Wana MMU tushirikiane kuboresha Jukwaa letu

Wana MMU tushirikiane kuboresha Jukwaa letu

Status
Not open for further replies.
:clap2::clap2::clap2:Kabadilika aisee maana hapa mnekuwa mmechokozana sana........

halafu mbona tunaosoma na kuchangia mada hii ni wale wale au watu wengine haijawagusa

maana mi naifatilia tangu page ya kwanza niwe nasoma views za watu tofauti tofauti

cc Mr Rocky
Heaven on earth ukisikia paa ujue imekukosa tafakari chukua hatua
Watakuja tuu maana la muhimu ni kila mmoja anaguswa na hili na ana mchango wake
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kuna mada humu zinakuwaga hazina mashiko , mpaka kuna siku nilishawahi kuandika mtu atakuja kuomba ushauri hata kiatu kikimbana,,,,,,,,,,,, msingi wa hoja zangu mimi umeegemea hapo kwenye suluhisho lako ulilolipendekeza........

ngoja nitoe mfano labda,,,,,,,,, kukiwa kuna mada unaiona imekaa kipuuzi/kitoto unapita tu , na unaelekea kwenye mada iliyonamashiko mnaijadili mwanzo mwisho mwisho wa siku watu watajifunza kuleta mada nzuri na kuachana na mada zisizona kichwa wala miguu.........ila hili la kuanzaa kuwa polisi na mahakimu na wachangia mada hapo hapo jukwaani halifai,,,,,,,,, tujifunze kuvumiliana huku tukifundishana na siyo kutumia mamlaka tuliyonayo au kutaka watu tuwe na ufikiri wa aina moja.

kama mada imekiuka sheria za jf , hatua zichukuliwe mara moja ila kama haijakiuka ni vema tujifunze kuishi na tunaotofautiana.
asakuta same kwenye jamii hakuna wa yeyote anaweza kucontrol au kukuamulia ufikirie nini au uwaze nini kwa wakati huo au useme nini kwa wakati ambao haupo kwenye may be jukwaa au mimbara unahubiri
Tunatofautiana na katika kutofautiana tunaelezana hisia zetu na masuala yetu na tunabishana mpaka mwisho either tufikia muafaka au upande mmoja ushindwe
Hatuko hapa mimi na wewe kuamrisha watu wote wafikiri kama wewe na mimi huwezi kufanya hivyo
Ila tunacoangalia ni kujadiliana na kukosoana na kufundishana na kufikia lengo letu whether negative or positive maana hata ukienda kwa mtu kukopa pesa tegemea mawili kupata au kukosa na yote unakuwa tayari kuyafikia na hilo ndo lengo letu tutofautiane katika kutofautiana na humu tutapata kile ambacho kinatakiwa na safari yetu bado ni moja ile ile
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa wakuu Mr Rocky na AshaDii humu MMU hawa binadamu wanaoanzisha threads za ajabu-ajabu wanawapa kazi sana mods kufuta pumba zisizo na maadili na ambazo hata Chit Chat hazi-qualify. Afu ngoja tufanye makeke thread hii iwe sticky kwani hawachelewi kuanzisha utitiri wa threads ili hii ishuke.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa wakuu Mr Rocky na AshaDii humu MMU hawa binadamu wanaoanzisha threads za ajabu-ajabu wanawapa kazi sana mods kufuta pumba zisizo na maadili na ambazo hata Chit Chat hazi-qualify. Afu ngoja tufanye makeke thread hii iwe sticky kwani hawachelewi kuanzisha utitiri wa threads ili hii ishuke.
Asante sana Mkuu Arushaone kwa mchango wako na karibu sana maana wengi wenu mlikimbila chit chat baada ya kuona humu hakufai
 
