Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

Wanaziita clinical coat sijui mtaani wataita kwa jina gani
 
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.

Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.

Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.

Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,

Ndo mana Ney wa mitego amewachana live
Bro una wivu mbaya sana, yaani umemzidi KAOGE wivu wake dhidi ya wanawake
 
Naona umemsaidia mkuu "nerve trigeminus",
Poa .
imenibidi maana alikuwa ashaanza ona nyota nyota ndo aelewe mchango we2 madaktr sio kuuza sura bali kutoa support na kumjali yeyote bila kuangalia tofauti ze2 wala nn.
 
Huyu mjinga ni anawaza utumbo gani huo!!! Kuvaa kitàmbulisho kuna faida nying nzur sana hususan kujulikanaa pind tatizo linapokusibu ila kwa huyu mpuuzi mwenye wivu na nafasi nzuri walizonazo wenzake anaona in ushamba kwa sabbu hana uwezo wa kufika hapo walikpfikaa !!!! I dn like bullshit people like huyu aliyeanzisha hii thread !!!!!!! Boy fikiria namna nzur ya kukaa na watu na sio kujiona weee unajua kila kitu kwa sabb upo town unajikutajaaaanjaaa !!!!! BASTARD !! THNK B4 ACT
 
imenibidi maana alikuwa ashaanza ona nyota nyota ndo aelewe mchango we2 madaktr sio kuuza sura bali kutoa support na kumjali yeyote bila kuangalia tofauti ze2 wala nn.
Msamehe bure mkuu,mkisema mlipe visasi ,sisi raia tutakufa jamani,
mtuonee hueuma tu ,Mungu mwenyezi aatawalipa.
 
Back
Top Bottom