Wana Jf Hacheni Upendeleo

Nimeshangazwa na members wa Jf kuwa na upendeleo kwa baadhi ya member! Ikifika siku ya kuzaliwa kwa mtu ambae siyo maarufu hakuna hata wishes anayopewa bt akiwa maarufu inakuwa Shida! Hapa ingekuwa siku ya kuzaliwa kwa Bishanga, Lizzy, Pacco, B52 au Invisible! Hapa pasingetosha! Mm Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, wote mmekiwa kimya! Mmeniboa na kuniudhi wana Jf la sivyo mnitake radhi kwa kunibania wishes zangu. Asanteni kwa kunielewa.

By Ta kamugisha

Hepi besdei Ta Kamugisha, hau oldi aa yuu?
 
happy bethdei tu yuu.
hongera mkuu kwa kufikisha 34 mungu akujaalie
uje uwaone wajukuu wa wajukuu wako.
 
huwa wanaambizana kwenye PM,

wala sio kwenye PM.....ni kwenye facebook na .....kama wewe si rafiki yangu mi ntajuaje....haya niadd sasa.....Perpetua Barabojic Qumnas......mwakani nakuanzishia uzi.....HAPPY BIRTHDAY.....Ta
Kamugisha....
 
Mie hizo habari za kuangalia birthday za watu hata sinaga kabisa.
Bora hata ungetutonya, wengine mpaka tuone nyuzi ndugu.

Ila ulichokisema kama kina kaukweli vile!! LOL
 
Back
Top Bottom