Wamama naombeni mnijibu hili!

Wamama naombeni mnijibu hili!

Kweli kabisa. mi natamani kina mama wote tuwaombee watoto wetu awe wa kiume au wakike....wapate wenza watakao weza kuishi kwa amani ..upendo na masikilizano. Tuache tabia za kutoa hukumu kwa kigezo cha ukabila. Na kwa hali ilivyo sasa watoto wanakutana na wenza wao huko vyuoni kama si mashuleni. Tuwaombee na ni vizuri tuwashauri sio kuwaamulia au kuwapangia

kabisa kuwaombea na kuwafundisha kuomba haswa katika kipindi kigumu cha kutafuta mwenza
 
Kijana vipi?

Masef bimkubwa ameshaniwekea kipengele!
Ameniambia hanichagulii mke but ke yeyote nitakayempeka awe ana nywele za kutosha! teh teh teh!

Ahahahaa...samahani aliimaanisha nywele kama lugha ya picha au nywele kama nywele a.k.a. u-hair?!??
 
Kina mama njoon huku mnaitwa na mama mwenzenu...loading error...
 
Wanaume kiasilia sio watu wakujali sana haswa vitu vidogo vidogo hivo kama wanawake!Wanawake ndio tulivyoumbwa vitu vidogo tunavikuza na kuvifanya big deal…Na unayoyasema ni kweli wazazi wanatakiwa wawe washauri na si waaumzi kwasababu sio wao wataoishi na huyo mtu!Naweza kuongezea kitu pia lakini naomba usiwe offended:USHIRIKINA pia nadhani unahusika,na wamama wengi wanapenda ushirikina,akienda kwa kalumanzila akipigwa ramli anaambiwa huyo mwanamke hafai blah blah blah basi nae na imani yake potofu mtu anaamini;na kuwa na msimamo hasi kwamba hataki binti huyo awe memba wa familia!

Lakini dogo alitoa introduction tu akapata negative response. Namfahamu Maza ni mtu wa kusali na hata siku moja hajawahi kuamini Mambo ya kienyeji.
 
Ahahahaa...samahani aliimaanisha nywele kama lugha ya picha au nywele kama nywele a.k.a. u-hair?!??

Hey! Nimekumisi Chujio!
Long time no see!
Uko poa?
:focus:
Bimkubwa anataka nywele kama nywele, ziwe ndefu na zijae kichwani kwa mkwewe! Hapendagi kabisa mambo ya mawigi!

Cc Nyalotsi!
 
Last edited by a moderator:
Hii imenikuta na mimi yaani alivyonipelekwa tu kwa mama yake na kunitambukisha yule mama alicheka kicheko flani hivi,toka hapo mpendwa wangu akanibadilikia kabisa,huwa sipati jibu alimweleza nini mwanae juu yangu.ila sijawahi kuona mtoto wa kiume kuwa karibu na mama yake kiasi kile na mwanaume mwenyewe kutwa kumsifia mama yake tu.

Huyu wa kwetu wala hata hajaletwa home. Dogo mpaka anasema hatataka asikie habari za kuoa.
 
Kijana vipi?

Masef bimkubwa ameshaniwekea kipengele!
Ameniambia hanichagulii mke but ke yeyote nitakayempeka awe ana nywele za kutosha! teh teh teh!

Ana maana gani kwa kusema hivo?
 
Hey! Nimekumisi Chujio!
Long time no see!
Uko poa?
:focus:
Bimkubwa anataka nywele kama nywele, ziwe ndefu na zijae kichwani kwa mkwewe! Hapendagi kabisa mambo ya mawigi!

Dah, ninakukosa pia wangu.... nipo mzima.. aiseeeeh nimekosa cha kuongeza! Mmh.. ila hahahaa!! ulivyo kiazi rafiki yangu sijui kwanini nina wasiwasi hukumsoma bimkubwa vizuri
 
Dah, ninakukosa pia wangu.... nipo mzima.. aiseeeeh nimekosa cha kuongeza! Mmh.. ila hahahaa!! ulivyo kiazi rafiki yangu sijui kwanini nina wasiwasi hukumsoma bimkubwa vizuri

Hahahahaaa!
Najua wengi watashangaa, but huo ndio ukweli!
Bi mkubwa hanaga swaga za kupindisha maneno, akisema 1 anamanisha 1!
 
Kichekesho zaidi huyo mama anakuwa mkali wakati yeye mwenyewe hajaolewa na mwanaume wa kabila lake. hahaaaa
 
Hii imenikuta na mimi yaani alivyonipelekwa tu kwa mama yake na kunitambukisha yule mama alicheka kicheko flani hivi,toka hapo mpendwa wangu akanibadilikia kabisa,huwa sipati jibu alimweleza nini mwanae juu yangu.ila sijawahi kuona mtoto wa kiume kuwa karibu na mama yake kiasi kile na mwanaume mwenyewe kutwa kumsifia mama yake tu.
Pole sana umekutana na mtoto wa mama,kwahiyo ndo yameisha kimasihara hivyo
 
Back
Top Bottom