kama wewe hukusoma basi na ndio umuache tu afanye atakalo.
Wanaathirika sana.Na kumbuka wengi wanaozomewa ni O level Na wanafanya vizuri sana Kitaifa.
 
Back
Top Bottom