BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
....happy b'day.............
Happy Birthday to you..! Mi sijaona hiyo post ndugu..
Ndo utaratibu au? Mbona wengine wanaazishiwa? Au Kuna madaraja humi Jf
Ndo utaratibu au? Mbona wengine wanaazishiwa? Au Kuna madaraja humi Jf
Hahahah ulitaka nani akuanzishie? Ungesema tungeanzisha sio ishu...
Nimeshangazwa na members wa Jf kuwa na upendeleo kwa baadhi ya member! Ikifika siku ya kuzaliwa kwa mtu ambae siyo maarufu hakuna hata wishes anayopewa bt akiwa maarufu inakuwa Shida! Hapa ingekuwa siku ya kuzaliwa kwa Bishanga, Lizzy, Pacco, B52 au Invisible! Hapa pasingetosha! Mm Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, wote mmekiwa kimya! Mmeniboa na kuniudhi wana Jf la sivyo mnitake radhi kwa kunibania wishes zangu. Asanteni kwa kunielewa.
By Ta kamugisha
express yourself,happy b'day japokua umetupa makavu laivu wakati mi nilikua sijui.
Hepi besdei Ta Kamugisha, hau oldi aa yuu?
Hbd..kapime ngoma!
....happy b'day.............
Kaka n 34 yrs, next time ntaweka shaka ondoa
huwa wanaambizana kwenye PM,