Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

"Your wish is my command" yeye kasema sisiem waache unyonge lakini kwa walio chini yake hilo ni agizo limetolewa rasmi.
 
Kikwete alipoingizwa madarakani, jambo la kwanza ilikuwa kumwagiwa tindikali Kubenea, ikafuatia Richmond, Balali wa BOT, kuchinjwa kwa msomeno mwana CDM kule USA river, kuuliwa mwana CDM Igunga, kuuliwa kwa Mwangosi, hivi vyote vilifanywa na ccm, leo wananchi wanapowageuga na kuanza kuwageuzia umesikia kauli ya kiongozi wao mkuu. Mimi sishabikii ila akiwa kiongozi wa NCHI alitakiwa akemee.
 
Kikwete alipoingizwa madarakani, jambo la kwanza ilikuwa kumwagiwa tindikali Kubenea, ikafuatia Richmond, Balali wa BOT, kuchinjwa kwa msomeno mwana CDM kule USA river, kuuliwa mwana CDM Igunga, kuuliwa kwa Mwangosi, hivi vyote vilifanywa na ccm, leo wananchi wanapowageuga na kuanza kuwageuzia umesikia kauli ya kiongozi wao mkuu. Mimi sishabikii ila akiwa kiongozi wa NCHI alitakiwa akemee.

Usisahau waislamu wenzake walivyomuua padre wetu huko Zenjibari.
 
Mwl.J.K.Nyerere.. Alihamasisha Umoja na Mshikamano..

A.H.Mwinyi ==> biashara...

B.W.Mkapa ==>Ubinafsishaji na Uwekezaji...

Mkuu wa sasa J.K ==>Anahamasisha Watu kulipa Visasi...
 
Mwl.J.K.Nyerere.. Alihamasisha Umoja na Mshikamano..

A.H.Mwinyi ==> biashara...

B.W.Mkapa ==>Ubinafsishaji na Uwekezaji...

Mkuu wa sasa J.K ==>Anahamasisha Watu kulipa Visasi...

Kamuulize babu. Seiyaaaa
 
  • Thanks
Reactions: prs
raisi wa mipasho jk katoa
kauli sasa ni kufyeka fyeka tu viccm uchwara vinavyo ingilia ruti za
chadema na kuvichinjilia mbali huko ,wito kwa red brigade noeni mapanga
yenu tayar kwa kuanza kazi sababu ccm tayari wamesha ruhusiwa kwa mujibu
wa katiba ya jk.
Kwa ulichokiandika hapo, je upo tayari kuja kutoa ushaidi The Hague ? Wataminywa admin wa JF then ID yako itatambulika tu.
 
Amemaanisha tuandae na kunoa mapanga yetu, na kununua pinde na mishale, fita ni fita muraaa, mwenye mkuki ahayaaaa mwenye kombeo bebabebaaa aruta continuia
Mimi na mke wangu tumeanza mazoezi, unyonge no, ni mchamchaka mpaka lyamba.
 
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.

Amewataka wana CCM kuacha unyonge. Amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.

Source: News, TBC1

Sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.

Hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? Kwa kuua au?

Mimi nisingekuwa na shida kama angekuwa 'mwenyekiti wa chama', naogopa zaidi kwani huyu ni Rais wa nchi na Amiri jeshi mkuu.
 
naona kaamua kutangaza
vita ya wenyewe kwa wenyewe! natamani kamanda wa anga naye awatangazie
wanacdm waache uoga na wasiwe wanyonge! labda tukipigana hata kwa mwezi
mmoja tutaheshimiana!
Wenye hasira wote tuwaandalie uwanja, tuwafungie ndani, then wakatane mapanga. Huku ss tunawaangalia kupitia TV.
 
Natamani tuanze hata kesho kutwa kwenye ubunge wa Iringa mimi nitachoma moto ofisi zote za serikali na CCM na kwa vile tunawajua viongozi wetu wote CCM nitahakikisha wote wamekufa kwa moto pamoja na familia zao mpaka wahame nchi,
 
Nani kwani kalianzisha hili Sebene
Case study nzuri ni issue ya Rwanda 1994, waandishi wa Radio RTLM wao walikuwa wanachochea mauaji kwa kuhimiza Wahutu wabebe mapanga kuwaua Cockroaches, nadhani kama umefuatilia wote wametiwa hatiani kuhusika na mauaji. Kama JK kachemka wewe usifuate ujinga wake. Tupendane wa Tz vyama hivi vitatupotezea Amani ya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom