Wana CC wote nawatakia sikukuu njema

Wana CC wote nawatakia sikukuu njema

ladyfurahia nina kadi yako hapa na kwa kuwa hujanitaja naichana chana
Sikukuu njema kwa wote haswa binamu zangu Paloma, Passion Lady, Madame B Zion Daughter, Blaki Womani, Preta, mwalimu wangu gfsonwin, sweetlady, charming lady, Lady doctor popote ulipo, the secretary, amu, mimisa, King'asti, Mamndenyi, Heaven on earth, mke wangu mpendwa Dena Amsi wakuu wangu Bishanga, Arushaone, Erickb52, Filipo, Mungi LiverpoolFC, Asprin, Rutashubanyuma, Ruttashobolwa, KakaKiiza, Kaizer, sosoliso, manoah, Jiwe Linaloishi, EMT, Nicas Mtei, The Boss, Blaine, grafani11, saudari na wengine wote ambao sikuweza kuwataja nawatakia sikukuu njema

Sikukuu njema Mr.
 
Last edited by a moderator:
SAMAHANI SANA KAKA YANGU WA UKWEHEEEE nilijisahau kukucc nawe nisamehe 7x70 na naomba usiichane hiyo kadi nitumie kwa njia ya EMS basi japo nione au nitumie hapa hapa nione best.
ladyfurahia nina kadi yako hapa na kwa kuwa hujanitaja naichana chana
Sikukuu njema kwa wote haswa binamu zangu Paloma, Passion Lady, Madame B Zion Daughter, Blaki Womani, Preta, mwalimu wangu gfsonwin, sweetlady, charming lady, Lady doctor popote ulipo, the secretary, amu, mimisa, King'asti, Mamndenyi, Heaven on earth, mke wangu mpendwa Dena Amsi wakuu wangu Bishanga, Arushaone, Erickb52, Filipo, Mungi LiverpoolFC, Asprin, Rutashubanyuma, Ruttashobolwa, KakaKiiza, Kaizer, sosoliso, manoah, Jiwe Linaloishi, EMT, Nicas Mtei, The Boss, Blaine, grafani11, saudari na wengine wote ambao sikuweza kuwataja nawatakia sikukuu njema
 
Hivi mimi Mamndenyi sikupata mwaliko kutoka kwa mwanaume hata mmoja hapa cc. Kweli yaani ma me woote hapa cc nimewashusha daraja ile mbaya. hivi hizo hela zenu ni za wapi?

Ha ha ha Mamndenyi.. kila mtu katoka na wake leo.. Umebaki mwenyewe jamvini hapa.. Hata Mr Rocky kukukumbuka jamani..! Hajui kama cha kale ni dhahabu..
 
Last edited by a moderator:
sosoliso yaani hii niliiweka nikiitoa haraka sana
daaa kumbe uliitaka aise, mmmh
was just a chit chat but for me Eid was better.
Mr Rocky huko kwao wanaishi kama digi digi hata wenyewe hawana amani
huku mabomu huku risasi looooh,

Ha ha ha Mamndenyi.. kila mtu katoka na wake leo.. Umebaki mwenyewe jamvini hapa.. Hata Mr Rocky kukukumbuka jamani..! Hajui kama cha kale ni dhahabu..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom