Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Hamuwezi kumuelewa kwasababu alitakiwa kuwatumia polisi kuwakamata waliofanya hivyo. chakusangaza anawatuma wajibu mapigo. NISAWA NA KUMTUMA ALIYE IBIWA NAYE AKAIBE.

Nafikiri ukiwa na ushauri kama huu inabidi tutafakari kuhusu akili yako, maana anamamlaka, angeweza kuwaagiza polisi wawakamate waliofanya kitendo kile.

KWA UJUMLA NAFIKIRI AMESHINDWA KAZI, NA HANA BUSARA
 
Nimeshangaa kauli yake hebu kila mtu mwenye dini na asiye na dini aombe kama dakika kumi kwa ajili ya kiongozi huyu mkuu wa chama.Nahisi zile damu zimeanza kuwachanganya watu ndo sababu wengine wanakimbilia Nigeria.Jamani hii ni hatari!!!

...............................................................................................................................................
....................Amina.
 
Binafsi sijaisikia, lakini baada ya kusoma hapa, pengine anawashawishi wa chama chake wajivunie wanachokifanya. Kuna tatizo hapo, yeye akiwa mwenyekiti wao? Tujitahidi kuangalia vitu kama vilivyo badala ya kujenga "presedence" ya vagi, mleta uzi.

Tukumbuke kuwa hii si nchi ya CCM na CDM pekee.

Am I missing something here?

habari hujaiona halafu unabisha. does it mean wote tulioona tumeshindwa kuelewa?
just try kuitafuta hiyo habari then urudi na sio kuendeshwa na emotion
 
Amani ya Nchi lazima ilindwe kwa gharama zozote!

mkuu unachokiongea unamaanisha au?!
kwa mtu mwenye akili timamu aliyeisikiliza hii habari hawezi kuyasema hayo unayoyasema
 
Hamuwezi kumuelewa kwasababu alitakiwa kuwatumia polisi kuwakamata waliofanya hivyo. chakusangaza anawatuma wajibu mapigo. NISAWA NA KUMTUMA ALIYE IBIWA NAYE AKAIBE.

Nafikiri ukiwa na ushauri kama huu inabidi tutafakari kuhusu akili yako, maana anamamlaka, angeweza kuwaagiza polisi wawakamate waliofanya kitendo kile.

KWA UJUMLA NAFIKIRI AMESHINDWA KAZI, NA HANA BUSARA

mkuu naomba hayo maneno umwambie MSALANI maana yeye ndie naona katumwa jukwaani leo kuja kutetea kauli ya mwenyekiti wake.
 
Last edited by a moderator:
Jk alisha poteza uhalali wa kuwa rais mda mrefu sana hii kauli haina tofauti na ile kauli ya Pinda kuwa wapigwe tu.
Jk asichojua nikuwa kauli kama hizi ndizo zinaleta machafuko nchini .
Wanaharakati kauli kama hii ya mkuu wa nchi lazima ikashifiwe
CHADEMA toeni kauli kulaani mwendo wa Jk.haiwezekani amiri jeshi mkuu alalamike hadharani utasema hana vikosi vya ulinzi na usalama alivyo kabidhiwa kulinda Amani.
 
Kuhusu ile gari iliyokamatwa na mapanga na nondo ilikuwa kwenye wilaya ya bagamoyo nyumbani kwa Jk mwenyewe sasa hapo tufikirie nini?
 
punguani kweli mimi mwenyewe nimemshangaa mwenyekiti wangu kwa hii kauli unasababisha tuonekane ccm wote akili sawa, kaa kimya

nashukuru mkuu kwa kuweka itikadi za chama pembeni na kuongea ukweli kwa maslahi ya amani ya taifa.
 
Kuhusu ile gari iliyokamatwa na mapanga na nondo ilikuwa kwenye wilaya ya bagamoyo nyumbani kwa Jk mwenyewe sasa hapo tufikirie nini?

utekelezaji wa kauli ulianza kabla ya kauli kutolewa in public
 
Jk kasema hivi naomba nimnukuu yale matukio yaliyotokea kwenye chaguzi ndogo yanachangiwa na sisi(ccm)kuwa wanyonge najua kesho hii ndio itakuwa habari ila sijali kitu
 
Naunga mkono kauli ya JK, ccm kama ilivyo kwa raia wengine wana haki ya kujilinda. Ningeshangaa kama JK angesema ccm wawe wanyonge. Kazi ya kujilinda sio jukumu la polisi ambao ni wachache kukidhi mahitaji, ni kazi ya kila chama na kundi la watu wenye nia moja njema. Kwanza JK kachelewa kutoa hii kauli kiasi cha watu kupoteza maisha kwa unyonge. Baba aliniambia usichokoze ila ukichokozwa na mchokozaji akadhamilia kukujeruhi, usiwe mnyonge. Pigana naye then baba yake na mimi tutakaa kuongea nakumaliza.

Hongera JK, tuko nyuma yako.
 
ina tofauti sana mkuu maana hii imetolewa na amiri jeshi mkuu na ndio mwenye final say.

Mkuu, Aliyemteua Pinda Ka.anza Mijengo ime.Pinda maadamu haku-disaprove maana yake indirectly alikuwa ameagiza. Kwa kauli ya leo, amepipigia mstari kauli ya mwanzo kwamba 'wapigwe tu'
 
Jk amevurugwa sana ila hii kauli haina tofauti na kauli ya waziri mkuu pinda kuwa wapigwee tu sisi tumechoka.ZZK nakutaka utoe kauli kulaani na kukashifu kauli ya Jk
 
Naunga mkono kauli ya JK, ccm kama ilivyo kwa raia wengine wana haki ya kujilinda. Ningeshangaa kama JK angesema ccm wawe wanyonge. Kazi ya kujilinda sio jukumu la polisi ambao ni wachache kukidhi mahitaji, ni kazi ya kila chama na kundi la watu wenye nia moja njema. Kwanza JK kachelewa kutoa hii kauli kiasi cha watu kupoteza maisha kwa unyonge. Baba aliniambia usichokoze ila ukichokozwa na mchokozaji akadhamilia kukujeruhi, usiwe mnyonge. Pigana naye then baba yake na mimi tutakaa kuongea nakumaliza.

Hongera JK, tuko nyuma yako.

Wewe ni mgonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini!
 
naona kaamua kutangaza vita ya wenyewe kwa wenyewe! natamani kamanda wa anga naye awatangazie wanacdm waache uoga na wasiwe wanyonge! labda tukipigana hata kwa mwezi mmoja tutaheshimiana!
 
Back
Top Bottom