Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,706
- 4,759
ShukraniNi Private,inapatikana Mgumu-Serengeti
ShukraniNi Private,inapatikana Mgumu-Serengeti
Kanda ya ziwa iko mbali sana
Akili matope hizi. Mwache shujaa apumzike kwa amani.ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Twibhoki haipo kwenye top 10, Grayasara inaongoza lakini haina mwanafunzi hata mmoja kwenye top 10.......ngachoka mimi.
Akili mingi.....Kanda ya ziwa iko mbali sana
Wako vizuri TWIBHOKIDar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi St Anne Marie iliyopo mkoani Dar es Salaam, Eluleki Evaristo Haule kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani ya Darasa la Saba 2021.
Akitangaza matokeo hayo leo Jumamosi Oktoba 30, 2021 Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema watahiniwa bora kitaifa ni wale ambao wamepata alama nyingi zaidi kuliko wenzao kwenye masomo sita waliyotahiniwa.
Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Happy Joseph Deus kutoka shule ya msingi Twibhoki ya Mkoa wa Mara na nafasi ya tatu ikienda kwa John Chacha Charles kutoka Twibhoki.
Aliyeshika nafasi ya nne ni Joshua Mahende Jacob kutoka shule ya msingi Twibhoki iliyopo Mara pia, Eva Sebastian Chengula kutoka shule ya msingi Fountain of Joy ya Dar es Salaam ameshika nafasi ya tano, Joctan Samwel Matara kutoka Twibhoki ameshika nafasi ya sita.
Barnaba Jumanne Magoto kutoka shule ya msingi Twibhoki ipo Mara ameshika nafasi ya saba, Rahma Ombi Juma kutoka shule ya Mtuki Highland iliyopo Dar es Salaam ameshika nafasi ya nane na nafasi ya tisa ni Juliana John Shimbala kutoka St Joseph’s nafasi ya kumi ameishika Jackline Manfredy kutoka shule ya Masaka iliyopo Dar es Salaam.
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi St Anne Marie iliyopo mkoani Dar es Salaam, Eluleki Evaristo Haule kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani ya Darasa la Saba 2021.
Akitangaza matokeo hayo leo Jumamosi Oktoba 30, 2021 Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema watahiniwa bora kitaifa ni wale ambao wamepata alama nyingi zaidi kuliko wenzao kwenye masomo sita waliyotahiniwa.
Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Happy Joseph Deus kutoka shule ya msingi Twibhoki ya Mkoa wa Mara na nafasi ya tatu ikienda kwa John Chacha Charles kutoka Twibhoki.
Aliyeshika nafasi ya nne ni Joshua Mahende Jacob kutoka shule ya msingi Twibhoki iliyopo Mara pia, Eva Sebastian Chengula kutoka shule ya msingi Fountain of Joy ya Dar es Salaam ameshika nafasi ya tano, Joctan Samwel Matara kutoka Twibhoki ameshika nafasi ya sita.
Barnaba Jumanne Magoto kutoka shule ya msingi Twibhoki ipo Mara ameshika nafasi ya saba, Rahma Ombi Juma kutoka shule ya Mtuki Highland iliyopo Dar es Salaam ameshika nafasi ya nane na nafasi ya tisa ni Juliana John Shimbala kutoka St Joseph’s nafasi ya kumi ameishika Jackline Manfredy kutoka shule ya Masaka iliyopo Dar es Salaam.
Mifumo ya kushindanisha watoto kwa mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, sisi tunaona ni fasion, hao watoto kinacho fanyika huwa ni kukaririshwa past paper mwaka mzima.Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi St Anne Marie iliyopo mkoani Dar es Salaam, Eluleki Evaristo Haule kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani ya Darasa la Saba 2021.
Akitangaza matokeo hayo leo Jumamosi Oktoba 30, 2021 Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema watahiniwa bora kitaifa ni wale ambao wamepata alama nyingi zaidi kuliko wenzao kwenye masomo sita waliyotahiniwa.
Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Happy Joseph Deus kutoka shule ya msingi Twibhoki ya Mkoa wa Mara na nafasi ya tatu ikienda kwa John Chacha Charles kutoka Twibhoki.
Aliyeshika nafasi ya nne ni Joshua Mahende Jacob kutoka shule ya msingi Twibhoki iliyopo Mara pia, Eva Sebastian Chengula kutoka shule ya msingi Fountain of Joy ya Dar es Salaam ameshika nafasi ya tano, Joctan Samwel Matara kutoka Twibhoki ameshika nafasi ya sita.
Barnaba Jumanne Magoto kutoka shule ya msingi Twibhoki ipo Mara ameshika nafasi ya saba, Rahma Ombi Juma kutoka shule ya Mtuki Highland iliyopo Dar es Salaam ameshika nafasi ya nane na nafasi ya tisa ni Juliana John Shimbala kutoka St Joseph’s nafasi ya kumi ameishika Jackline Manfredy kutoka shule ya Masaka iliyopo Dar es Salaam.
Binafisi mimi sio muumini wa hizi sijui wa kwanza kitaifa, hii ya kushindanisha shule ni kosa kubwa sana linalo fanywa na taasisi ya elimu.ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Hii ya Tafuta wa kwanza kitaifa na wa mwisho ni kosa kubwa ambalo asilimia kubwa ya watu hawalioni hilo kosa.Janja janja zinakuwepo sana, wasimamizi kupewa Bahasha na kadhalikaAnne marie ni wezi wa mitihani NECTA ni wapuuzi wanapuuzia hii ishu
USSR
sio mbaya kama wao ndio wameweza kukalilli vizuri hayo ma-pastpaperMifumo ya kushindanisha watoto kwa mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, sisi tunaona ni fasion, hao watoto kinacho fanyika huwa ni kukaririshwa past paper mwaka mzima.
Haata kama hana ila hii ya kutafuta Shule ya kwanza na ya mwisho ina atract mambo mengi sanaUna ushahidi mkuu?
Ni Private iko Serengeti huko Mara,Aisee Twibhoki ni kiboko imetoa watoto weng ktk top ten ninataman kujua ni ya private au serikal
kivyote vyote lazima awepo wa kwanza na mwisho,Haata kama hana ila hii ya kutafuta Shule ya kwanza na ya mwisho ina atract mambo mengi sana
Mshaanza ujinga wenu??Subiri kidogo, hivi mbona kwenye list ya wanaofanya vizuri(top ten) level zote huwa ni majina ya ki kristo kuliko kiislam?!
Mshaanza ujinga wenuShule nane kati ya kumi bora zimetoka kanda ya ziwa wakiteuliwa mnasema wanapendelewa.
Angekuwepo pia mngesema kanda pendwa imependelewa.