Nawatakia Waislam wote Ramadhan njema, haya ni yangu machache

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,907
NAWATAKIA WAISLAM WOTE RAMADHAN NJEMA, HAYA NI YANGU MACHACHE.

Anaandika, Robert Heriel
Kuhani katika Hekalu Jeusi.

Ninapenda kuwatakia Waislam wote Ramadhan njema. Mwezi huu ni muhimu katika dini ya kiislam kwani inaaminiwa kuwa ndio mwezi ambao Quran tukufu ilishushwa Kwa mara ya Kwanza, yaani ufunuo wa kwanza"wahayi wa Kwanza" kushushwa.

Quran ilishushwa katika mwezi wa tisa katika Kalenda za kiarabu za Wakati huo, ambao uliitwa Ramadhan, uliitwa Ramadan Kutokana na Tabia na Hali y hewa Kwa mwezi huo kuwa na jua Kali na ukame, hivyo neno Ramadan ni neno la kiarabu lenye maana ya "dryness" au ukame" au kiangazi Kwa Lugha ya kijiografia.
hivyo Baada ya ujio wa uislam ulirithi Kalenda hiyo ambao Kwa sasa Kalenda ya kiislam hutumia Lunar Calendar yaani Kalenda inayofuata Mzunguko wa mwezi.

Hii ni kusema kwenye Kalenda ya kiislam Mwaka Una siku kama 354 hivi Kutokana na Mzunguko wa mwezi kwenye Dunia. Zingatia Mzunguko wa mwezi ni siku 28 mpaka 30 kutegemeana na mwezi husika na Aina ya Kalenda. Hautakula wala kunywa Kwa nyakati zote za Mchana na utafungua Swaumu nyakati za jioni kabisa, Kwa kula Iftars.

Tunaweza kujiuliza ni Kwa nini Quran ishushwe mwezi wa tisa, yaani Mwezi wa Ramadhan na sio mwezi mwingine? Hilo tutajadili siku nyingine, lakini lazima kuwe na sababu. Kwa maana katika dini au sayansi kila kitu kina sababu na maana yake.

Kwa nini Waislam waliamrishwa Wafunge katika mwezi huu wa Ramadhan na sio mwezi mwingine?
i) Sababu kubwa ni kuadhimisha, kuheshimu, kukumbuka mwezi ambao Quran tukufu ambayo ni kitabu wanachoamini kimetoka Kwa Mungu wao kama kitabu cha kuwaongoza.
Hivyo kuiheshimu Ramadan ni kukiheshimu kitabu cha Quran na kumheshimu aliyekishusha.

ii) Kupitia Swaumu(njaa itakayowapata Wakati wamefunga) Wataweza kuelewa Kwa vitendo namna Watu wenye uhitaji kama Maskini wasio na Chakula jinsi wanavyojisikia. Na hii itawafanya wao wawe na Shukrani Kwa vile Mungu wao alivyowaneemesha, pia itawapa Ari na hamasa ya kuwasaidia wenye njaa na uhitaji.
Na hii italeta sababu ya tatu hapo Chini.

iii) Kutoa Zakat, yaani sehemu ya Mali Yao kama Sadaka Kwa wenye uhitaji.

Iv) kutenda Mema kadiri ya majaliwa MTU aliyojaliwa.

Uislam kama zilivyodini nyingine za Haki zinatambua kuwa Watu wote sio Sawa, Watu hawafanani, kuna wenye afya na wasio na afya. Ndio maana amri hii iliweka uwanja WA kutokea Kwa wale wagonjwa na wenye udhaifu unaofahamika na kukubalika kisheria, Watu wa hivyo hawatakiwi kufunga Ramadan.

Kufunga Ramadan ni lazima, pia ni sehemu ya nguzo ya lazima katika Uislam.

Mtu mwenye afya njema halafu hajafunga lakini anajinasibisha na uislam anamaanisha nini;
1. Anamdharau Mungu wake(Mungu wa Waislam)
2. Anadharau kitabu cha Quran na Dini yote ya Waislam.
Mtu huyo ni Mbaya zaidi kuliko Kafiri asiyemuamini Mungu.
Kwa sababu yeye anamuamini na kumjua Mungu(Mungu wa Waislam) lakini hamfuatishi vile asemavyo.

Sisi wengine tusiowaislam Kwa maana ya kufuata dini hiyo, tunauona utaratibu huu wa Mungu aitwaye Allah na Mtumishi wake Muhammad ni mzuri, na Kwa sababu tunapenda vitu vizuri tunawapongeza walitunga Jambo hilo na wanaolifuata. Kwa sababu lengo lake ni kujenga jamii na kuifanya jamii iwe na Matendo Mema.

Wazazi na watu wote wenye nafasi ya uongozi. Ni muhimu kuwalea Watoto wetu katika misingi ya maadili Mema yenye kuifanya jamii yetu kuwa jamii inayoupinga na kuukataa uovu.

Sisi kina Taikon tunazichukulia dini kama vyuo vya kufundisha maadili Mema.
Hivyo Kusoma chuo cha uislam au Ukristo au ubudha au Voodoo au dini yoyote uwe Kwa lengo la kuifanya jamii iwe na Maadili.

Mambo ya ubaguzi kisa mmoja kasomea Ukristo au uislam ni Sawa na MTU anayembagua MTU aliyesomea Udsm na aliyesomea Oxford.

Kwenye Dini tumefundishwa kubagua Watu waovu, na wasio na Maadili.

Hatujafundishwa kubagua Watu Wema kisa wamesomea Chuo cha Uislam au Ukristo au Usabato.

Kufikia hapo sina la ziada.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Shida ni unafiki wa wafuasi wa hii dini,mwezi 1 wa toba,miezi 11 ya uovu na dhambi.
 
NAWATAKIA WAISLAM WOTE RAMADHAN NJEMA, HAYA NI YANGU MACHACHE.

Anaandika, Robert Heriel
Kuhani katika Hekalu Jeusi.

Ninapenda kuwatakia Waislam wote Ramadhan njema. Mwezi huu ni muhimu katika dini ya kiislam kwani inaaminiwa kuwa ndio mwezi ambao Quran tukufu ilishushwa Kwa mara ya Kwanza, yaani ufunuo wa kwanza"wahayi wa Kwanza" kushushwa.

Quran ilishushwa katika mwezi wa tisa katika Kalenda za kiarabu za Wakati huo, ambao uliitwa Ramadhan, uliitwa Ramadan Kutokana na Tabia na Hali y hewa Kwa mwezi huo kuwa na jua Kali na ukame, hivyo neno Ramadan ni neno la kiarabu lenye maana ya "dryness" au ukame" au kiangazi Kwa Lugha ya kijiografia.
hivyo Baada ya ujio wa uislam ulirithi Kalenda hiyo ambao Kwa sasa Kalenda ya kiislam hutumia Lunar Calendar yaani Kalenda inayofuata Mzunguko wa mwezi.

Hii ni kusema kwenye Kalenda ya kiislam Mwaka Una siku kama 354 hivi Kutokana na Mzunguko wa mwezi kwenye Dunia. Zingatia Mzunguko wa mwezi ni siku 28 mpaka 30 kutegemeana na mwezi husika na Aina ya Kalenda. Hautakula wala kunywa Kwa nyakati zote za Mchana na utafungua Swaumu nyakati za jioni kabisa, Kwa kula Iftars.

Tunaweza kujiuliza ni Kwa nini Quran ishushwe mwezi wa tisa, yaani Mwezi wa Ramadhan na sio mwezi mwingine? Hilo tutajadili siku nyingine, lakini lazima kuwe na sababu. Kwa maana katika dini au sayansi kila kitu kina sababu na maana yake.

Kwa nini Waislam waliamrishwa Wafunge katika mwezi huu wa Ramadhan na sio mwezi mwingine?
i) Sababu kubwa ni kuadhimisha, kuheshimu, kukumbuka mwezi ambao Quran tukufu ambayo ni kitabu wanachoamini kimetoka Kwa Mungu wao kama kitabu cha kuwaongoza.
Hivyo kuiheshimu Ramadan ni kukiheshimu kitabu cha Quran na kumheshimu aliyekishusha.

ii) Kupitia Swaumu(njaa itakayowapata Wakati wamefunga) Wataweza kuelewa Kwa vitendo namna Watu wenye uhitaji kama Maskini wasio na Chakula jinsi wanavyojisikia. Na hii itawafanya wao wawe na Shukrani Kwa vile Mungu wao alivyowaneemesha, pia itawapa Ari na hamasa ya kuwasaidia wenye njaa na uhitaji.
Na hii italeta sababu ya tatu hapo Chini.

iii) Kutoa Zakat, yaani sehemu ya Mali Yao kama Sadaka Kwa wenye uhitaji.
Iv) kutenda Mema kadiri ya majaliwa MTU aliyojaliwa.

Uislam kama zilivyodini nyingine za Haki zinatambua kuwa Watu wote sio Sawa, Watu hawafanani, kuna wenye afya na wasio na afya. Ndio maana amri hii iliweka uwanja WA kutokea Kwa wale wagonjwa na wenye udhaifu unaofahamika na kukubalika kisheria, Watu wa hivyo hawatakiwi kufunga Ramadan.

Kufunga Ramadan ni lazima, pia ni sehemu ya nguzo ya lazima katika Uislam.

Mtu mwenye afya njema alafu hajafunga lakini anajinasibisha na uislam anamaanisha nini;
1. Anamdharau Mungu wake(Mungu wa Waislam)
2. Anadharau kitabu cha Quran na Dini yote ya Waislam.
Mtu huyo ni Mbaya zaidi kuliko Kafiri asiyemuamini Mungu.
Kwa sababu yeye anamuamini na kumjua Mungu(Mungu wa Waislam) lakini hamfuatishi vile asemavyo.

Sisi wengine tusiowaislam Kwa maana ya kufuata dini hiyo, tunauona utaratibu huu wa Mungu aitwaye Allah na Mtumishi wake Muhammad ni mzuri, na Kwa sababu tunapenda vitu vizuri tunawapongeza walitunga Jambo hilo na wanaolifuata. Kwa sababu lengo lake ni kujenga jamii na kuifanya jamii iwe na Matendo Mema.

Wazazi na watu wote wenye nafasi ya uongozi. Ni muhimu kuwalea Watoto wetu katika misingi ya maadili Mema yenye kuifanya jamii yetu kuwa jamii inayoupinga na kuukataa uovu.

Sisi kina Taikon tunazichukulia dini kama vyuo vya kufundisha maadili Mema.
Hivyo Kusoma chuo cha uislam au Ukristo au ubudha au Voodoo au dini yoyote uwe Kwa lengo la kuifanya jamii iwe na Maadili.
Mambo ya ubaguzi kisa mmoja kasomea Ukristo au uislam ni Sawa na MTU anayembagua MTU aliyesomea Udsm na aliyesomea Oxford.

Kwenye Dini tumefundishwa kubagua Watu waovu, na wasio na Maadili.
Hatujafundishwa kubagua Watu Wema kisa wamesomea Chuo cha Uislam au Ukristo au Usabato.

Kufikia hapo sina la ziada.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umenena vyema kiongozi, na umewapa ufahamu kwa wasiofahamu juu ya lengo na faida ya huu mwezi..

Hakika, umeeleza vyema juu ya machache yaliyopo kwenye mwezi huu na faida zake kwa yule atakaeuendea vyema, lakin pia na hasara zake kwa yule atakaeacha fadhila zake kwa makusudi au kibri.

Umewakumbusha wale waliojisahau juu ya neema za mwezi huu.

Najua kuna wajinga wataleta utani na kebehi kama kawaida yao lakini kwa hakika ujumbe umewafikia juu ya wale wenye mazingatio.

Linenapo jema lafanyiwa kazi bila kujali limetoka kwenye kinywa gan maadam ni jema twalichukulia kwa mazingatio yake.
 
Umenena vyema kiongozi, na umewapa ufahamu kwa wasiofahamu juu ya lengo na faida ya huu mwezi..

Hakika, umeeleza vyema juu ya machache yaliyopo kwenye mwezi huu na faida zake kwa yule atakaeuendea vyema, lakin pia na hasara zake kwa yule atakaeacha fadhila zake kwa makusudi au kibri...
Mazingatio ni kula kama kiwavijeshi.

Yani nimeshatuniwa ratiba kabisa ya chakula ni heavy menu sio mchezo
 
Ramadhan Menu Plan
.

Day1:

Tende

Shurba

Chapati

Maharagwe ya nazi

Samaki wa kukaangaa


Day2:

Kaimati

viazi karai

Chapati na Mbaazi

Fruit Custard



Day3:

Bajia

Cutlets

Shurba

Chapati

Viazi vya Rojo

Nyama ya kukangaa



Day4:

vitumbua

Mchuzi wa keema

kachori, chutney

Tambi za nazi



Day5:

Ndizi mbichi za nyama

Sambusa

Uji wa kunde..



Day6:

Tende

Bajia za kihindi

Pilau, salad,ndizi,na pilipili yakukaanga,

Milk shake

Bembe au daku,chai na catles.



Day7:

Muhogo wa nazi kwa samakii

Bajia

ndizi mkono wa temboo za nazii

Juice ya castard



Day8

viazi vya nyama vya nazi

Mikate ya maji

Mchuzi wa mayai

katlesi

Juice ya nanasii



Day9:

Sambusa

shurba

viyazi vya nazi

mkate wa tambii



Day10:

Tambi za kukaangaa

Rosti la mainii

Mikate ya ajemi ns

Kuku choma

Egg chops



Day11:

Spring rolls

Chapati au wali na mchuzi wa kababu,

Faluda



Day12:

Tende

kaimati

Boga la kupaka kwa nazi

Ndizi mbichi za nazi kwa utumbo



Day13:

Bajia na tende.....

Mkate wa ufuta kwa mchuzi wa kababu,

Ndizi za kiume

Milkshake ya tende



Day14:

Tende,

Batata chops,

Chapoo na mchuzi wa keema,

Vibibi





Day15:

Tende

Sambusa

Mkate wa ufuta

Mchuzi wa nyama roast

Tambi brown za maziwa

Custard cake





Day16:

Tende

Viazi vya karai

Sima, Samaki Wa Kukaranga Na Mboga.

Matobosha Kwa Uji .

Desert Mix Fruit With Ice Cream.





Day17:

Tende na kahawa

Sambusa

Mahamri

Maharagwe ya nazi na

Nyama kavu

Fruit salad


Day18:

Tende

Spring rolls

kahawa

Chapati kwa viazi ya nazi ya nyama,

Tambi za kukahanga

Custard





Day19:

Tende

kahawa

sambusa



Macaroni ya tuna

Mikate ya ajemi

Nyegere za nazi

Tandoor chicken

Badia za kunde

kachori

Chutney

Tambi.

Fresh fruits

Juice ya bungo

Chai kavu





Day20:

Tende na kahawa

sambusa,

katlesi za tuna

Pilau ya nyama

Salad

Juice

Chocolate cake na ice cream





Day21:

Tende

Kaimati

Bajia za kunde

Mahambri

Mbaazi

Nyama kavu na

Ndizi mbichi

Dessert pudding

Fruit mango



Day22:

Tende

Kaimati

Ndizi mbichi

Njugu mawe

Chapati za maji

Pweza au ngisi wa kukaanga

Custard

Sharbati ya rozi



Day23:

Viazi karai

Tende

Pizza

Podini

Juice





Day24:

Sambusa

Bajia

Mahamri

Rojo la viazi

Tambi

Cake

kahawa




Day25:

Katlesi

Bajia za kihindi

Tende

Juice

Viazi va nazi

Homemade scones

Grilled chicken wings

Fruit salad





Day26:

Tende

Viazi va karai

Pizza

Tambi za brown.

Juice /chai




Day27:

Kachori

Tende

Juice

Chapati.

Rosti ya mainii.

Tambi za nazi.



Day28:

Tende

Sambusa

burger

Chips na kuku

Mkate wa mayai,maandaz

Juice ya matunda




Day29: By..

Tende

Kalimati

Mkate wa ufuta

Samaki wa kupaka

Wali wa nazi na njegere.



Day30:

Tende

Kababu,kachori ,chapat za maji

Viazi vitam,
magimbii,maboga ya nazi.

Fruit salad
 
Acha kuleta siasa katoka dini.

Kuna Mungu mmoja tu hakuna Mungu wa waislamu wala wakristo.Mungu aliyekuumba wew ndo aliyeniumba mim na ndo aliyemuumba papa na ndo huyohuyo aliyemuumba zumaridi.

Maoni yangu kutokana na bandiko lako ni unajaribu kukashfu imani ya kiislamu kwa lugha ya utakatifu.

Binafsi nimekuelewa na nimeelewa dhamira yako katika bandiko hili.

Acha hiyooo mbaya.

Mwisho wa maoni.
 
Ramadhan Menu Plan
.

Day1:

Tende

Shurba

Chapati

Maharagwe ya nazi

Samaki wa kukaangaa


Day2:

Kaimati

viazi karai

Chapati na Mbaazi

Fruit Custard



Day3:

Bajia

Cutlets

Shurba

Chapati

Viazi vya Rojo

Nyama ya kukangaa



Day4:

vitumbua

Mchuzi wa keema

kachori, chutney

Tambi za nazi



Day5:

Ndizi mbichi za nyama

Sambusa

Uji wa kunde..



Day6:

Tende

Bajia za kihindi

Pilau, salad,ndizi,na pilipili yakukaanga,

Milk shake

Bembe au daku,chai na catles.



Day7:

Muhogo wa nazi kwa samakii

Bajia

ndizi mkono wa temboo za nazii

Juice ya castard



Day8

viazi vya nyama vya nazi

Mikate ya maji

Mchuzi wa mayai

katlesi

Juice ya nanasii



Day9:

Sambusa

shurba

viyazi vya nazi

mkate wa tambii



Day10:

Tambi za kukaangaa

Rosti la mainii

Mikate ya ajemi ns

Kuku choma

Egg chops



Day11:

Spring rolls

Chapati au wali na mchuzi wa kababu,

Faluda



Day12:

Tende

kaimati

Boga la kupaka kwa nazi

Ndizi mbichi za nazi kwa utumbo



Day13:

Bajia na tende.....

Mkate wa ufuta kwa mchuzi wa kababu,

Ndizi za kiume

Milkshake ya tende



Day14:

Tende,

Batata chops,

Chapoo na mchuzi wa keema,

Vibibi





Day15:

Tende

Sambusa

Mkate wa ufuta

Mchuzi wa nyama roast

Tambi brown za maziwa

Custard cake





Day16:

Tende

Viazi vya karai

Sima, Samaki Wa Kukaranga Na Mboga.

Matobosha Kwa Uji .

Desert Mix Fruit With Ice Cream.





Day17:

Tende na kahawa

Sambusa

Mahamri

Maharagwe ya nazi na

Nyama kavu

Fruit salad


Day18:

Tende

Spring rolls

kahawa

Chapati kwa viazi ya nazi ya nyama,

Tambi za kukahanga

Custard





Day19:

Tende

kahawa

sambusa



Macaroni ya tuna

Mikate ya ajemi

Nyegere za nazi

Tandoor chicken

Badia za kunde

kachori

Chutney

Tambi.

