Wana MMU tushirikiane kuboresha Jukwaa letu

Wana MMU tushirikiane kuboresha Jukwaa letu

Status
Not open for further replies.
Dah!!!!

Nilikuwa nina mastress na wale mabazazi kule Kenya,yaani hadi sasa nahisi bado nina hasira nao!!!!!!!!

Back to topic
Hili ni jambo zuri sana ulilolisema hapa nimejaribu kusoma baadhi ya michango nimegundua kitu

Naona kama tumeathiriwa na magamba hivi
Nadhani mnayajua haya majamaa yanavyojidai kutoa ahadi kibao sana halafu utekelezaji ni ZERO,hapa tutazungumza sana kuhusiana na hii tabia ya kibazazi lakini kutekeleza ni 0

Kuna ujinga mkubwa sana humu siku hizi,kuna mada za hovyo sana hapa na hili tatizo sio la mwaka huu tu ni kabla ya hapo,kuna wakati niliwahi kusema hapa na kuna thread ipo hapo juu inazungumzia mambo haya haya

Kuna tatizo la kutokufanya yale tunayosema hapa lakini zaidi sana kuna ka ugonjwa ka kupenda sana mada za kiudaku daku,Nadhani dawa kubwa pamoja na kuripoti jambo lingine ni kutoichangia hiyo mada,kama mtoa mada hatopata washabiki nadhani hatarudia tena

Nilikuwa guest hapa kwa muda mrefu sana na mpaka nilipoamua kuwa member kuna yaliyonifanya nifanye hivyo,lakini leo ni kama hayapo kabisa,huwa nawakumbuka sana member flani hivi

Lakini kuna wakati namkumbuka sana Mwana Mtoka Pabaya huyu jamaa namheshimu sana,huonekana mara chache sana na kila akionekana huzungumza mambo makubwa[kwa mtazamo wangu]

Kuna wakati Kiranga aliwahi kukemea tabia ya kupiga story za ajabu humu nadhani hakueleweka,kuna member niliwahi kumuambia sio lazima kila siku atoe mada,nikamwambia unaweza kutulia na kujaribu kutulia na kutoa mada nzuri lakini nadhani hadi leo huu jamaa ananichukia sana

Zaidi sana tujifunze kutekeleza kile tunachosema hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkirua unajua nakukosa sana aise
Mpaka vifunguliwe mbona tutakuwa tumepata majanga aise

Pole kaka usijali tupo pamoja si unajua tena kaisari akiamua kubana....

:focus:


Mada yako nimeipenda sana nimekosa tu mda wa kuchangia kirefu lakini ulichoelezea ni cha kweli kabisa sometimes hata wakati wa uchangiaji tumekuwa tukivuka mpaka na kujikuta tunataja mambo ambayo kwa hulka ya watanzania si muafaka kutajwa hadharani.
Issue nyingine ni kuwa unakuta mtu huyu leo anaanzisha uzi kwa kuvaa uhusika tukio fulani nasi tunajituma kumshauri kweli kweli lakini baada ya masaa au siku chache anaanzisha uzi mwingie unaopingana kabisa na kile alichokielezea awali ndipo unapogundua kuwa kuna walakini....Katika hili wafukunyuku maarufu kama kina Heaven on earth wamekuwa mstari wa mbele kuwaumbua watu wa aina hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Du! upo rafiki? bora Mr Rocky kaanzisha huu uzi na waliopotea warudi....
kuna rafiki yangu mwingine anaitwa The Finest

A.k.a TF!!!!

Watu hawa sijui wako wapi

Kuna siku Mbu alianzisha uzi wa maana sana hapa,lakini cha kushangaza watu wakaukaushia tu,nadhani mtu mzima alibaki kustaajabu tu

Hii ndio MMU ya siku hizi!!!!!
 
Last edited by a moderator:
mzee mwenzangu kazi ushapata tena unakuwa babu kifimbo cheza....... enzi zile unasoma page ya 1 hadi mwisho bila kukosa kwa mapoint uwakute Mbu na soulmate wake MwanajamiiOne hutoki kwenye mada salam zimfike Lizzy
Sijui wamestaafia wapi hawa watu, Kama mnakula penshen hongereni zenu, naongeza pia na kina @Rev.Masanilo, kareenHappauch na afrodenz.... you are all missed!
 
Pole kaka usijali tupo pamoja si unajua tena kaisari akiamua kubana....

:focus:


Mada yako nimeipenda sana nimekosa tu mda wa kuchangia kirefu lakini ulichoelezea ni cha kweli kabisa sometimes hata wakati wa uchangiaji tumekuwa tukivuka mpaka na kujikuta tunataja mambo ambayo kwa hulka ya watanzania si muafaka kutajwa hadharani.
Issue nyingine ni kuwa unakuta mtu huyu leo anaanzisha uzi kwa kuvaa uhusika tukio fulani nasi tunajituma kumshauri kweli kweli lakini baada ya masaa au siku chache anaanzisha uzi mwingie unaopingana kabisa na kile alichokielezea awali ndipo unapogundua kuwa kuna walakini....Katika hili wafukunyuku maarufu kama kina Heaven on earth wamekuwa mstari wa mbele kuwaumbua watu wa aina hiyo.

