Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

Wanachuo wa KCMC na MUCCOBS, acheni ushamba

Wewe inakukera vp? Ndio great thinker wewe? Vaa hicho kitambulisho chako cha ubaamedi tuone.
 
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.

Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.

Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.

Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,

Ndo mana Ney wa mitego amewachana live
hiyo itakuwa mijitu ya bara, pwani kwenye ustaarabu thubutu mtu afanye hivyo..
 
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.

Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo linakera cc raia. Pia nasi tulisomaga, msitutishe.

Unakuta mtu yupo nje ya chuo anatembea barabarani muda wote kavaa kitambulisho, hata sehemu c husika. Upo uraiani likitambulisho lako la chuo nani anataka kuliona.

Hawa wa kcmc cjui Wanaosomea kufunga vidonda cjui ndo madokta. Utakuta wapo mtaani wanazurula na makoti yao ya udokta, huo ni ushamba, cjui mnamringishia nani. Makoti yenu na ID mvae mkiwa huko vyuoni ndani kwenu. Mnaboa sana,

Ndo mana Ney wa mitego amewachana live
Hahahaha
 
Pita kushoto huyo nao umbea au mada..ka smart phone kenyewe itel. we ulitakaje hasara za kusoma arts hizoooook
 
Kwan Kuna tatizo mkuu!!!
au ww wanakukera nn waache wavae c vyao na ww vaa chako hata cha Bima ya afya vaa c chako
Nimecheka sana mkuu hapo pa yeye naye avae hata cha bima ya afya
 
Back
Top Bottom