HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,256
- 103,420
Acha visingizio visivyo na msingi bana, ka wamerithi wewe baba yako alikuwa anafanya nini muda huo?Mengine ni kodi zetu, mengine ni wazee wa makafara, mengine ni wazee wa madini mfano sauli, mining nice, ya kaskazin mengi ni kodi zetu na ya kurithi toka KWA wazazi wao waliokuwa wapigaji na wezi wakubwa. East Africa.