naendelea vizuipri mama tuombeane
Mchumba wako ni mama's boy atakuwa hafanyi chochote bila kusikiliza mama anasemaje u should run away if you canHii imenikuta na mimi yaani alivyonipelekwa tu kwa mama yake na kunitambukisha yule mama alicheka kicheko flani hivi,toka hapo mpendwa wangu akanibadilikia kabisa,huwa sipati jibu alimweleza nini mwanae juu yangu.ila sijawahi kuona mtoto wa kiume kuwa karibu na mama yake kiasi kile na mwanaume mwenyewe kutwa kumsifia mama yake tu.
mama ana nafasi kubwa sana kuliko baba, wanajua mambo mengi so kuna muda inabidi tutii maamuzi yao.
All women are psychos..Google that
Dah, ninakukosa pia wangu.... nipo mzima.. aiseeeeh nimekosa cha kuongeza! Mmh.. ila hahahaa!! ulivyo kiazi rafiki yangu sijui kwanini nina wasiwasi hukumsoma bimkubwa vizuri
...as in...all women??? damn it!!!All women are psychos..Google that
Rafiki wazazi wetu walio wengi wana desturi hizo kwasababu hata enzi zao wao wakiolewa kulikuwa na ile hulka kwamba watu wa kabila fulani si zuri kuoa n.k kwahio hio fikra bado wamebaki nayo.. mimi mama yangu mpaka leo hii ana tabia hizo na anataka anichagulie mume,nikimpa green light mbona atapiga vigelegele,wamama wana ile tabia ya kuwa overprotective kwamba wanajua yaliyobora kwa watoto wao aidha awe wa kike au wakiume!Na kama kawaida ya wanawake wote wanapenda kuongea mpaka dini zimesema; kwahio asipopata atakalo lazima atabwabwaja sana tu!
mama yangu ananiambiaga neno moja MWANANGU MUNGU AKUSAIDIE
Jamaaaniii!
Hii imenikuta na mimi yaani alivyonipelekwa tu kwa mama yake na kunitambukisha yule mama alicheka kicheko flani hivi,toka hapo mpendwa wangu akanibadilikia kabisa,huwa sipati jibu alimweleza nini mwanae juu yangu.ila sijawahi kuona mtoto wa kiume kuwa karibu na mama yake kiasi kile na mwanaume mwenyewe kutwa kumsifia mama yake tu.
Well said gorgeous but don't unthing being overprotective unamfanya mtoto awe weak n in confident?
Huyu wa kwetu wala hata hajaletwa home. Dogo mpaka anasema hatataka asikie habari za kuoa.
mama ana nafasi kubwa sana kuliko baba, wanajua mambo mengi so kuna muda inabidi tutii maamuzi yao.
Dogo lako nae hajitambui
Anamuolea mama nn?
Vitu ingine achaga nionekane mkaidi ila sifanyi upuuzi huo sioi kumfurahisha MTU mm
SisemI mengi nisije nikakufuru bure
Ukimchunga sana mtoto anakuwa dhaifu na hajiamini sana,ili mtoto awe ngangali inabidi aachiwe afanye makosa ili ajifunze kitu kupitia kwenye makosa hayo ,na hali hio itampa kujiamini zaidi kwasababu anajua means of survival na kujitegemea bila kuwekewa vipingamizi na mtu!
Mkuu the way walivyokuwa wanaongea walimkatisha tamaa kabisa.! Walikuwa hawataki hata kusikia habari hizo. Mwingine angesema kamlete basi tumuone.
Ukitaka ule ban kwenye familia sema unayetarajia kumuoa ni mmachame