Fresh fruits

Juice ya bungo

Chai kavu





Day20:

Tende na kahawa

sambusa,

katlesi za tuna

Pilau ya nyama

Salad

Juice

Chocolate cake na ice cream





Day21:

Tende

Kaimati

Bajia za kunde

Mahambri

Mbaazi

Nyama kavu na

Ndizi mbichi

Dessert pudding

Fruit mango



Day22:

Tende

Kaimati

Ndizi mbichi

Njugu mawe

Chapati za maji

Pweza au ngisi wa kukaanga

Custard

Sharbati ya rozi



Day23:

Viazi karai

Tende

Pizza

Podini

Juice





Day24:

Sambusa

Bajia

Mahamri

Rojo la viazi

Tambi

Cake

kahawa




Day25:

Katlesi

Bajia za kihindi

Tende

Juice

Viazi va nazi

Homemade scones

Grilled chicken wings

Fruit salad





Day26:

Tende

Viazi va karai

Pizza

Tambi za brown.

Juice /chai




Day27:

Kachori

Tende

Juice

Chapati.

Rosti ya mainii.

Tambi za nazi.



Day28:

Tende

Sambusa

burger

Chips na kuku

Mkate wa mayai,maandaz

Juice ya matunda




Day29: By..

Tende

Kalimati

Mkate wa ufuta

Samaki wa kupaka

Wali wa nazi na njegere.



Day30:

Tende

Kababu,kachori ,chapat za maji

Viazi vitam,
magimbii,maboga ya nazi.

Fruit salad
Kwani pesa si yakwao maumivu unayapata wapi? Nawewe neenda ukavinunue hivyo kama unadhani ni rahisi kula vzri
 
Ni ujinga Sana , Yani unakuta mtu anatumia ma million ya pesa anaenda kusujudia jiwe na kulibusu
Mkuu ni vyema kuheshimu dini za watu matusi yako hayasaidii chochote sisi sio wajinga , hata hivyo unafanya watu wa upande wako waonekane si wastaarabu

Jiwe jeusi haliabudiwi ungeuliza ujue kwanza mkuu
 
Acha kuleta siasa katoka dini.
Kuna Mungu mmoja tu hakuna Mungu wa waislamu wala wakristo.Mungu aliyekuumba wew ndo aliyeniumba mim na ndo aliyemuumba papa na ndo huyohuyo aliyemuumba zumaridi...

Umesema vyema kusema Maoni yako.

Kama ungekuwa unazijua dini vizuri ungejua na kuelewa kuwa kuna miungu wengi.
Na kila mungu anajinasibu kuwa ni muumba wa Mbingu na Nchi.

Mungu wa Waislam na Wakristo ni tofauti kabisa labda kama wewe sio mwanazuoni WA hizo Dini
 
Ramadhan Menu Plan
.

Day1:

Tende

Shurba

Chapati

Maharagwe ya nazi

Samaki wa kukaangaa


Day2:

Kaimati

viazi karai

Chapati na Mbaazi

Fruit Custard



Day3:

Bajia

Cutlets

Shurba

Chapati

Viazi vya Rojo

Nyama ya kukangaa



Day4:

vitumbua

Mchuzi wa keema

kachori, chutney

Tambi za nazi



Day5:

Ndizi mbichi za nyama

Sambusa

Uji wa kunde..



Day6:

Tende

Bajia za kihindi

Pilau, salad,ndizi,na pilipili yakukaanga,

Milk shake

Bembe au daku,chai na catles.



Day7:

Muhogo wa nazi kwa samakii

Bajia

ndizi mkono wa temboo za nazii

Juice ya castard



Day8

viazi vya nyama vya nazi

Mikate ya maji

Mchuzi wa mayai

katlesi

Juice ya nanasii



Day9:

Sambusa

shurba

viyazi vya nazi

mkate wa tambii



Day10:

Tambi za kukaangaa

Rosti la mainii

Mikate ya ajemi ns

Kuku choma

Egg chops



Day11:

Spring rolls

Chapati au wali na mchuzi wa kababu,

Faluda



Day12:

Tende

kaimati

Boga la kupaka kwa nazi

Ndizi mbichi za nazi kwa utumbo



Day13:

Bajia na tende.....

