Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

alokuambia usome hkl nani?? halafu upate division 5! kitambulisho mtu anaweza vaa kokote mbona askari akitoka kazini anakatisha mitaa na uniform sikupatii picha ukiwaona hapo ccp roho inavyokuuma!

nakushauri uhamie Mabogini mwisho hamna vyuo sana utakufa na wivu hapo maana kcmc,muccobs,mwecau, mweka,ccp, wamekuzunguka utalazwa mawenzi kila siku kwa ugonjwa wa moyo ukiwaona wale wanafunzi manurse utakufa gafla.

Hahaha

Akahamie mabogini nimecheka
 
Acha wavae tu unafikir kusomea udaktar mchezo ww wivu unakusumbua maana hakuna mtu anaesomea kufunga vidonda ila wanasoma udaktar io kauli tu inaonesha wivu
 
moshi kuna baridi ndo maana hawa vui makoti ingekuwa muhas au IMTU ningeshangaa
 
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.

Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.

Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.

Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,

Ndo mana Ney wa mitego amewachana live
Hhehehe, mgonjwa wewe na sijui umetoka lni wodi ya mandela pale mawenzi lakini inabidi urudi. Alaf nashkuru kwa kutuchana ingawa sio kama tunavomchana mkeo **** yake. Amen. Kwarezma njema mbwa wewe usie na pesa, akili wala maisha.
 
We chizi kweli mtu anakopeshwa na serikali tena ki elfu kumi kwa siku anitishie mtu napokea salary 3mil take hme, we unaumwa ngiri au tezi msoga
Tatizo unachoumia ni nini we una million 3 yeye elf 10 kwanini akuumize kichwa!?? Hii ni nchi huru as long as wanachofanya hawavunji sheria waache wafanye..

Hhahaahaaa et wananikera wanavyopita na VITAMBULISHO VYA CHUO😕😀😕 kila mtu na maisha yake joh🙂🙂🙂
No povu kk😀😀😀😀😀
 
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.

Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.

Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.

Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,

Ndo mana Ney wa mitego amewachana live


Kwani kwa kufanya hivyo wanavunja sheria za nchi?

We mleta mada unaonekana ulikimbia umande mtu aliyesoma hasa kwa level ya Chuo kikuu Kama ulivyosema wewe hawezi post utumbo Kama huu.
 
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.

Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.

Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.

Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,

Ndo mana Ney wa mitego amewachana live
We kweli ni mmoja kati ya baba swalehe wa moshi..
 
tatizo hivo vyuo vinaongoza kwa ush oga , so inawezekana wanafanya hivo ili kutafuta mabwana. Wanaliwa sana
 
ahahahahahhhaahaah mbavu zalegea huku mie hahahahahahaha sijui la omo hilo
 
Back
Top Bottom