mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,795
- 8,429
Ndio maana siku zote tunaomba Karma itende maana this is too much !! Na hawatapata peace of mind katika maisha yao pamoja na kujilimbikizia mali nyingi katika hii dunia !! Mungu ni fundi sana !!!Mkuu, hizo nafasi zinahitaji uwe mtu wa aina flani hivi.
Yaani uwe mtoto wa kigogo.
Huko ndiko wanakofichana wenye nchi.