Wana JF Arusha Asanteni sana

Wana JF Arusha Asanteni sana

Nawashukuruni kwa mapokezi mazuri mliyonipa dah hata siamini yaani nyie ni mfano wa kuigwa Mzee wa mpango shukurani BW Barikiwa PJ Sante sana Sahara voice thanx Mzee wa Upekuzi thanx na wengine wote shukrani sana
Dena,
You made our weekend Yesterday!
Ila acha ushamba wa kushitua watu last minute bana!..Yaani uko USA-RIVER ndio unatuambia?
All in all, you were so sweet!
 
Dena,
You made our weekend Yesterday!
Ila acha ushamba wa kushitua watu last minute bana!..Yaani uko USA-RIVER ndio unatuambia?
All in all, you were so sweet!
...Niajeee Jombaa
 
Dena,
You made our weekend Yesterday!
Ila acha ushamba wa kushitua watu last minute bana!..Yaani uko USA-RIVER ndio unatuambia?
All in all, you were so sweet!

PJ?Ina maana anaishi pale Usa River? Ama umemtabiria makazi.
 
PJ?Ina maana anaishi pale Usa River? Ama umemtabiria makazi.
Noo!
Ni kwamba alitokea Kericho ya Dar kuja Arusha!
Sasa akiwa maeneo ya Usa ndo anatushitua kwamba atapita na basi la Dar Express, akielekea Namanga!...!
Ikabidi mzee tuchemke kumpa HI', ndo maana ikawa ngumu kuwasiliana wote!
 
Nawashukuruni kwa mapokezi mazuri mliyonipa dah hata siamini yaani nyie ni mfano wa kuigwa Mzee wa mpango shukurani BW Barikiwa PJ Sante sana Sahara voice thanx Mzee wa Upekuzi thanx na wengine wote shukrani sana
Marytina anasikitika kwa kushindwa kujua uwepo wako Arusha
 
........hao ni wachache,tuko wengi saaaaaaaaaaana!!!karibu tena
 
Hivi siku hivi kuna ka ubaguzi eeh!? Nauliza tu kama Filipo au katibu ameanzisha ccj ndani ya JF?

ahahahahaahaaaaaaaaaaaa!....hakuna bana_najua M/kiti na Katibu wanajua wengine walikua tungi.
 
Nikija siku nyingine nafikia nyumbani kwako (Sikujua kama upo Arusha aisee)

muwe mnakuja hata huku kwetu kigoma mwisho wa reli,..sio kila siku tunasikia arusha,mwanza,dar,mby.......
 
Siongei na wewe mambo ya kunigandisha Dar airport kama wale 'masalia' nawe ukishuka KIA ndio nini sasa ? anyway karibu kishingo upande na usirudie tena sawa ?
 
Dena,
You made our weekend Yesterday!
Ila acha ushamba wa kushitua watu last minute bana!..Yaani uko USA-RIVER ndio unatuambia?
All in all, you were so sweet!

Ha ha ha umeua sooo looote sitapata lawama
 
Siongei na wewe mambo ya kunigandisha Dar airport kama wale 'masalia' nawe ukishuka KIA ndio nini sasa ? anyway karibu kishingo upande na usirudie tena sawa ?

Naomba msamaha bana network ilishindwa kukamata vizuri nikashindwa kukupigia simu. naahidi mbele ya chama mapinduzi oooohhh sory mbele ya JF sitarudia
 
Back
Top Bottom