princess enny
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 1,038
- 379
- Thread starter
- #61
hhahahahah!!! si bora ningeenda loliondo!!uliendanga loliondo nn babu anasemaje?
hhahahahah!!! si bora ningeenda loliondo!!uliendanga loliondo nn babu anasemaje?
huko kwenyewe nilikuwa peke yangu!! na nimetoroka peke yangu!!pole umetoroka peke yako au mko wawili?? manake miezi 2 mingi usijekuwa umetoroka huku tumbo linaumuka tu...
mwelekeze watu8 anataka kupajua
hahahhahh!! hivyo enheeee!! khaaaa ila taratibu maana tanmo ataumia!!umesahau kumwambia nimepata asali wa moyo na nilikuwa honeymoon kwa muda mrefu sana.......
mbona unabania habari njema rafiki?
mtambulishe kabisaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!:typing::typing::typing::typing:kaka ake ni zebedayo Baba V
huko kwenyewe nilikuwa peke yangu!! na nimetoroka peke yangu!!
mmmh watu 8 hapawezi!! hata mwenyewe keshakubal!! :typing:
mtambulishe kabisaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!:typing::typing::typing::typing:
khaaaa pepo gani limemuingia maskin!!! khaaahh!!!!!
Dah niko na zawadi yako princess enny
siku hazigandi......... usiwe na shaka wala niniStill healing from the Heartbreak......😱hwell:
siku hazigandi......... usiwe na shaka wala nini
taratibu tu rafiki zitayeyuka.... nina uhakika soonKwangu zimeganda, sijui ni lini zitakubali kuyeyuka...
we piaaamimi eeeeeee???????