Wamachinga wa Msimbazi Kariakoo wanatandika bidhaa chini kwenye njia ya waenda kwa miguu

MANISPAA ziwatungie sheria ndogondogo.......paapuu.....fasta mahakamani...faini au 1 month segerea......kipindi cha kuandaa mashamba nguvu kazi inahitajika.... watatulia tuu...ila hii kuropoka kwenye media, then viyoyozi ofcn,,,,,hakika hawatawaweza......maeneo waliyotengewa yako wapiiiiii???
 
Kwa hiyo tuhitimishe kwamba ni rahisi serikali kudhibiti watu walioko kwenye mfumo maalum, lakini ni rahisi serikali kunyamazishwa na watu wasiokuwa katika mfumo maalum.
 
Ni kawaida yetu huwa hakuna msimamo kuanzia serikalini ambao ni watu
Mpaka maisha ya kawaida kote hakuna maamuzi
Hata wizi huwa hivyo hivyo watu wanatumbuliwa anaajiriwa mwingine nae anaiba
Kwa hiyo huwa hakuna maamuzi magumu nchini pia kuna kuogopana na kuoneana aibu za kijinga
Yule jamaa kuna wakati mwingine unasema kweli alikuwa Mwamba anasimamia anachokiamini whether is right or wrong
 
Makala yupo kimya sijui kimempata nn..machinga waliondoka wanarudi..wale aliokuwa anasema wanauza mizigo ya jumla kwenye meza bado wapo kariakoo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ilikuwa ni kiki za kisiasa tu, hamna kitu mule, hii kazi aliiwezaga Lowassa tu, alitoa miezi 6 wamachinga waondoke, siku ya siku ilivyofika , Kariakoo yote ilikuwa nyeupe
 
Wamerudi upya, sehemu zote sasa ukipita ni kama zamani tu.

Ajabu sana unaanzisha kitu, unashindwa kukisimamia..na huu ndio udhaifu wetu mkubwa, vitu vingi tunaanzisha, majengo, barabara, masoko, mahospitali...lakini hatuwezi kutunza!!!

hamna namna nyie mataka wale matako au?
 
MANISPAA ziwatungie sheria ndogondogo.......paapuu.....fasta mahakamani...faini au 1 month segerea......kipindi cha kuandaa mashamba nguvu kazi inahitajika.... watatulia tuu...ila hii kuropoka kwenye media, then viyoyozi ofcn,,,,,hakika hawatawaweza......maeneo waliyotengewa yako wapiiiiii???
Sheria zipo mzee suala ni utekelezaji tu, mgambo wazuke na kuwasomba Mahakama ya Jiji ndio inahusika na makosa kama hayo.

Mie ningekuwa Makalla ningehakikisha mkurugenzi wa manispaa anafukuzwa hii ni dharau.
 
Achana na mbongo huwez mdhibit ana mbinu nying Sana achen vijana wachape kaz ajira Hamna
 
Sheria zipo mzee suala ni utekelezaji tu, mgambo wazuke na kuwasomba Mahakama ya Jiji ndio inahusika na makosa kama hayo.

Mie ningekuwa Makalla ningehakikisha mkurugenzi wa manispaa anafukuzwa hii ni dharau.
BRO NDIO VIONGOZI WETU HAO....MPANGO KAZI ULIKUWA MZURI SANA....ILA KUUSIMAMIA SIJUI WANASHINDWA WAPI....YAANI KARIAKOO NI KAMA HAWAKUONDOLEWA
 
Nilikuw hapo jana, bado hali kama inatak kujirudshw kuw ya awali
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom