Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Kuna mtu namfahamu Ana Shimo pale mererani, shimo lake lina uwezo wa kutema vyombo kila mwezi,makinikia ndio usiseme.

Huyu akisema anakopa Anauwezo wa kukopa kununua hayo mabus yote uloyataja na chenchi ikabaki.

Kuna watu wana miliki Assets ambazo ndio maisha yao, Nyingi zisizoonekana.

Mabus na Malori ni vinyongeza tu...
"Mabus na Malori ni vinyongeza tu..."

We Jamaa unajua sana Basi tu..[emoji1666]

Afu hao watu wa Mabus na Malori Wala hawategemei hivyo vitu.. Ila wao wanazingatia sana kuendeleza kujenga na kuimalisha uwezo wao wa kukopesheka na Taasisi mbalimbali za Fedha.
 
Mfano GSM ana malori 1000

Wolrd Oil ana Tanker zaidi ya 300

Alistair ana lori zaidi ya 100

Lake Oil ana Mende zaidi ya 100, Tanker zaidi ya 200, Cement Truck zaidi ya 300 kwenye SGR

MO ana magari zaidi ya 1000

Azam ana magari zaidi ya 500

Shabiby ana Mabasi 50+
Ongeza na huyu hapa..
👇👇

Pia:-
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndo usiseme.
Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kabla hawajawa na hayo mabasi wanamiliki "real estate" za maana sehemu tofauti.

Ukiwa na Plot 1 tu pale k.koo msimbazi, una uwezo wa kukopa Bank hela ya kufata Yutong zako hata 10 na ukapewa.

Matajiri hao, sifa yao kuu ni 1 "wanakopesheka" Muogope mtu anaeweza kukopa 1B na akapewa muogope sana huyo mtu.

Mpaka upewe kuna vigezo vingi taasisi za ukopeshaji huziangalia ikiwemo mali zisizo hamishika.

Wewe unayaona mabus na malori lakini Hizo taasisi wanajua mali za thamani zaidi ya hayo ma bus na malori.

Ungezijua hizo mali wanazomiliki mpaka wakawa na sifa ya kukopesheka hivyo ndio Ungeandika Thread GAZETI na ???????? ungeanza nazo mpka unamaliza nazo.
Wacha weeh juzi mama kasema Kuna mtu kakopa benk tano bilion za kutosha kwa asset fake🙏so kwenye mikopo Kuna mengi nyuma ya pazia joh 🎃🎭
 
Pambana,Pambana anza na kujenga uaminifu kwa waliokuzunguka.

Baba yangu hakunipa mtaji (pesa) wa maisha zaidi ya ELIMU.

na kingine siku 1 aliniambia,Unaenda huko duniani Mtaji wako mkubwa ili ufanikiwe ni UAMINIFU kwa waliokuzunguka.

KUWA MWAMINIFU hata kama huna kitu sasa,epuka kuchukua cha mtu fanya kazi kwa bidiii ukipewa 10,000 ukatumwa kitu cha 1000 ukaenda ukakuta kile kitu kinauzwa 500 usibanie ile 500 rudisha chenchi 9500 kisha mwambie aliekutuma Bidhaaa imeshuka bei chenchi hii hapa.

Kweli yako iwe Kweli na Hapana yako iwe Hapana.

Ukiaminika na waliokuzunguka, Ni sifa namba 1 ya kutoka kimaisha huitaji kuwa na kipande cha Ardhi, huitaji kuwa na Pesa.

UKIAMINIKA wewe ni Tajiri hata kama unajiona huna kitu sasa lakini kama kuna mtu akiwaza kumtuma mtu kitu mahali akili yake inakufikiria wewe ndie mtu sahihi (Umemaliza mwaisa).
Uko sahihi 100%. Thanks
 
Mtoa post, hujui kuwa kuna mabenk tanayotoa mikopa au umelala, kwani unateseka ukiwa wapi [emoji1787][emoji1787]
Mabenki yapo ila sasa kama huna kitu huwezi kukopesheka kama mdau alivyosema kuwa lazima uwe na real estates nyingi.
Hii thread niliidharau kabla ya kuifungua ila nilivyofungua nimekuta hapo nondo za kumwaga.
Ubarikiwe mtoa mada.
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndo usiseme.
Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
Mkopo tu, benki hazina shida kukopesha kama una dhamana ya Mali isiyohamishika mfano wengi wanamiliki majengo ukipiga thamani ya jengo ni 1bilion hapo unaweza kukopa bilion mbili,pili wanamiliki ardhi ya kutosha hekari Kwa hekari ukiwa na hati na ukienda benki utapewa mkopo mzuri tu.

Tatu sajiri kampuni na utunze kumbukumbu za mahesabu plus hesabu ziwe zinakaguliwa na uwe unalipa Kodi ukienda benki mkopo mzuri, nne unatakiwa uwe katili,ukiwa mpole utamaliza mkopo Kwa kuugawa Kila mwenye tatizo unatoka hapo sahau kumilik milori na mabus na Tano kama ni mwanaume epukana na wanawake wenye makalio makubwa na madogo yaan kiufupi punguza starehe.
 
Mtoa post, hujui kuwa kuna mabenk tanayotoa mikopa au umelala, kwani unateseka ukiwa wapi [emoji1787][emoji1787]
Huwezi kupewa mkopo kama huna kitu bro..
Kanuni ya Benki ni kwamba, asiyehitaji huo mkopo Kwa kuwa anazo za kutosha ndo hubembelezwa akubali kupewa!!

Unafikiri Kwa nini maskini hawakopesheki Benki bali huangukia mikononi mwa vikampuni uchwara vinavyotoa mikopo umiza?!
 
Kabla hawajawa na hayo mabasi wanamiliki "real estate" za maana sehemu tofauti.

Ukiwa na Plot 1 tu pale k.koo msimbazi, una uwezo wa kukopa Bank hela ya kufata Yutong zako hata 10 na ukapewa.

Matajiri hao, sifa yao kuu ni 1 "wanakopesheka" Muogope mtu anaeweza kukopa 1B na akapewa muogope sana huyo mtu.

Mpaka upewe kuna vigezo vingi taasisi za ukopeshaji huziangalia ikiwemo mali zisizo hamishika.

Wewe unayaona mabus na malori lakini Hizo taasisi wanajua mali za thamani zaidi ya hayo ma bus na malori.

Ungezijua hizo mali wanazomiliki mpaka wakawa na sifa ya kukopesheka hivyo ndio Ungeandika Thread GAZETI na ???????? ungeanza nazo mpka unamaliza nazo.
Uko sawa mkuu. Chanzo kingine cha hizo noti ni ufisadi wa kupindukia wa wanasiasa wetu.

Kila siku unasikia CAG anatoa report kuna billions au trillions zimepotea unadhani hizo pesa wanazitakatisha vipi?

Moja wapo ya njia za kutakatisha hizo pesa ni kuwekeza kwenye usafiriahaji kwa kutumia majina ya watu wengine.
 
Mie navyojua huwa Ni rahisi tu, ukishakuwa kuku akatoa vifaranga utapata kuku wengi utauza utanunua mbuzi watazaliana wewe utanunua ng'ombe na mwishowe mang'ombe mengi.

Ama huwa Ni rahisi kuwa na ng'ombe wa Pili wa tatu and so on Kama unaye wa kwanza. Uchawi Ni wa kwanza.

Mfano Kama unayo akili ya kumeki money kwa kutumia mane make sure you struggle or make your butt off upate first 150M nadhani hapo Ni sawa unao ng'ombe 10 majike so hapo kufikia ng'ombe Mia si ndani ya muda mfupi mno
 
What I know to get money is just action,to stay with that money is just habit and to make that money to multiply is knowledge,skills, information, right information, right surroundings.

Sie wengi tunaanza kuangukia habit na kuendelea hapo tunashindwa Mana ukipata hela utataka tu tujue
 
Back
Top Bottom