Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Na Said Kubenea


JAKAYA Mrisho Kikwete, mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa, anapaswa kushitakiwa kwa uchochezi.

Akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama chake mjini Dodoma leo, Kikwete alichochea wanachama wa CCM kuwapiga wapinzani kwa kudai kuwa, "Uvumilivu una kikomo."

Amewataka wana CCM kuacha unyonge kwa madai kwamba wapinzani wamekuwa wakiwapiga huku wao wakisubiri polisi kuchukua hatua za kisheria.

Hii ina maana kwamba, Kikwete ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano, amewataka wanachama wa CCM, kuchukua sheria mkononi. Ametaka wananchi kuumizana, kupingana na kuuana. Huu ni uchochezi unaoweza kuingiza nchi katika machafuko ya kisiasa, kidini na kijamii.

Kama Kikwete alitaka urais, bila shaka alijipima na kujiona anaweza kufanya kazi hiyo. Kama alikuwa anajua anakwenda Ikulu kujaribu, basi alikuwa amekosea. Ikulu siyo sehemu ya kujaribu.

Kauli ya Kikwete ya kutaka wananchi wajibu mapigo, ni ishara kwamba ameomba kazi ambayo haiwezi.

Rais wa nchi hawezi kuchochea raia wake kupigana. Anapaswa kutumia vyombo alivyonavyo kusimamia sheria.

Ni lazima akumbushwe kwamba nchi hii ikiingia katika machafuko au mauaji ya halaiki, yeye ndiye atakuwa wa kwanza kuulizwa. Anaweza asiulizwe na vyombo vya sheria vya hapa, lakini ataulizwa na vyombo vingine vya dunia.
Mimi si mfuasi wa chuki,napenda amani,wala sizungumzii kauli ya mtu,nataka tu tuutafute ukweli kwani kahama kulitokea nini mpaka watu wakapigana na kutoana macho,tueleze ukweli wa chanza kwanza,au watu waliibuka na kuanza kutoana macho,nasisitiza siungi mkono machafuko ya aina yoyote,nipo kwenye root cause analysis....nini kilitokea pale kahama,ilitutibu tatizo la machafuko kwanza lililosababisha kuchafuka kwa amani pale Kahama.
 
Hakika nami sikumuelewa kama kiongozi wa nchi unaongea vile alafu kwa tabasamu kubwa kana kwamba ni mazuri,MUNGU TUJALIE
 
Njoo huku Mtwara tukupe mashamba ya korosho ulime,i think that will help you,mjini hapo pagumu sana na pameshakushinda usizidi kudhalilika
Ushauri mzuri ila sidhani kama ataufanyia kazi, ni kichwa ngumu huyu!
 
Kuwa makini na mabandiko yako mkuu! Siku moja utajitahidi kuyakana. Lakini itakuwa "TOO LATE"... Hata km ni hasira, pia ni wengi wenye hizo hasira. Tena ni wengi wenye "UCHUNGU NA HII NCHI"
Usinitishe wewe

So,what...!!
 
Kauli ya Kikwete imejaa uchochezi na inaweza ikaleta maafa makubwa ndani ya nchi yetu. Rais anapohamasisha watu kufanyiana malipizi kinyume na sharia zilizopo ni hatari sana kwa mustakabali wa Taifa. Inampasa Kikwete kama Rais wa nchi apime kauli zake kabla ya kuzitoa hadharani vinginevyo akubali kuwajibika kwa lolote litakalotokea.

Ameyaona ya Igunga na Kahama lakini kuna mengi yamefanyika ndani ya nchi hii lakini anajifanya hayajui ama hakuyasikia mfano mmojawapo ni wa yule kada wa CHADEMA aliyechinjwa kwa msumeno na waliomuua kutoroshwa na polisi ili wasichukuliwe hatua za kisheria. Hata huo uhalifu wa Igunga ulifanywa na makada wa CCM wenyewe kwa lengo la kuwapaka matope watu fulani.

Ni vyema na inatakiwa rais ahimize na kuongoza kwa kuzingatia sheria badala ya kuhamasisha chuki na mgawanyiko miongoni mwa jamii. Kwao wanasiasa mgawanyiko miongoni mwa wananchi ndiyo mtaji wao mkuu na kamwe hawataki watu wawe pamoja kwa minajili ya kujadili na kuangalia namna ya kupambana na matatizo yanayowakabili.
 
Acha uchochezi we Kubenea. Unadhalilisha taaluma ya uandishi wa habari maana siku zote habari zako zimejaa majungu tupu. Umeshindwa kuuona uchochezi unaofanywa na akina Slaa, Mbowe na Msigwa kwenye majukwaa kila siku, umeiona kauli ya Kikwete tu. Laanakum sheitwan mk...ubwa wee!

wewe angalia jina lako lilivyo,na hakika linasadifu tabia zako,maccm mmezoea ku2mia kodi za wananch kunenepesha vitambi vyenu ,ndo maana unatetea uovu,hyo kauli haipaswi kutolewa na mkuu wa nchi,kumbuka alitoa pia mzee wa kulia lia mara anaposhndwa majukumu,
 
Mbona hukusema haya wakati wana CCM wamechomewa nyumba, wamekatwa mikono na kutolewa macho huko kahama?

