Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
WAMAMA PUNGUZENI KAULI HIZI KWA WAUME ZENU 🙏
Kila mzazi ana haki ya kumlea mtoto wake.
Malezi si jukumu la mama peke yake wala baba peke yake… ni ushirikiano 🤝
Lakini kuna kauli ambazo zinaumiza, zinadhoofisha mamlaka ya baba, na zina changanya watoto😔
Epuka kauli hizi mbele ya watoto👇
“Usinipigie wanangu kama mbwa!”
“Huyo ni mwanangu, wewe usimfokee!”
“Wewe huna haki ya kumkanya mtoto wangu!”
“Watoto ni wangu, wewe hujui uchungu wa leba”
“Nitaongea na wewe peke yako, usimguse mwanangu!”
🚫 Kauli hizi zinafanya baba ajisikie hana nafasi kwenye malezi
🚫 Zinamfanya mtoto aone mama na baba wako vitani
🚫 Zinavunja heshima na mipaka ndani ya familia
Mama kumbuka
✔ Baba ana haki ya kumkanya mtoto wake
✔ Nidhamu ya mtoto inahitaji sauti ya wazazi wote wawili
✔ Kutofautiana mbele ya watoto kuna wachanganya na kuwapa kiburi
Njia sahihi ni ipi?
👉 Kama hujaridhika na namna baba alivyo mkanya mtoto, zungumza naye faraghani
👉 Toeni maamuzi ya malezi kwa pamoja
👉 Mjenge umoja ili mtoto aone upendo na mshikamano, siyo ugomvi
Familia imara hujengwa na wazazi wanao shirikiana, si wanaopingana.
Tuwalee watoto wetu kwa upendo, heshima na umoja 🤍
Kila mzazi ana haki ya kumlea mtoto wake.
Malezi si jukumu la mama peke yake wala baba peke yake… ni ushirikiano 🤝
Lakini kuna kauli ambazo zinaumiza, zinadhoofisha mamlaka ya baba, na zina changanya watoto😔
Epuka kauli hizi mbele ya watoto👇
“Usinipigie wanangu kama mbwa!”
“Huyo ni mwanangu, wewe usimfokee!”
“Wewe huna haki ya kumkanya mtoto wangu!”
“Watoto ni wangu, wewe hujui uchungu wa leba”
“Nitaongea na wewe peke yako, usimguse mwanangu!”
🚫 Kauli hizi zinafanya baba ajisikie hana nafasi kwenye malezi
🚫 Zinamfanya mtoto aone mama na baba wako vitani
🚫 Zinavunja heshima na mipaka ndani ya familia
Mama kumbuka
✔ Baba ana haki ya kumkanya mtoto wake
✔ Nidhamu ya mtoto inahitaji sauti ya wazazi wote wawili
✔ Kutofautiana mbele ya watoto kuna wachanganya na kuwapa kiburi
Njia sahihi ni ipi?
👉 Kama hujaridhika na namna baba alivyo mkanya mtoto, zungumza naye faraghani
👉 Toeni maamuzi ya malezi kwa pamoja
👉 Mjenge umoja ili mtoto aone upendo na mshikamano, siyo ugomvi
Familia imara hujengwa na wazazi wanao shirikiana, si wanaopingana.
Tuwalee watoto wetu kwa upendo, heshima na umoja 🤍