Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

Basi na wanafunzi wote Tanzania wavalie sare shule kwao sio kutembea nazo mtaani
 
Mtoa mada ana hoja, nimeishi Mikocheni karibu na vyuo vya HKMU na UDSM School of Journalism and Mass Communication, wanakera kwa kweli. Wana ushamba wa elimu, kwa kuwa kibongobongo watu wengi hawakupata kufika Chuo Kikuu, nao wameingia unyonge.
 
Hujui kwa nn wanavaa.. Je unazijua Sheria za Chuo Chao ? Karibu kuwa mfuatiliaji kabla ya kuongea lolote
 
hahahaha eti avae hata cha bima ya afya... Watu wana maneno asee
 
Wanachuo hao washamba kweli.

Yani anakuja anakuwekea hela mfukoni alaf anakubua anakwambia funga macho,hawa ndo madokta wetu na accountants!

Yani hamna kitu kabisa
 
Hao wa MUCCOBS dawa yao watoto wa old moshi tulisha wa fungia njia wasikatishe shuleni kwetu kuhusu KCMC si walaumu sababu eneo la chuo chao n dogo kwa iyo lazima watambe tambe mitaani na mokoti ila mto post nahisi wame kuchukulia demu wako
 
Nenda st john nako utakuta wanazagaa ila wengi n chuka maana wa bongo wanapenda sifa mtu wa lab tech anajiita daktari
 
Mtoa mada unahisi hawa wanachuo wanajiona na kujidaiiiiiiiiii ati,....! Ila ata ivyo inferiority inakusumbua huo ndo ukweli
acha watu wajidai bana walihangaika mpaka kufka university!
 
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.

Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.

Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.

Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,

Ndo mana Ney wa mitego amewachana live

Inaonekana una stress za maisha alafu unazurura sana mtaan kw mtu anayefanya kaz na anatafuta hana muda wa kufuatilia vitu kama hivi
 
Back
Top Bottom