Waliosoma Tosamaganga High School

Waliosoma Tosamaganga High School

Mkuu nyie mlichaguliwa wababe tupu
Ilikua ya mwisho kuchagulia watu asilimia 90 toka kanda ya kaskazini yaani darasa lilijaa ww Arusha,Moshi,Tanga,Morogoro na Dar es salaam. Wachache six ya 2008 walitoka Iringa na Mbeya kama sikosei kwenye watu wote combi zote wa Iringa na Mbeya hawakuzidi 5
 
Hahahahah ama kweli mtu aliyepita tosamaganga ana mengi aliyojifunza kutokana na life style ya pale.
>Kipindi cha mitihani halafu ikutwe mvua inanyesha huwa ni balaa ngazi za kule jikoni kwani ni mtiti mbaya zaid ukute ni kitu cha nyalii...hahhaha
>Mgomo wa tar 30 june 2012 hii nayo sitasahau pale mabomu yalipoanza kulindima na watu tukapoteana msituni,baadaye tunajikuta mwingine hana kiatu kimoja,mwingine peku hahahahaha hii siku ni ukumbisho tosha maishani mwangu kwani shulla hakuamini kilichokuwa kikitokea
>Aiseeeee yako mengi ninayo yakumbuka toka ule mlima wa tosa
2010 - 2012
Mkuu mimi nimemaliza form six 2010 .nijuze nini kiliwakuta.

from kingty
 
Nulikua natamani tu kumaliza shule ya kiboya sana ila watu mnaipa sifa isizo stahili tuache unafiki 2009-2011,Pcm
 
Hamna kitu nimesoma advance, uchafu na maisha ka yale ni kuyakemea sio kusifia
 
Tosa ni shule nzuri sana kama utakuwa umejitambua wakati unasoma. Juhudi zako ndizo zitakazokutoa, I was there in 2001-2003 PCM. I enjoyed a lot!
 
Aaaahhh nmekumbuka mbali sanaaa

Enzi hizo Tosa boys wanawachanganya watoto WA cagrielo girls na Iringa girls...

Ila watoto WA Cagrielo tulikuwa wakali sanaaaa
Hehehe mkuu kujisifia huku kungeambatana na kapicha ingenoga sana
 

Nimefurahi sanaaaaaaa kukuta sred hii humu ndani.

Nmepita apo 2014-16, ukintajia mzee ugulumo alikuepo wakat tunamaliza 6 sitamsaau kwanza mtoto wake alikua roommatê wangu pale ujamaa #14 (kwa sas npo nae chuo MD2 amentangulia mwãka mmoja) pili, alinpaga adhabu ya kukimbia (mbele ya block za ujamaa na mapinduz) mm na wenzangu, cha ajabu nkaànguka, looh hatari sanaaaaaaa nkarudi dom kulala.

Uyo inyasi, ayubu na kilasi wakawa wababe wa shule. One week bfr necta prof ndalichako akafanya ziara..daah miss it much tosaaa nation.
Inyasi hatunaye. [R.i.P]
 
Back
Top Bottom