Stable lady
Member
- Jun 25, 2016
- 73
- 82
If you think Education is expensive try ignorance
Bro una wivu mbaya sana, yaani umemzidi KAOGE wivu wake dhidi ya wanawakeDuh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.
Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.
Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.
Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,
Ndo mana Ney wa mitego amewachana live
Mkuu hiki ni kilatini au kigiriki..!!??He will die bse of ignoranciolgy since inferioritology is distubingiology eti! !!!!!
imenibidi maana alikuwa ashaanza ona nyota nyota ndo aelewe mchango we2 madaktr sio kuuza sura bali kutoa support na kumjali yeyote bila kuangalia tofauti ze2 wala nn.Naona umemsaidia mkuu "nerve trigeminus",
Poa .
Msamehe bure mkuu,mkisema mlipe visasi ,sisi raia tutakufa jamani,imenibidi maana alikuwa ashaanza ona nyota nyota ndo aelewe mchango we2 madaktr sio kuuza sura bali kutoa support na kumjali yeyote bila kuangalia tofauti ze2 wala nn.