Mkate wa ufuta kwa mchuzi wa kababu,

Ndizi za kiume

Milkshake ya tende



Day14:

Tende,

Batata chops,

Chapoo na mchuzi wa keema,

Vibibi





Day15:

Tende

Sambusa

Mkate wa ufuta

Mchuzi wa nyama roast

Tambi brown za maziwa

Custard cake





Day16:

Tende

Viazi vya karai

Sima, Samaki Wa Kukaranga Na Mboga.

Matobosha Kwa Uji .

Desert Mix Fruit With Ice Cream.





Day17:

Tende na kahawa

Sambusa

Mahamri

Maharagwe ya nazi na

Nyama kavu

Fruit salad


Day18:

Tende

Spring rolls

kahawa

Chapati kwa viazi ya nazi ya nyama,

Tambi za kukahanga

Custard





Day19:

Tende

kahawa

sambusa



Macaroni ya tuna

Mikate ya ajemi

Nyegere za nazi

Tandoor chicken

Badia za kunde

kachori

Chutney

Tambi.

Fresh fruits

Juice ya bungo

Chai kavu





Day20:

Tende na kahawa

sambusa,

katlesi za tuna

Pilau ya nyama

Salad

Juice

Chocolate cake na ice cream





Day21:

Tende

Kaimati

Bajia za kunde

Mahambri

Mbaazi

Nyama kavu na

Ndizi mbichi

Dessert pudding

Fruit mango



Day22:

Tende

Kaimati

Ndizi mbichi

Njugu mawe

Chapati za maji

Pweza au ngisi wa kukaanga

Custard

Sharbati ya rozi



Day23:

Viazi karai

Tende

Pizza

Podini

Juice





Day24:

Sambusa

Bajia

Mahamri

Rojo la viazi

Tambi

Cake

kahawa




Day25:

Katlesi

Bajia za kihindi

Tende

Juice

Viazi va nazi

Homemade scones

Grilled chicken wings

Fruit salad





Day26:

Tende

Viazi va karai

Pizza

Tambi za brown.

Juice /chai




Day27:

Kachori

Tende

Juice

Chapati.

Rosti ya mainii.

Tambi za nazi.



Day28:

Tende

Sambusa

burger

Chips na kuku

Mkate wa mayai,maandaz

Juice ya matunda




Day29: By..

Tende

Kalimati

Mkate wa ufuta

Samaki wa kupaka

Wali wa nazi na njegere.



Day30:

Tende

Kababu,kachori ,chapat za maji

Viazi vitam,
magimbii,maboga ya nazi.

Fruit salad
Duh sio mchezo. Bila shaka hii menu ya matajiri wa kiarabu...akina sie pua pana hii ngumu kumeza lazima jasho la meno litoke. Pesa inasambaratika hapo.

Sema mimi nikionacho walimwengu ndiyo wana matatizo ndiyo maana dini zinaonekana kama uwendazimu sehemu kubwa.

Kuna wanaona kama mateso kufunga deep down kwa jinsi wanavyopikisha mavyakula mengi na kupakia.

Pepo kama ipo ni kazi kwelikweli.

Watu watakuja kupigwa na butwaa hiyo siku ya hukumu kama ipo kweli.
 
Mkuu ni vyema kuheshimu dini za watu matusi yako hayasaidii chochote sisi sio wajinga , hata hivyo unafanya watu wa upande wako waonekane si wastaarabu

Jiwe jeusi haliabudiwi ungeuliza ujue kwanza mkuu
Wewe mbusu jiwe Hakuna tusi nimetoa

Ni wazinatumia ma million kwenda kulipungia ,au kulibusu na kusujudia jiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom