ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #21
ulikuwa hujui nini, kama nimeshikishwa cha nyuma mwenzio ndo maana nimewaambatanisha kwa umoja, angalia ndo unamalizwa kiaina hivyo
Ndo nini wewe ladyfurahia kumualika mai waifu wangu Paloma bila ya mimi mwenye mali kualikwa..? Halafu ninaona umebananisha jina lake na saudari unajaribu kumfanyia deti fiksingi mai wafu wangu..? Umechukua takrima eeh..