Mkuu hebu isome hii posti yako....ukielewa unieleweshe....
kama ukibahatika kuelewa utakachoeleweshwa, unieleweshe na mie plz.....vululu vululu....wkend yako ilikwendaje?
kama ukibahatika kuelewa utakachoeleweshwa, unieleweshe na mie plz.....vululu vululu....wkend yako ilikwendaje?
\My dia na wewe ukibahatikia kuelewa baada ya kueleweshwa na mueleweshaji aliyeeleweshwa na mtungani, tafadhali njaa unieleweshe na mimi.
haieleweki kabisa hii post, please fanya editingMkuu hebu isome hii posti yako....ukielewa unieleweshe....
na we ukiisha eleweshwa,plz uccte kunielewesha na mimi,cjaelewa k2 kilichoandikwa kabisa..mkimaliza kueleweshana kwa ujumla wenu tafadhalini kujeni hapa mlieleweshe kwa pamoja