Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 354
- 471
Hongera kura zinapigwa na nani?kama ni sisi umepita tunataka tuwe na mwakilishi wa great thinkers wa Jamii
Wasiwasi wangu ni kama wanapiga wabunge hapo sasa nina mambo mawili
1 . Baadhi ya wabunge ni wadau wa jamii forum tuwatumie hao Kwenye kampaini kushawishi engine
2. Powerful people ndani ya forum watusaidie kutumia umarufu wao kumnadi mwana jamii forum wetu
Mr.Mello angazia hili ni mafanikio ya forum yetu poa kama tutapata mwakilishi wa nchi kindakindaki wa forum
Mayala si kama wengine walio wabunge na mawaziri yeye zao halisi la jamii forum.. .HONGERA SAANA YOU HAVE MY WILL KEEP GOING... ..
Wasiwasi wangu ni kama wanapiga wabunge hapo sasa nina mambo mawili
1 . Baadhi ya wabunge ni wadau wa jamii forum tuwatumie hao Kwenye kampaini kushawishi engine
2. Powerful people ndani ya forum watusaidie kutumia umarufu wao kumnadi mwana jamii forum wetu
Mr.Mello angazia hili ni mafanikio ya forum yetu poa kama tutapata mwakilishi wa nchi kindakindaki wa forum
Mayala si kama wengine walio wabunge na mawaziri yeye zao halisi la jamii forum.. .HONGERA SAANA YOU HAVE MY WILL KEEP GOING... ..