Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,017
- 142,861
Na sasa yamekuwa mazoea ya watu humu kuandika risala kama hizi za kutoa wito wa kuacha kubandika mambo ya kipuuzi puuzi lakini wapi.
Kila baada ya wiki chache kunatokea mtu anaandika risala. Anapongezwa, anapewa ma-likes bwerere, halafu hakuna la maana linalotokea.
Watu hao hao waliompa ma-likes ndo unawakuta wanachangia hizo hizo mada zinazodaiwa kuishushia hadhi MMU.
Ubinadamu kazi!!
Kila baada ya wiki chache kunatokea mtu anaandika risala. Anapongezwa, anapewa ma-likes bwerere, halafu hakuna la maana linalotokea.
Watu hao hao waliompa ma-likes ndo unawakuta wanachangia hizo hizo mada zinazodaiwa kuishushia hadhi MMU.
Ubinadamu kazi!!