Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
acha izo braza.
We huyo sio braza ni sista.
acha izo braza.
Hahahaaaaa sianajua wewe ni best yake huna madhara sana...!
Aaa'akka !
Nisiina tokku!
Tengi na nyumbi mdala wane!
Ha ha ha haaaa...Nyie warangi hamjambo?
Sasa payuko la nini ?
Ukishajua warangi!
What next ?
Kuna fungu limetangazwa la mshindi wa kwanza unapata au?
Wale wanaosemwaga na waungwana kwamba "...........akikukuta unakata gogo kalia!" si ndiyo nyie ?
Au nnakosea?
ulisema?Nimeshangazwa na members wa Jf kuwa na upendeleo kwa baadhi ya member! Ikifika siku ya kuzaliwa kwa mtu ambae siyo maarufu hakuna hata wishes anayopewa bt akiwa maarufu inakuwa Shida! Hapa ingekuwa siku ya kuzaliwa kwa Bishanga, Lizzy, Pacco, B52 au Invisible! Hapa pasingetosha! Mm Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, wote mmekiwa kimya! Mmeniboa na kuniudhi wana Jf la sivyo mnitake radhi kwa kunibania wishes zangu. Asanteni kwa kunielewa.
By Ta kamugisha
ulisema?
lakini pia wewe uwa una huo utaratibu kwa wenzio zinapofika birthday zao?
pole mwaya HAPPY BELATED BIRTHDAY!
Nimeshangazwa na members wa Jf kuwa na upendeleo kwa baadhi ya member! Ikifika siku ya kuzaliwa kwa mtu ambae siyo maarufu hakuna hata wishes anayopewa bt akiwa maarufu inakuwa Shida! Hapa ingekuwa siku ya kuzaliwa kwa Bishanga, Lizzy, Pacco, B52 au Invisible! Hapa pasingetosha! Mm Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, wote mmekiwa kimya! Mmeniboa na kuniudhi wana Jf la sivyo mnitake radhi kwa kunibania wishes zangu. Asanteni kwa kunielewa.
By Ta kamugisha
Nimeshangazwa na members wa Jf kuwa na upendeleo kwa baadhi ya member! Ikifika siku ya kuzaliwa kwa mtu ambae siyo maarufu hakuna hata wishes anayopewa bt akiwa maarufu inakuwa Shida! Hapa ingekuwa siku ya kuzaliwa kwa Bishanga, Lizzy, Pacco, B52 au Invisible! Hapa pasingetosha! Mm Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, wote mmekiwa kimya! Mmeniboa na kuniudhi wana Jf la sivyo mnitake radhi kwa kunibania wishes zangu. Asanteni kwa kunielewa.
By Ta kamugisha
bojo otuganyile,waitu Ta Kamugisha wakihyukao!
express yourself,happy b'day japokua umetupa makavu laivu wakati mi nilikua sijui.
HBD and all the best wishes from JF. Hata FB inareminder...
https://www.jamiiforums.com/member.php?u=43991Nimeshangazwa na members wa Jf kuwa na upendeleo kwa baadhi ya member! Ikifika siku ya kuzaliwa kwa mtu ambae siyo maarufu hakuna hata wishes anayopewa bt akiwa maarufu inakuwa Shida! Hapa ingekuwa siku ya kuzaliwa kwa Bishanga, Lizzy, Pacco, B52 au Invisible! Hapa pasingetosha! Mm Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, wote mmekiwa kimya! Mmeniboa na kuniudhi wana Jf la sivyo mnitake radhi kwa kunibania wishes zangu. Asanteni kwa kunielewa.
By Ta kamugisha
Happy b'day to you mkuu. Nawe hacha kulaumu. Kajifunze kwanza Kiswahili mkuu