FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Kwamba fujo zooote zile, halafu hakuna kilichobadilika, utaahira wa wapi huu? Mtu unashindwaje kusimamia ulichokianzisha?
Serikali ineamua tu kuuchuna. Msiseme serikali yetu joke, walllaaaaKwamba fujo zooote zile, halafu hakuna kilichobadilika, utaahira wa wapi huu? Mtu unashindwaje kusimamia ulichokianzisha?
DuuuhKwamba fujo zooote zile, halafu hakuna kilichobadilika, utaahira wa wapi huu? Mtu unashindwaje kusimamia ulichokianzisha?
Wamerudi upya, sehemu zote sasa ukipita ni kama zamani tu.
Ajabu sana unaanzisha kitu, unashindwa kukisimamia..na huu ndio udhaifu wetu mkubwa, vitu vingi tunaanzisha, majengo, barabara, masoko, mahospitali...lakini hatuwezi kutunza!!!
Kweli kabisa tena kwa sasa wanapanga bidhaa zao chini kabisa.Bora wangewacha na mabanda yao tuu.Wamerudi upya, sehemu zote sasa ukipita ni kama zamani tu.
Ajabu sana unaanzisha kitu, unashindwa kukisimamia..na huu ndio udhaifu wetu mkubwa, vitu vingi tunaanzisha, majengo, barabara, masoko, mahospitali...lakini hatuwezi kutunza!!!
Kwahiyo wazibe njia za wapita kwa miguu halafu wapita kwa miguu wagongwe na magari, hiyo ndio roho nzuri, si ndio?Acheni roho mbaya hao wafanyabiashara wa maduka makubwa ndo wanawaita wamachinga wenyewe kwani wakigoma kuwapa mizigo watauza hao machinga?!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app