Na hii biashara ya kamjamaa kamoja kanaanzisha threads mia nne kwa siku! Yani zote ni viumbea tuuu.
Mi nakasirikaga mpaka naenda kuzimia kule jukwaa la wakubwa.
hii inaudhi kweli.....
4. Kuondoa dharau kwa Mwanamke na Mwanaume pia. Mada za kusanifu Mwanaume ama Mwanamke hazijengi, zinabomoa tu
......
Asprin na Heaven on earth tatizo jingine sio tuu huo urushaji wa mnada je zinajadilika na zinafundishahahaaaaa umenifanya nicheke.....ila huwa inaboa sana..........
awe anatupa space ya kujadili mada aisee tena zote zinamuvuzishwa kwa mkupuo
Blaine uko salama mkuuhii inaudhi kweli.
watu wamekuwa wakileta mada za kuchambana mpaka najiuliza kama walishikiwa mtutu wa bunduki kuingia kwenye mahusiano. men need women and vice versa so lazima tuheshimiane na kubehave with maturity.
Mungi huwa naamini hakuna kitu static all the time kila kitu kinabadilika kulingana na muda na mazingira na with time na report abuse zikiwa nyingi watu wataelewa tuu kuwa we need changes na sio kwa mtutu wa bunduki ila kwa mawazo na vitendoLabda kama kuna technology itakayoweza kutumia ku qualify threads au comments zitakazofaa kwenye jukwaa husika. otherwise ku control minds za watu ni kazi sana.
Vichwa ngumu tupo wengi sa sijui kama mambo itakaa sawa.
Ila hongereni kwa somo Mr Rocky na AshaDii. kwa hili somo tunaweza kubadilika tukaendana na jukwaa, lakini msisahau binadamu tunasahau haraka. kama vipi hapa nina AK 47 tuitumie kutoa discipline
hii inaudhi kweli.
watu wamekuwa wakileta mada za kuchambana mpaka najiuliza kama walishikiwa mtutu wa bunduki kuingia kwenye mahusiano. men need women and vice versa so lazima tuheshimiane na kubehave with maturity.
Mimi nahisi kama kuna uvamizi wa ajabu hapa MMU...
Inabidi sasa wenye nyumba warudi uwanjani...
Babu DC!!
ladyfurahia asante sana kwa kuliona hilo na ukiangalia kwa sana wana MMU wengi wamekimbilia siasa au Chit chat baada ya kuona hakuna la maana hukumkuu Mr Rocky umeongea vyema kwani jukwaa la mmu limeingiliwa sana tena sana,
mambo ya kipuuzi yanapostiwa hovyo mpaka mm nimeona nibaki cc kwani sitembelei
kule ni majanga tu na matatizo ntayapata
Ni vyema wanammu tukarudi kulijenga upya jukwaa letu limevamiwa na wavamizi wa kiziwa N
The secretary hukuwa na haja ya kuendelea kuisoma ungereport tu abuse maana hao ndio wanaotufanya tulikimbie jukwaa na kuhamia majukwaa mengine Baba V pamoja sana mkuu na nakubaliana na wewe pamoja tutafikaMr Rocky kuna topic moja nadhani ukiipitia utaona hata aibu kusoma NIMEMUUMIZA DADA MFANYAKAZI MWENZANGU lakini sijutii kilichofuata ni mvua ya matusi kwa mleta mada
hii inaudhi kweli.
watu wamekuwa wakileta mada za kuchambana mpaka najiuliza kama walishikiwa mtutu wa bunduki kuingia kwenye mahusiano. men need women and vice versa so lazima tuheshimiane na kubehave with maturity.
mkuu Mr Rocky umeongea vyema kwani jukwaa la mmu limeingiliwa sana tena sana,
mambo ya kipuuzi yanapostiwa hovyo mpaka mm nimeona nibaki cc kwani sitembelei
kule ni majanga tu na matatizo ntayapata
Ni vyema wanammu tukarudi kulijenga upya jukwaa letu limevamiwa na wavamizi wa kiziwa N
Mr Rocky kuna topic moja nadhani ukiipitia utaona hata aibu kusoma NIMEMUUMIZA DADA MFANYAKAZI MWENZANGU lakini sijutii kilichofuata ni mvua ya matusi kwa mleta mada
Labda kama kuna technology itakayoweza kutumia ku qualify threads au comments zitakazofaa kwenye jukwaa husika. otherwise ku control minds za watu ni kazi sana.
Vichwa ngumu tupo wengi sa sijui kama mambo itakaa sawa.
Ila hongereni kwa somo Mr Rocky na AshaDii. kwa hili somo tunaweza kubadilika tukaendana na jukwaa, lakini msisahau binadamu tunasahau haraka. kama vipi hapa nina AK 47 tuitumie kutoa discipline
Toria hilo ndo la muhimu kupotezea thread yoyote ambayo inaonekana haina tija kwa jukwaa na haina mafundisho yoyote au mafunzo yoyote au ya kuongelea maumbile au kuwakejeli watu fulaniUpo sahihi kabisa Mr Rocky kasi ya kumis-use hili jukwaa inaongezeka kwa kasi,utoto,kejeli,kuchambana,matusi vimekuwa kawaida wakati hapo awali havikuwa na nafasi,pamoja na kureport mi naona hamna haja ya kuchangia sredi zisizokuwa na mantiki unapotezeaa tu
Idea ya kufutilia mbali thread zisizofaa hapa MMU naiunga mkono...
Laiti ningekuwa na muda...mngeona kazi ya Babu mnoko....
Kama hakuna mada ya maana, watuache tufanya reference kwenye thread zilizowahi kutuweka macho hadi jogoo wanaamka!!
Babu DC!!