Mbona hukuwashitaki Mbowe na Slaa wanaotembea kwa chopper kushinikiza ngumi na mapanga kila siku?

Mchochezi ni nani? Umemwelewa JK we Kubenea au ni muendelezo wa majungu yako ya kukosa kuteuliwa nae tangu 2005?

JK hakumaanisha mapanga wala ngumi, na kama unapenda haki dhidi ya wachochezi basi faili la kwanza Mahakamani washitakiwe Mbowe na Slaa pamoja na wabunge wao kwa uchochezi na utekelezaji wa mauaji.

Nenda Bugando Mwanza ukawaone majeruhi ndo uje uandike makala yenye haki.

Kubenea unajiaabisha.
Hata wao chadema watakushangaa kama unasimama kuwatetea.

Ushahidi wa mwanzo ni namna wananchi walivyoamua kuwakataa kupitia kura na kuambulia kata 3, je unadhani hiyo ni kawaida?

Kubenea vua miwani ya ushabiki uitendee haki kalamu yako.
Hivi siku hizi kila mkosoaji wa pumba za magamba ana chuki eti kwasababu hakupewa kajinafasi? na bado naendelea kukushangaa unamaana gani kusema kj hakumaanisha alichokisema, kuwa wazi we ndo msemaji wake? unapokuwa kiongozi mkuu wa nchi ni vema kuwa makini ktk kila usemalo, hiyo kauli inafanana kabisa na uchochezi na haikupaswa kwa namna yoyote ile kutolewa na rais, yeye kama amiri jeshi mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama angetia msisitizo kwa vyombo husika (dola) kuongeza umakini zaidi kuepusha matukio kama hayo kuendelea kutokea, hayo mambo ya zidumu fikra za mwenyekiti ndo yanayopofusha akili zenu magamba, siku hizi fikra za waliopo zinateleza kama kisigino kilichokanyaga ganda la ndizi.
 
Hivi kweli huyo mnaemwita jembe Lowassa kwa maono yake akaona amwachie JK ndo awe raisi kweli ? Kweli wote vpofu tu.Jk maliza tu kwa amani usituharibie nchi ukakimbilia nje cc tubaki kuumia.
 
Eeah.! Sawa kabisa.
Kama mbwai mbwai mambo ya upole wa kondoo ni u.f.a.la.
Ujumbe huu uwafikie na wakristo wote mambo ya kuchomwa makanisa na kuuwawa mapadre hakuna haja ya kumbwela kusubri uchunguzi.
 
dk.slaa amenukuliwa mara kadhaa akisema kuwa nchi haitatawalika! Hilo mbona hamkulilaani? Hata hivyo sijaona kauli yeyote yenye kiashiria cha kuvunja amani, ni tafsiri zenu tu zenye lengo la kumchafua rais kama kawaida yenu!

eti kumchafua raisi!
Rai . Si wa nani huyu dhaifu kiasi hiki?
 
Mbona hukusema haya wakati wana CCM wamechomewa nyumba, wamekatwa mikono na kutolewa macho huko kahama?

Mbona hukuwashitaki Mbowe na Slaa wanaotembea kwa chopper kushinikiza ngumi na mapanga kila siku?

Mchochezi ni nani? Umemwelewa JK we Kubenea au ni muendelezo wa majungu yako ya kukosa kuteuliwa nae tangu 2005?

JK hakumaanisha mapanga wala ngumi, na kama unapenda haki dhidi ya wachochezi basi faili la kwanza Mahakamani washitakiwe Mbowe na Slaa pamoja na wabunge wao kwa uchochezi na utekelezaji wa mauaji.

Nenda Bugando Mwanza ukawaone majeruhi ndo uje uandike makala yenye haki.

Kubenea unajiaabisha.
Hata wao chadema watakushangaa kama unasimama kuwatetea.

Ushahidi wa mwanzo ni namna wananchi walivyoamua kuwakataa kupitia kura na kuambulia kata 3, je unadhani hiyo ni kawaida?.

Akili zako mbovu kwa hiyo unashabikia/unahalarisha mkuu wa nchi kuunga/kuhamasisha wananchi kuuana badala ya kuchukua hatua stahiki ya kuzuia bila kumuonea wala kumuonea mtu? juha!!
 
Hapa hatushindani kuorodhesha maovu wanayofanyiwa wafuasi wa vyama, kikubwa hapa ni kuwa JK kaongea kama RAIS na AMIRI JESHI MKUU.

hembu wambie.kuna watu humu wana akili fupi,yeye bdala ajikite kwa hoja iliopo anaanza kuorodhesha yaso na mana,
 
Mbona hukusema haya wakati wana CCM wamechomewa nyumba, wamekatwa mikono na kutolewa macho huko kahama?

Mbona hukuwashitaki Mbowe na Slaa wanaotembea kwa chopper kushinikiza ngumi na mapanga kila siku?

Mchochezi ni nani? Umemwelewa JK we Kubenea au ni muendelezo wa majungu yako ya kukosa kuteuliwa nae tangu 2005?

JK hakumaanisha mapanga wala ngumi, na kama unapenda haki dhidi ya wachochezi basi faili la kwanza Mahakamani washitakiwe Mbowe na Slaa pamoja na wabunge wao kwa uchochezi na utekelezaji wa mauaji.

Nenda Bugando Mwanza ukawaone majeruhi ndo uje uandike makala yenye haki.

Kubenea unajiaabisha.
Hata wao chadema watakushangaa kama unasimama kuwatetea.

Ushahidi wa mwanzo ni namna wananchi walivyoamua kuwakataa kupitia kura na kuambulia kata 3, je unadhani hiyo ni kawaida?

Kubenea vua miwani ya ushabiki uitendee haki kalamu yako.


Rubbish kati ya CCM na upinzani nani huwa ni wafanya fujo? CCM kwa kushirikiana na vyombo vya dola ndio wavuruga amani nchini kwanza hawapendi kushindwa utajikuta vyama vya upinzani mpaka vishinikize matokeo yatangazwe kwa kutumia nguvu za wananchi. Wachochezi ni wao halafu wanajifanya kuonewa nani ana vyombo vya dola katia ya CCM na upinzani? Mbona hata siku moja hatujawahi ona polisi wakipiga viongozi wa CCM bali upinzani tu?
 
Mbona hukusema haya wakati wana CCM wamechomewa nyumba, wamekatwa mikono na kutolewa macho huko kahama?

Mbona hukuwashitaki Mbowe na Slaa wanaotembea kwa chopper kushinikiza ngumi na mapanga kila siku?

Mchochezi ni nani? Umemwelewa JK we Kubenea au ni muendelezo wa majungu yako ya kukosa kuteuliwa nae tangu 2005?

JK hakumaanisha mapanga wala ngumi, na kama unapenda haki dhidi ya wachochezi basi faili la kwanza Mahakamani washitakiwe Mbowe na Slaa pamoja na wabunge wao kwa uchochezi na utekelezaji wa mauaji.

Nenda Bugando Mwanza ukawaone majeruhi ndo uje uandike makala yenye haki.

Kubenea unajiaabisha.
Hata wao chadema watakushangaa kama unasimama kuwatetea.

Ushahidi wa mwanzo ni namna wananchi walivyoamua kuwakataa kupitia kura na kuambulia kata 3, je unadhani hiyo ni kawaida?

Kubenea vua miwani ya ushabiki uitendee haki kalamu yako.

hivi kina nani waliompiga na kumjeruhi mwandishi wa habari wa mwanachi kosa er kuwapiga wanaccm kahama wakipiga wanachadema???..ccm ndo waanzilish wa fujo..ccm hamjaanza leo..tunakumbuka kule zanzibar cuf walipowakalia koon kwa upinzani imara
 
Akili zako mbovu kwa hiyo unashabikia/unahalarisha mkuu wa nchi kuunga/kuhamasisha wananchi kuuana badala ya kuchukua hatua stahiki ya kuzuia bila kumuonea wala kumuonea mtu? juha!!

Wapi rais alipohamasisha mauaji? Mbona mnatekwa na hizi siasa uchwara za CHADEMA?
 
Wapi rais alipohamasisha mauaji? Mbona mnatekwa na hizi siasa uchwara za CHADEMA?

kusema wananchi wapigane si uchochezi? Siasa uchwara zipo chadema? Umewah kumsikia mwigulu akitukana matusi ya nguon kweny kampen? Hzo si siasa uchwara?
 
Didas is solid right. Wanaccm wanafikiri kwa kutumia makalio. Kama mwenyekiti taifa hajui kuwa ngumi haziishii tu kupigana makwenzi, sembuse hili la kuigeuza Tanzania sawa na Afrika ya kati. Ahhh wanajeshi nao mdebwedo.
 
Ushauri mzuri ila sidhani kama ataufanyia kazi, ni kichwa ngumu huyu!
Nimetangaza vita na the so called Yericko Nyerere kwa kuwa kupitia yeye chadema imemtuma kutangaza vita dhidi ya waislam kwa kuwatusi na kuwadhalilisha hususan humu mitandaoni

Na kwa kuwa wengine hatuna haja ya siasa zao hizi za majitaka nawaapia chadema kwamba kwa kupitia huyu kiumbe anaeijiita mtoto wa nyerere vita hii itawagharimu humu mitandaoni na hata uraiani hata kama wao hawaioni effect hii kwa sasa lakini watakuja kuiona kwa baadae

Wapambane na adui yao ccm,lakni kuwatumia walaghai laghai na wahun wahun kama yericko kuwasha moto na giants kama sisi ni wazi kwamba wanajitangazia kifo,we are so much dedicated into this mission HATULIPWI NA YOYOTE,WE FUND OURSLVS
 
Last edited by a moderator:
kusema wananchi wapigane si uchochezi? Siasa uchwara zipo chadema? Umewah kumsikia mwigulu akitukana matusi ya nguon kweny kampen? Hzo si siasa uchwara?

Ukiambiwa ulete ushahidi, utaanza porojo...!
 
Back
Top Bottom