Walokole wengi nuksi sana

Walokole wengi nuksi sana

kama matusi hautaki wakati umeleta masimango kumbe na wewe nuksi pia,
ila ukisikia mtu ni mlokole ujue kuna mengi mabaya ashayatenda kwahiyo anajaribu kurudi kwenye mstari ili aende sambamba na jamii inayomzunguka,ingawa kiufupi ni kwamba tabia ni kama ngozi,kama alikuwa malaya atendelea kimya kimya kwa kutumia jina la yesu,ujambazi,uwongo and the rest,wote huwa wamebadirisha tu mitindo kwa kujifunika joho la ulokole,ila ndani yao they remain to be true them,ndio maana wana kipengere cha ushuhuda...
 
Mtoa mada inaonyesha alikua mlokole baada ya kufukuzwa amekuja kuwateta huku...
Swali: uliwaona wanagegedana.. Au na ww ulikua unagegeda kanisan ndo maana wakakutimua ??
Kwann hukuwapelekea haya malalamiko kwa wachungaji wahusika ??

Acha unafiki rudi kanisan utubu utasamehewa
 
KABLA hujatoa boriti kwenye jicho LA Mwenzako hakikisha lako ni Safi.. Safari ya kwenda Kwa MUNGU ni ngumu kama wewe hautakubali kubeba msalaba wako mwenyewe. BADILI TABIA TUENDE MBINGUNI
 
Kuna ka ukweli hapo. Wengi ujioni wakamilifu kuliko wengine, huwadharau wasio sali kwenye makanisa yao, kama wewe sio mlokole uwezi oa au kuolewa na wakwao.....kama itatokea basi nadra sana tena kwa shinikizo....na kweli kwenye maubiri yao kina Lutheran, na katoliki watakoma
 
Inategemea umekutana na walokole wa wapi! Walokole wengi wa makanisa ya Kipentekoste na Assemblies of God ndio wana nyodo sana. Wao hupenda kujiona ni bora kuliko watu wengine. Ila ukikutana na walokole wa Lutheran au Wakatoliki huwa ni watu poa sana...
hivi lutheran huwa kuna walokole, nawafahamu hawa wa katoliki wanaojitenga. mwaka sasa sijakanyaga kanisani kwangu lutheran ngoja nijipange chrismass niende.
 
Waloloke, wakatoliki karismatiki, waislam sala 5 na wasabato ni watu wabaya sana. Zaidi ya unavofikiria. Ni wachoyo na wana roho na chuki za kichoyo. Nakuambia kutoka kwa experience.
Hawa watu wa dini dini ni watu wabaya sana.
Bora sisi tusio na dini lakini tunaishi ktk misingi ya "RIGHT na WRONG"
 
Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
Kwa iyo watakaokutukana ni walokole?
 
Waloloke, wakatoliki karismatiki, waislam sala 5 na wasabato ni watu wabaya sana. Zaidi ya unavofikiria. Ni wachoyo na wana roho na chuki za kichoyo. Nakuambia kutoka kwa experience.
Hawa watu wa dini dini ni watu wabaya sana.
Bora sisi tusio na dini lakini tunaishi ktk misingi ya "RIGHT na WRONG"
Uko sahihi kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom