Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Hakuna mtu yamewahi kumkuta zaidi ya story za kusadikika na watu wanaamini kama yalivyo. Nyie wenyewe fikirieni with an open mind kama umewahi kuona ushirikina zaidi ya matangopori mliyomezeshwa. Hamjawahi na hamtaona ushirikina sababu haupo, mnaaminishwa na mnaambiwa muamini tu bila kuuliza.

Kuna mtu kwenye huu uzi kasema tajiri alikutwa na nyoka nimeuliza jina la huyo tajiri hana, kwanini? Sababu alisimuliwa na yeye akaamini kama yalivyo.

Kuna huu uzi hapa chini mleta uzi alileta kisa cha diwani mshirikina Kigoma, kama kawaida ya nyumbu wakaamini without questioning. Mimi niliomba jina tu la huyo diwani na kuahidi kutoa laki tano TSH kwa yeyote yule atayenipa jina tu huyo diwani, yapata miaka miwili sasa si mleta Uzi au nyumbu wamenipa hilo jina. Hivi ndo story za ushirikina zilivyo.

Hela za magumashi zipo acha kujifanya kama wewe huishi dunia hii tunayoishi.
Wewe sema hutaki ushirikina lakini usiseme hazimo. Tumeona mabasi hayaondoki mpaka yazungukwe na mazezeta na zezeta atakacho mwambia konda au agent wa gari atampatia.
Nimeona tajiri mmoja wa vyombo vya usafiri yeye gari zake hazilali nje ya nyumbani kwake na kama unakodi ukisema hairudi usiku huo basi biashara inakufa. Gari hizo kilasiku usiku hukojolewa. Sasa hiyo kawaida?

Yupo mmoja kila alhamis nadhani kama sio ijumaa lazima aanguke kifafa na akishajisaidia hajakubwa ndio anaenda kufungua duka. Sasa wewe unabisha nini? Huwezi jua kilakitu. Ishi,uliza na tembea sana uone mengi

Habari ya kutaka kutajiwa majina achana nayo
 
Je hizo real estate wamezipataje je wotw tunazo sasa wao walipata wapi pesa za kumiliki hizo estate ndio swali la mtoa mada lipo hapo
Ni sehem ndogo tu ndugu wameanza kwenye real estate, wengize wameanzia na vidala dala kwa kujichangisha mdogo mdogo wakapanda hadi wakafika walipo , safari ya miaka mingi sana pengine hata zaid ya 30 yrs
 
Ni sehem ndogo tu ndugu wameanza kwenye real estate, wengize wameanzia na vidala dala kwa kujichangisha mdogo mdogo wakapanda hadi wakafika walipo , safari ya miaka mingi sana pengine hata zaid ya 30 yrs
Yap kweli
Wengi wenye mabus makubwa wana daladala pia
 
Hela za magumashi zipo acha kujifanya kama wewe huishi dunia hii tunayoishi.
Wewe sema hutaki ushirikina lakini usiseme hazimo. Tumeona mabasi hayaondoki mpaka yazungukwe na mazezeta na zezeta atakacho mwambia konda au agent wa gari atampatia.
Nimeona tajiri mmoja wa vyombo vya usafiri yeye gari zake hazilali nje ya nyumbani kwake na kama unakodi ukisema hairudi usiku huo basi biashara inakufa. Gari hizo kilasiku usiku hukojolewa. Sasa hiyo kawaida?

Yupo mmoja kila alhamis nadhani kama sio ijumaa lazima aanguke kifafa na akishajisaidia hajakubwa ndio anaenda kufungua duka. Sasa wewe unabisha nini? Huwezi jua kilakitu. Ishi,uliza na tembea sana uone mengi

Habari ya kutaka kutajiwa majina achana nayo

🤣 🤣 🤣 story zenu huwa zinafanya nisijue nicheke au niwaonee huruma. You're entire train of thought and reasoning is illogical. I'm 99% certain hizo story zote umesimuliwa tu kama kawaida or else naomba majina ya hao matajiri na magari yao ili nasisi tukajionee wenyewe? Nipe majina tu ya hayo makampuni nitaenda mwenyewe.

Kadhalika magari kurudi nyumbani ni utaratibu na usalama wa mali yako. Hao mandondocha na kukojolea ni imani tu haina uhalisia wowote. Wewe na ndevu zako unaamini mkojo unaleta mali kweli? Kojolea na wewe uone kama utapata kitu. Hao watu wanafanya kazi kwa bidii sema tu wamejazwa ujinga na waganga na wao wamekubali ila mkojo sijui ndondocha has nothing to do with it. Tumieni bongo zenu msiwe kama mlienda shuleni kusomea ujinga nyie watu.
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndiyo usiseme.

Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
..ngoja nikupe mfano mmoja tu wa jinsi wanapata pesa....uone wanavyopiga hela.....chukua basi moja la sh. mil.300...anakopa benki mil.300..ananunua basi......hili basi lina viti hadi 55....kwa safari ya dar moshi nauli sh. 45,000/...kwa viti 55 ni sh. mil. 2,475,000/ kwa trip moja kwenda dar (hapo hujaweka bei ya mzigo)....hapo ukitoa mafuta na service labda mil. 1....anabakiwa na mil. 1,475,000/anakunja kwa siku....piga mara siku 30 (mwezi)....ni mil.44,250,000/ kwa mwezi....piga kwa mwaka (miezi 12) unapata mil. 531,000,000/ hilo ni basi jingine jipya na baki zaidi...hapo ni basi moja limeleta hiyo pesa......kama ana mabasi mawili??au matatu??...kila mwaka ana uwezo wa kununua basi...hata mawili.....na alianza na mkopo wa mil.300 tu benki.....HAKUNA UCHAWI HAPA...NI KUJARIBU TU...KWA KUAMINIWA NA BENKI....SASA HAWA WENYE MABASI WANACHUKUA HELA BENKI WANAVYOTAKA....HIYO NDIO SIRI...
 
..ngoja nikupe mfano mmoja tu wa jinsi wanapata pesa....uone wanavyopiga hela.....chukua basi moja la sh. mil.300...anakopa benki mil.300..ananunua basi......hili basi lina viti hadi 55....kwa safari ya dar moshi nauli sh. 45,000/...kwa viti 55 ni sh. mil. 2,475,000/ kwa trip moja kwenda dar (hapo hujaweka bei ya mzigo)....hapo ukitoa mafuta na service labda mil. 1....anabakiwa na mil. 1,475,000/anakunja kwa siku....piga mara siku 30 (mwezi)....ni mil.44,250,000/ kwa mwezi....piga kwa mwaka (miezi 12) unapata mil. 531,000,000/ hilo ni basi jingine jipya na baki zaidi...hapo ni basi moja limeleta hiyo pesa......kama ana mabasi mawili??au matatu??...kila mwaka ana uwezo wa kununua basi...hata mawili.....na alianza na mkopo wa mil.300 tu benki.....HAKUNA UCHAWI HAPA...NI KUJARIBU TU...KWA KUAMINIWA NA BENKI....SASA HAWA WENYE MABASI WANACHUKUA HELA BENKI WANAVYOTAKA....HIYO NDIO SIRI...

Wewe umeelezea leveraging sio chanzo.

Hilo basi la kwanza 300M wanalipataje? Hiyo 300M wanaiokota au? Hilo ndo swali la mleta uzi. Wabongo wengi mna comprehension disorder.
 
Kwa kweli Mimi nimepanga kwenda kumuuliza tajiri mmoja yani yeye alifanyaje hadi akaweza kumiliki kuanzia Milioni 500.
Nimeamua nitumie njia yoyote ile kupata hela kwa kweli.
Kuna wengine husema walianza kwa kuuza Karanga kwahiyo inategemea Mtu na Mtu.
 
New force ndie Golden deer
Ally's star
Happy Nation
Bm
Abood
Shabiby
Kilimanjaro
Ester
Tilisho
Na wengineo
Kwa kweli Hua wanafikirisha, ukiacha Hao wachina wa new force
Abood na shabiby Hua wanaleta vifurushi kuanzia basi 10, Wakati sisi wengine hata passo hatuna, maisha ni fumbo kwa kweli
Tilisho kaanzia chini mdau

Nakumbuka bus yake ya kwanza ilipaswa isajiliwe karatu to tarakea maana huko ana vifuso vinapiga kazi ila baada ya kuona gape pale rombo akapiga uturn na kuisajili dar rombo ikisaidiwa na bus la shule la kiraeni.....kilichotokea ni historia
 
Back
Top Bottom