Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 756
- 322
Waliuawa kwa sababu gani? kama siyo vurugu walizoanzisha wao? usitegemee kuwa ukianzisha vurugu siyo lazima ufe wewe, jiwe likirushwa halichagui umeanzisha vurugu wewe au la. CHADEMA mjitathmini sana, ukiona mkuu wa nchi ametoa kauli kama hiyo ujue serikali imechoka, sasa mkiendekeza viroba vyenu na uchagaa hakika mtakwisha
sorry mkuu mbona kauli zako zimekaa kichokochoko sana au na wewe ni uchoko wako?!!