AshaDii, hicho kipengele cha kwanza ulichokiongelea kimenigusa, na inatokea sana hapa jamvini, kwamba wanafahamia kivyao huko wakija humu wanabakia kutetea maujinga yaliyo wazi kabisa, kuna siku nilisoma mada fulani humu mdada/mmama anatetea upuuzi kwa kuingia ishu ya kijinga kabisa, mtu anamkosoa mtoa mada kwa wema tu, kwamba mada zake zimekaa kama kuhamasisha kuchuna, kuwa na wanaume wenye pesa etc, we unasema ooh umjui fulani, kwenye mazingira halisi hayupo hivyo unavyomfikiria,kwanza umkome kabisa, i was like gosh! nilikuwa namheshimu sana huyo member aliyom attack huyo jamaa alivyo comment yeye anavyoona, nimetokea kumdharau sana, kujuana kwenu kwa namna yoyote ile inamzuia nini member mwingine asikosoe, na nilikuwa nataka kumjibu huyo mdada/mmama alienunua kesi ila nashukuru network siku hiyo ilikuwa kimeo kabisa, mana angenisababishia ban!