minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,933
Ni Private iko Serengeti huko Mara,
Asante
Ni Private iko Serengeti huko Mara,
Mbona wanafeli wengi tuSijawahi kusikia mtoto kafeli la saba
Mjiandae kupokea watoto wakutosha.Ni Private,inapatikana Mgumu-Serengeti
Wewe ndo umesemaKuna watu watasema Thwibhoki walivujisha pepa.
Kama yupo dsm asome tu hata hizo za kataHabari zenu wanajamii wezangu wa forums. Ninamwanangu amemaliza la Saba lakini nilitegemea kapata wastani wa B. Ana A=3. ana B=2 na C=1. Atapangiwa shule ya kata. Anasoma Dar es salaam. Nia yangu nimuhamishe aende boarding ya serikali. Je kwa wastani huo naweza kufanikiwa kweli kupata shule yakueleweka ambazo tunaita za kitaifa Kama jagwani, korogwe girls n.k. Maana watoto wengi wanapelekwa private na wazazi wao. Nafasi zinakuwa wazi mwanangu anaweza kuingia hapo. Naomba ushauri wenu na muongozo wenu ndugu wapendwa nini nifanye niweze kupata hizo nafasi.
Mbona nimejaribu kuifatilia miaka kadhaa huko nyuma ipo 10 Bora karibu kila mwakaKuna watu watasema Thwibhoki walivujisha pepa.
imetoa mwanafunzi bora kinara kama mwaka 2018?.Itafute hiyo shule uone matokeo yake mwaka huu pia ndiyo uje na hizo hadithi za “kuchomekwa”
Hongera nyingi kwa Serikali yetu kwa kuwahisha matokeo ili kutoa mwanya kwa wazazi kijiandaa.
Imekuwa mrenda/mlenda???Feza sikuhizi imekua mboga mboga