Wana Chit - Chat!!

Wana Chit - Chat!!

Yaani mawazo yangu hayafai. Nilichojaza kwenye desh desh naomba mniachie wenyewe.
Pole kwa kutumiso. Kwani uliwndaga wappp?

heeeee...!!! shost spat picha uliwazaje. niende wapi na kwetu tuna miezi mkonga wa network umekatika... yan ful tabu hukuu
 
Usinikumbushe mwenzio nshatubu!
Sasa best ina maana wewe ndo mbunge wako aliangua kilio bungeni kulilia mtandao? Mmh poleni. Next tome msimamishe nguzo ya chuma igombee labda itawasaidia.
heeeee...!!! shost spat picha uliwazaje. niende wapi na kwetu tuna miezi mkonga wa network umekatika... yan ful tabu hukuu
 
Usinikumbushe mwenzio nshatubu!
Sasa best ina maana wewe ndo mbunge wako aliangua kilio bungeni kulilia mtandao? Mmh poleni. Next tome msimamishe nguzo ya chuma igombee labda itawasaidia.
yani tutasmamisha hadi mistim maana naona mbunge hatufai.. hapa wameskia tumeshajiandaa tuandamane ndio wametuachia leo. yan mda wowote nnaweza nkapotea hapa
 
Back
Top Bottom