Wamama naombeni mnijibu hili!

Wamama naombeni mnijibu hili!

Mimi bro wangu kaoa wakwanza ikawa shida kwa mama walipotengana maza akafurahi. Bro akaoa mwingine maza siku mbili kashamchukia tena huyu anamtaka yulee wa zamani mpaka akamtoa hukooo akamleta home eti anakuja msalimia mwanae ili tu amvuruge bro! Mimi nikamtimua. Na mimi kwa kuwa najua tabia zake hajawahi hata kuniona ama kunisikia na mchumba anasema niangalie umri unaenda... ila ananiogopa pande hizo sijui kwanini anamwonea bro hivi!?
Unafkiri hawawajuagi watoto wao wanajua kabisa huyu nampeleka ninavyotaka na huyu hapana siwezi hata kujaribu kwahiyo anakua mpolee.Sasa kakako neo walee kwamba siwezi pingana na mama. Asikwambie mtu dunia ya leo kichwa ni serikali yako vinginevyo utayumba sana.Wazazi wakati mwingine hutoa maoni kwa kuangalia emotions zao. Lakini wamewahi kuzifikiria prons na cons?Sasa mtoto wako akioa kila siku na kuacha unafurahia kweli? Hawa wajukuu zako unawatakia bright future ahead au ?Mbaya zaidi wataumia wajukuu wakati we ushajizeekea sa ingine ushazikwa.
 
Unajua kuchaguliwa mchumba hata mimi siafiki kwani huko mbele utaja laumu ndugu bure kwamba isingekua baba/mama mtu huyu nisingekua nae. Jambo la muhimu ni kuangalia mambo ya msingi wakati unatafuta mchumba si unajua si kila king'aacho ni dhahabu .

Definatelly mkuu
Wanasema kosea kila kitu sio kuoa au kuolewa u ruin everythng
 
Mimi bro wangu kaoa wakwanza ikawa shida kwa mama walipotengana maza akafurahi. Bro akaoa mwingine maza siku mbili kashamchukia tena huyu anamtaka yulee wa zamani mpaka akamtoa hukooo akamleta home eti anakuja msalimia mwanae ili tu amvuruge bro! Mimi nikamtimua. Na mimi kwa kuwa najua tabia zake hajawahi hata kuniona ama kunisikia na mchumba anasema niangalie umri unaenda... ila ananiogopa pande hizo sijui kwanini anamwonea bro hivi!?

Anaoa yeye au ?wamaza wengine bana duuu
 
Unafkiri hawawajuagi watoto wao wanajua kabisa huyu nampeleka ninavyotaka na huyu hapana siwezi hata kujaribu kwahiyo anakua mpolee.Sasa kakako neo walee kwamba siwezi pingana na mama. Asikwambie mtu dunia ya leo kichwa ni serikali yako vinginevyo utayumba sana.Wazazi wakati mwingine hutoa maoni kwa kuangalia emotions zao. Lakini wamewahi kuzifikiria prons na cons?Sasa mtoto wako akioa kila siku na kuacha unafurahia kweli? Hawa wajukuu zako unawatakia bright future ahead au ?Mbaya zaidi wataumia wajukuu wakati we ushajizeekea sa ingine ushazikwa.

Touching sana
 
Wewe they are goddess hapa duniani usimsikilize uone,halafu acha kumsema mama yako huku lionee
 
Ni kweli mkuu but trust me kosea kila kitu sio kuoa au kuolewa u ruin the whole life the whole career

nakubaliana nawe. tatizo ni namna gani mtu atatambua anakosea kumbuka wanasema "mapenzi ni upofu"
 
nakubaliana nawe. tatizo ni namna gani mtu atatambua anakosea kumbuka wanasema "mapenzi ni upofu"

Ni kweli pia na mm nakubaliana na ww Lkn nafikiri wengi wetu tunakosea kulazimisha kuoa/kuolewa kisa uzuri na Mali(pesa,Majumba,magari n such so)
But kama tukioa kutokana na how much someone makes u happy or anathamini uwepo na furaha yako nadhani ndoa nyingi zingekua na furaha
 
Ni kweli pia na mm nakubaliana na ww Lkn nafikiri wengi wetu tunakosea kulazimisha kuoa/kuolewa kisa uzuri na Mali(pesa,Majumba,magari n such so)
But kama tukioa kutokana na how much someone makes u happy or anathamini uwepo na furaha yako nadhani ndoa nyingi zingekua na furaha

inawezekana ukawa sahihi kabisa katika hilo ila pia kumbuka binadamu hawaeleweki
 
inawezekana ukawa sahihi kabisa katika hilo ila pia kumbuka binadamu hawaeleweki

Charity n revolution both starts at home so ni kuanza na mm na wewe tuanze kueleweka then kila MTU ataeleweka
To be honest n trusteable is strength I blv not weakness,
 
Yote tisa..Kumi"Kosea kila kitu...(either kwa kutosikia ushauri..au.kwa bahati mbaya....).Omba mungu upate mwenza sahihi kwa furaha na maisha yako! Full stop...
 
Back
Top Bottom