Last edited by a moderator:
asakuta same kwenye jamii hakuna wa yeyote anaweza kucontrol au kukuamulia ufikirie nini au uwaze nini kwa wakati huo au useme nini kwa wakati ambao haupo kwenye may be jukwaa au mimbara unahubiri
Tunatofautiana na katika kutofautiana tunaelezana hisia zetu na masuala yetu na tunabishana mpaka mwisho either tufikia muafaka au upande mmoja ushindwe
Hatuko hapa mimi na wewe kuamrisha watu wote wafikiri kama wewe na mimi huwezi kufanya hivyo
Ila tunacoangalia ni kujadiliana na kukosoana na kufundishana na kufikia lengo letu whether negative or positive maana hata ukienda kwa mtu kukopa pesa tegemea mawili kupata au kukosa na yote unakuwa tayari kuyafikia na hilo ndo lengo letu tutofautiane katika kutofautiana na humu tutapata kile ambacho kinatakiwa na safari yetu bado ni moja ile ile


hili ndilo nililokuwa nalizungumza hapa mkuu, tujadili mada kutoka misimamo yote huku tukiheshimiana........ hata hawa ambao tunaona akili zao hazijakomaa leo , kwa kujadili nao mwisho wa siku na wao watakomaa na kuona walipokuwa wanakosea katika kuwakilisha mada zao,,,,,,,,,, hatukuzaliwa tunajua , ila tunajifunza mbele ya safari......
 
hili ndilo nililokuwa nalizungumza hapa mkuu, tujadili mada kutoka misimamo yote huku tukiheshimiana........ hata hawa ambao tunaona akili zao hazijakomaa leo , kwa kujadili nao mwisho wa siku na wao watakomaa na kuona walipokuwa wanakosea katika kuwakilisha mada zao,,,,,,,,,, hatukuzaliwa tunajua , ila tunajifunza mbele ya safari......

Mkuu sema tupo pamoja ila tatizo lazima tunafautiana katika namna ya kufikisha kile tunachokitaka na hapa ndipo penye mjadala wa maana tunajadilian ana mwisho tunafikia muafaka wa pamoja
 
Naunga mkono hoja. Na threads zinazolenga kushambulia makabila hasa wachagga zilegezwe makalio yake.

Mijitu kila kukicha ni wachaga tu. Shenzy taipu zao na nusu.

Mi nakasirikaga chapchap sana.

Wanafunzi warudi madarasani, siku hizi wamepewa BRN.
Mkuu si ndo umaarufu?
 
kuna kipindi hili jukwaa hata uwe bize kiasi gani na maswala ya kazi au jamii lazima utavisit tu lakini kutokana na umakini wa thread na majibu yake, lakini kiukweli kuna kipindi upepo unabadilika hutamani kuisit jukwaa hata kama upo ido kiasi gani , so me nahisi ni msimu tu sasa sijui ni kufungwa kwa shule , au
 
Mkuu mimi nilipiga kambi siasani kabisa, kule chitchat ni kuchungulia tu na kupita ingawa upepo kule umetulia.
Mkuu Arushaone hata chit chat hakujatulia kabisa kuna watu kule hawaonekani japo walikuwa hawakosi kule aise akina Erickb52 na wenzake
 
Last edited by a moderator:
Mkuu si ndo umaarufu?
KakaKiiza umaaarufu gani aise mpaka watu wanakera utafikiri wachagga ndio washamba wa kila kitu haswa kwenye suala la mapenzi aise Suprise na wewe uwe chachu ya mabadiliko mkuu na usisite kuona kuwa jukwaa linapaswa kurejea kwenye uhalisia wake japo najua ni ngumu ila tutafika tuu
 
Last edited by a moderator:
Speaker long time mkuu naona unatoa tuu like ila mchango wako pia ni muhimu sana
Ulikimbia hili jukwaa muda mrefu sana
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru sana Mr Rocky kwakuliona hili labda ninachokiona ni kuomba moderator wa jukwaa hili kuwa makini na watu wanaotoa post za mzaa kwakuwa unakuta mtu anasema natafuta mwanamke wakunitoa stress unashangaa huyu mtu aliyeandika post kama hii ana maana gani ina maana huku kuna wanawake wako wakisubiri watu kama vile danguro au ni vipi saa umefika wakati wa kuzikataa post kama hizi!!Na kumbuka humu kuna watu wamekutana na wamejenga maisha kutokana na MMU ila sasa hata kama unataka kujenga maisha unatakiwa kukaa mguu pande mstari uwekati!(Mguu ndani mhuu nje)!!kwa lugha nyingine!Sasa wote wenye mizaha mizaha nikumwachia Mods waangaike naye!
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana huwa nashindwa kabisa kukuchukia:-*

Na hii biashara ya kamjamaa kamoja kanaanzisha threads mia nne kwa siku! Yani zote ni viumbea tuuu.

Mi nakasirikaga mpaka naenda kuzimia kule jukwaa la wakubwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom