Wamama naombeni mnijibu hili!

Wamama naombeni mnijibu hili!

Wote mko sawa ila mtu nzima dawa kaona mengi ,ni mama na hamna kama yeye anakushauri kwa sababu ya upenda. Penda kuzingatia ushauri
 
Lakini dogo alitoa introduction tu akapata negative response. Namfahamu Maza ni mtu wa kusali na hata siku moja hajawahi kuamini Mambo ya kienyeji.
Sawa nimekuelewa my dia, wewe unataka mama akubali kuonana na msichana then kwanini usikae ukaongea na mama!Mueleze kwamba anavyofanya si vyema kumchukia mtu asomfahamu,ampe nafasi huyo binti kwanza kabla hajamuweka kwenye black list!
 
Huyu wa kwetu wala hata hajaletwa home. Dogo mpaka anasema hatataka asikie habari za kuoa.
Dah! I'm sorry ila your mom is sthing else. Hivi anajua kitu anachomuandalia mdogoako psychologically? Mapenzi ni suala jingine aisee mwenyewe ameona mtu ambae atamfurahia ktk maisha. Hivi unafikiri drug addicts na walevi au wazee wa michepuko wanatokeaga wapi saa zingine?What if ataoa anaemtaka yeye then wasielewane ndo atafurahi kumuona mwanae hivyo?
Mwambieni aache hizo mambo, madhara ni makubwa kuliko anavyofikiri.Alafu mamako anaonekana mpaka familia ya mdogoako ataicontrol yeye. Niwe muwazi mkwe wa namna hii I can't handle tutafikia pabaya aisee.Hawa ndo wanalazimishaga wajue upande wa pili wa mtu ukoje maana atakusukuma mwisho utaamua kama Pinda. "Liwalo na liwe"
 
WaPo waliozuiwa wakaleta kichwa ngumu baadae ndoa ikawa gunia la misumari kichwani mwa mwenye kipara. WaPo waliopuuza ya wazazi na ndoa zao hadi leo ni chemchem inayobubujika furaha kila saa na kila wakati
 
Wote mko sawa ila mtu nzima dawa kaona mengi ,ni mama na hamna kama yeye anakushauri kwa sababu ya upenda. Penda kuzingatia ushauri

Sio kwenye kuoa au kuoelewa alichokiona ni kweli alipitia yeye na akajifunza Aache na mm nilearn on my own way
Nasisitiza kama anaoa yeye sawa lakini kama NAoa mm ajue naenda kumtambulisha na sio kunichagulia mchumba ampenda asimpende aniachir kichuna wangu ye anajua huyo mwanamke ameniokoa mangap?give me a break aisee ujinga huu sifanyi kabisa
 
Unajua nilimsikiliza mama mpaka nikapata hasira kama mie ndio ninayezuiwa. Wanafaa kuwa washauri na sio waamuzi wakuu. wao wenyewe sasa hivi ukiwaambia wakutafutie mchumba hawawapati ila tuu wanalazimisha mtu wa kabila lao. Mbona kina baba huwa hawaulizii mambo kama haya?
Ukiona baba ametia neno juu ya mchumba wako basi ujue hapo kuna jambo na yakupasa uwe mwepesi wa kuchunguza na ikiwezeka kumdadisi baba hasa huo wasi wasi wake kwani mara nyingi hutokea kweli. Kuhusu wamama unapaswa kuwaelewa ingawa wengine wanakuaga na hoja za msingi jambo la muhimu ni kuangalia nafsi yako je unampenda huyo mchumba wako na je una uhakika ukiwa juu ya mawe bado atakupenda.
 
Mkuu the way walivyokuwa wanaongea walimkatisha tamaa kabisa.! Walikuwa hawataki hata kusikia habari hizo. Mwingine angesema kamlete basi tumuone.
Inawezekana mama amekosea kwa upande flani lkn na ninyi vijana mnakosea mnapowaambia wachumba wenu kuwa mama alikua hakutaki kabisa . sasa hii inategemea sana hekima mwanamke akiwa mwelewa ataelewa hofu ya mama na kama si mwelewa basi utakua umeanzisha uhasama kati ya mama na mkeo/mchumba. Wamama wana emotions sana nafikiri ni wajibu wenu kukaa na huyo mama mkamuelewesha na kumuuliza kwanini anakua mkali wakati mlengwa hajamuona. Naamini mkimuuliza kistaarabu atawaaambia na pengine aweza kumpokea mlengwa kwa mikono miwili.
 
Dah! I'm sorry ila your mom is sthing else. Hivi anajua kitu anachomuandalia mdogoako psychologically? Mapenzi ni suala jingine aisee mwenyewe ameona mtu ambae atamfurahia ktk maisha. Hivi unafikiri drug addicts na walevi au wazee wa michepuko wanatokeaga wapi saa zingine?What if ataoa anaemtaka yeye then wasielewane ndo atafurahi kumuona mwanae hivyo?
Mwambieni aache hizo mambo, madhara ni makubwa kuliko anavyofikiri.Alafu mamako anaonekana mpaka familia ya mdogoako ataicontrol yeye. Niwe muwazi mkwe wa namna hii I can't handle tutafikia pabaya aisee.Hawa ndo wanalazimishaga wajue upande wa pili wa mtu ukoje maana atakusukuma mwisho utaamua kama Pinda. "Liwalo na liwe"

Nahisi nahtaj Mke kama wewe sifugi upumbav mm
 
Sawa nimekuelewa my dia, wewe unataka mama akubali kuonana na msichana then kwanini usikae ukaongea na mama!Mueleze kwamba anavyofanya si vyema kumchukia mtu asomfahamu,ampe nafasi huyo binti kwanza kabla hajamuweka kwenye black list!

Nafikiria ulitakiwa kwenda far.more than that mpenz
She already has her own agenda so what if akakubali kumuona na itokee asimpnde?
We will still use the same akili used to create the problem I think she has to be thought kwamba u had a chance kumchagua baba over wanaume wengine this is mine we we unatambulishwa tu nothing else
 
WaPo waliozuiwa wakaleta kichwa ngumu baadae ndoa ikawa gunia la misumari kichwani mwa mwenye kipara. WaPo waliopuuza ya wazazi na ndoa zao hadi leo ni chemchem inayobubujika furaha kila saa na kila wakati

At least they had their choices
Kwani ndoa gani in a guarantee kwamba mambo hayawez kubadilika?
The worst case scenario is kuchaguliwa kisa udini au kabila will bring more drama n eat u alive trust me
 
Wakinamama wanawajua wanawake wenzao, na wana "extra sensory perception". Wanapokukataza kitu wanakutakia mema na wala hawana nia mbaya kwako, ni kwa nia njema tu, labda huyo mama awe mchawi.

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
 
Rafiki wazazi wetu walio wengi wana desturi hizo kwasababu hata enzi zao wao wakiolewa kulikuwa na ile hulka kwamba watu wa kabila fulani si zuri kuoa n.k kwahio hio fikra bado wamebaki nayo.. mimi mama yangu mpaka leo hii ana tabia hizo na anataka anichagulie mume,nikimpa green light mbona atapiga vigelegele,wamama wana ile tabia ya kuwa overprotective kwamba wanajua yaliyobora kwa watoto wao aidha awe wa kike au wakiume!Na kama kawaida ya wanawake wote wanapenda kuongea mpaka dini zimesema; kwahio asipopata atakalo lazima atabwabwaja sana tu!

wamesahau dunia sasa ni kijiji, tofauti na enzi zao.
 
Rafiki wazazi wetu walio wengi wana desturi hizo kwasababu hata enzi zao wao wakiolewa kulikuwa na ile hulka kwamba watu wa kabila fulani si zuri kuoa n.k kwahio hio fikra bado wamebaki nayo.. mimi mama yangu mpaka leo hii ana tabia hizo na anataka anichagulie mume,nikimpa green light mbona atapiga vigelegele,wamama wana ile tabia ya kuwa overprotective kwamba wanajua yaliyobora kwa watoto wao aidha awe wa kike au wakiume!Na kama kawaida ya wanawake wote wanapenda kuongea mpaka dini zimesema; kwahio asipopata atakalo lazima atabwabwaja sana tu!

Hapana aisee, wanawake wanajuana tabia kwa kutazamana tu. Mama mtu mzima anaweza akabashiri tabia ya binti kwa kumtazama tu na kumsemesha na ni mara chache mno kukosea. Mara nyingi wamama huwa hawakosei, sema ni ngumu mno kumpata binti perfect.

Kingine ni huwa kuna wivu wa mbali kati ya mama na mtoto wake wa kiume kama ilivyo kwa baba na mtoto wake wa kike. Mama yeyote hawezi kukubali kijana wake aoe mwanamke ambaye atasababisha mwanae amsahau mama yake.
 
Hapana aisee, wanawake wanajuana tabia kwa kutazamana tu. Mama mtu mzima anaweza akabashiri tabia ya binti kwa kumtazama tu na kumsemesha na ni mara chache mno kukosea. Mara nyingi wamama huwa hawakosei, sema ni ngumu mno kumpata binti perfect.

Do u think yeye hana mapungufu?
Muulize baba(mumewe)
 
Wakinamama wanawajua wanawake wenzao, na wana "extra sensory perception". Wanapokukataza kitu wanakutakia mema na wala hawana nia mbaya kwako, ni kwa nia njema tu, labda huyo mama awe mchawi.

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.

That is very true.
 
Back
Top Bottom