Asante sana Mkirua usipotee hivyo bana jiibe hata kwa huyo mkoloni ukiwa washroom unakumbuka JF na unapost hata salam

Ujumbe wako tumeupata na nakubaliana kabisa na wewe mkuu
 
Last edited by a moderator:
^^
Sijaelewa kidogo Mr Rocky na asanta
Kumbe na mimi naharibu jukwaa?
Aisee!
^^

Mkuu Himidini hakuna bana na wala sijaona tatizo kwenye thread zako bana na wala za kwako sio majanga mkuu
Mchango wako ni mzuri sana mkuu ndani ya jukwaa
 
Last edited by a moderator:
Sometime na nyie mna umimi toka kitmbo kileeeee eti ashaAdii Akipost ata pumba basi mtajibaraguza apoo ili mrAdi tu muonekane ohhakija mtu ambaye wa juzi mna sonya sonya nawona tu. Sio vizuri hee. Hahaha
 
Dah!!!!

Nilikuwa nina mastress na wale mabazazi kule Kenya,yaani hadi sasa nahisi bado nina hasira nao!!!!!!!!

Back to topic
Hili ni jambo zuri sana ulilolisema hapa nimejaribu kusoma baadhi ya michango nimegundua kitu

Naona kama tumeathiriwa na magamba hivi
Nadhani mnayajua haya majamaa yanavyojidai kutoa ahadi kibao sana halafu utekelezaji ni ZERO,hapa tutazungumza sana kuhusiana na hii tabia ya kibazazi lakini kutekeleza ni 0

Kuna ujinga mkubwa sana humu siku hizi,kuna mada za hovyo sana hapa na hili tatizo sio la mwaka huu tu ni kabla ya hapo,kuna wakati niliwahi kusema hapa na kuna thread ipo hapo juu inazungumzia mambo haya haya

Kuna tatizo la kutokufanya yale tunayosema hapa lakini zaidi sana kuna ka ugonjwa ka kupenda sana mada za kiudaku daku,Nadhani dawa kubwa pamoja na kuripoti jambo lingine ni kutoichangia hiyo mada,kama mtoa mada hatopata washabiki nadhani hatarudia tena

Nilikuwa guest hapa kwa muda mrefu sana na mpaka nilipoamua kuwa member kuna yaliyonifanya nifanye hivyo,lakini leo ni kama hayapo kabisa,huwa nawakumbuka sana member flani hivi

Lakini kuna wakati namkumbuka sana Mwana Mtoka Pabaya huyu jamaa namheshimu sana,huonekana mara chache sana na kila akionekana huzungumza mambo makubwa[kwa mtazamo wangu]

Kuna wakati Kiranga aliwahi kukemea tabia ya kupiga story za ajabu humu nadhani hakueleweka,kuna member niliwahi kumuambia sio lazima kila siku atoe mada,nikamwambia unaweza kutulia na kujaribu kutulia na kutoa mada nzuri lakini nadhani hadi leo huu jamaa ananichukia sana

Zaidi sana tujifunze kutekeleza kile tunachosema hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!

Asante sana mkuu Eiyer na punguza hasira kwa hao jamaa bana wamewaua watu wasio na hatia na ambao hawakuwa na makosa kwao maana wao sio walioilazimisha serikali kwenda kupigana vita somalia
Nashukuru sana kwa ujumbe wako na naamini kilichomo na kilichobebwa na ujumbe wako ndicho ambacho tapaswa kufanya
Asante sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
[
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako uliotukuka kwa kweli, hayo uliyoyasema wewe na AshaDii ni moja wapo ya mambo yaliyonifanya niamue kuwa pembeni nibaki tu nikichungulia na kusoma yale ya muhimu na kusepa. la msingi ni kuanza utekelezaji wa yale mazuri mliyoshauri hapo juu.. PAMOJA DAIMA

Mkuu Jiwe Linaloishi usipotee jukwaani bana tunakuhitaji sana na mchango wako ni muhimu sana humu

well said Rock
tatizo kubwa linalotusumbua hapa ni hawa wanaoitwa wavulana na wasichana kaaa.. wanaboa kwa kweli. Wanajaza tu server.

hicho kitufe cha REPORT ABUSE nitakifanyia kazi sawasawa.. count on me.
neggirl asante sana kama utakuwa balozi mwema kufanya kazi hiyo
 
Last edited by a moderator:
Sometime na nyie mna umimi toka kitmbo kileeeee eti ashaAdii Akipost ata pumba basi mtajibaraguza apoo ili mrAdi tu muonekane ohhakija mtu ambaye wa juzi mna sonya sonya nawona tu. Sio vizuri hee. Hahaha

Ukiweza kunionesha siku ambayo Ashadii alipost pumba ninaahidi kukutumia MPesa!
 
Asante sana mkuu Eiyer na punguza hasira kwa hao jamaa bana wamewaua watu wasio na hatia na ambao hawakuwa na makosa kwao maana wao sio walioilazimisha serikali kwenda kupigana vita somalia
Nashukuru sana kwa ujumbe wako na naamini kilichomo na kilichobebwa na ujumbe wako ndicho ambacho tapaswa kufanya
Asante sana mkuu

Usikonde mkuu

Ila hao jamaa basi tu!
 
A.k.a TF!!!!

Watu hawa sijui wako wapi

Kuna siku Mbu alianzisha uzi wa maana sana hapa,lakini cha kushangaza watu wakaukaushia tu,nadhani mtu mzima alibaki kustaajabu tu

Hii ndio MMU ya siku hizi!!!!!

......LOL!
Am past my sell by date kamanda,
Ni wakati wa "New Generation!"...
 
Last edited by a moderator:
......LOL!
Am past my sell by date kamanda,
Ni wakati wa "New Generation!"...

Well,
Kamanda,huu ni wakati wa wote pia,hata kanuni za Mungu hazizeeki japokuwa zina miaka maelfu
New generation imekuwa na changamoto zake za kuboresha na za kijinga pia,ni kuwaambia tu ukweli ili wawe bora zaidi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom