Katika kuheshimu sheria za JF, siwezi kumtaja hapa, nitamstahi. Hata kama hivyo kama unahamu sana ya kumjua ni nani, nina tricks nyingi za kumgundua mtu... ukihitaji nitakupa moja (naweza ku charge fee lakini 🙂!!).
By the way, kuna Mugongomugongo na kuna mgongomgongo, sasa huyo uliyemtaja kama Mgongowamgongo, mimi kwa kweli simjui, sina uhakika kama ulimaanisha yule mugongomugongo aliye mtaja Judy.
SteveD.