Kuna watu wanaangalia mambo objectively. Lakini pia wapo baadhi ambao wanaangalia mambo subjectively. Wanaamni kuwa kila wanachokifanya basi kinafanywa na kila mtu au kinatakiwa kufanywa au kuaminiwa na kila mtu.
Pia wapo baadhi ya watu wengine wana closed minds. Wanaamini wanachokiamini and they are not prepared to even listen to the other side of the coin.
At the same time kuna baadhi ya watu ambao they can't tolerate. They are not prepared to allow the existence, occurrence, or practice of something that one does not necessarily like or agree with without any interference.
Then kuna baadhi ya watu ambao probably ni attention seeker. Hawa watu wana-seek attention kutoka kwa watu wengine as a form of feedback. Hili siyo tatizo lakini linakuwa tatizo kwa both parties kama hii tabia inakuwa too excessive and inappropriate. Wenyewe wanaita "attention seeking disorder".
Nikiongezea kwa upande wa Wabongo tunapenda sana kujadili mada za kiudaku udaku. We really love this. Tukisikia or kuona kitu in private, we can't keep our months shut. But wapo wachache ambao they don't like this.
Kwa hiyo, unapoweka watu hawa wote kwenye kapu moja lazima kutatokota tuu. Hata hivyo, naamini kuwa watu wa aina hii hawapatikani kwenye social media tuu. Wanapatikana pia mitaani. Tunaishi nao kila siku. Wengine ni ndugu zetu, majirani na marafiki zetu. It is just how we handle them.