Sikuwa karibu na Runinga, ila nilipifika nyumbani binti yangu akanieleza hakumuelewa Kikwete na kauli yake. Nikamuuliza kauli gani? Akaniambia amewambia ccm waache unyonge! wasitishwe na wapinzani, wagombee nafasi yoyote wanayotaka'.
Hii nchi JK haiachi salama, take my word! Nilishasema sism wako tayari kua ilimradi wasalie madarakani. Hii haikubaliki. CDM nendeni jimbo la kalenga bila uoga. Wambie tume ya uchaguzi kuboresha daftari. Wambie polisi wasiyhubutu kulibda waiba kura, wasithubutu kuingilia kampeni za uchaguzi huo. Waandaeni green guard kulinda kura za wapiga kura. Nchi hii yetu sote....hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Ni box la kura linalohamua nani awe nani. si polisi, si jk, si mahakama. Ccm achini haki ndiye awe mtawala.
Aise ata mimi imenishangaza .aise huyu presda .uzee umemjia ghafla .2015 ifike haraka tuachane nae ingali salama .yuko kama anaongoza timu ya mpira .tukifungwa goli la umasikini .analalamika .goli la ufisadi analalamika .goli tembo wanaisha analalamika .goli ya timu yake safari kudhibitiwa kufanya fujo kwa kufanyiwa nayo .analalamika .nakuanza kuwajenge kwa saikolojia chafu ya kuondoa unyonge .maanake nini ?.maana ccm kwa fujo ndio wenyewe .sasa wakiondoka hapo kwenye unyonge wakupiga .sianawaambia waue sasa .,
Ha ha ha.wapigwe tu.tumechoka.
Ameidhinisha piga nikupige jino kwa jino
Bila kufuata tatatibu za kisheria
Anaungana sasa na waziri mkuu aliyesema "utapigwa tu"
Ni kiashirio kwamba uchaguzi ujao kutakuwa na vipigo kwa sababu kibali kuacha unyonge kimetolewa rasmi.
Kwa kuwa chadema mmezowea mapigano na umwagaji damu,basi kauli hii nyinyi mnaitafsiri kwa mujibu wa taratibu zenu.
kama binti yako tu katishika nadhan kila mtanzania aliye na akili timamu inabidi aitafakari hii kauli kwa mapana. ni kauli nzito sana kutolewa na rais
safi sana jakaya.nimeipenda sana.sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.
ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.
amewataka wana CCM kuacha unyonge. hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? kwa kuua au?
na amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.
source: news, TBC1
Kwa kuwa chadema mmezowea mapigano na umwagaji damu,basi kauli hii nyinyi mnaitafsiri kwa mujibu wa taratibu zenu.
Wanadhani kikwete kaagiza wachapwe! maana wao ni watovu wa nidhamu, kumbe rais ana maana nyingine kabisa!
Kwa kuwa chadema mmezowea mapigano na umwagaji damu,basi kauli hii nyinyi mnaitafsiri kwa mujibu wa taratibu zenu.
Ameidhinisha piga nikupige jino kwa jino
Bila kufuata tatatibu za kisheria
Anaungana sasa na waziri mkuu aliyesema "utapigwa tu"
Ni kiashirio kwamba uchaguzi ujao kutakuwa na vipigo kwa sababu kibali kuacha unyonge kimetolewa rasmi.
Hii ni hali ya kutojielea kua yuko position gani katika nchi hii. Kwa hakika kiongozi wetu huyu kachoka akapumzike kwa sasa maana hii ni kama kuidhinisha watu wauane.