codes
JF-Expert Member
- Jan 13, 2015
- 360
- 547
Hahahahaamkiona majina yamebandikwa mnaongezea na peni majina ya watu ambao kwao E.M.O ni ndoto![]()
Hahahahaamkiona majina yamebandikwa mnaongezea na peni majina ya watu ambao kwao E.M.O ni ndoto![]()
We class mate Wangu....Tuliosoma miaka ya 97-2000, nakumbuka nikiwa form one kipindi cha Zitto Kabwe akipanda pale meeting ground anapiga ngeli sana nabaki natoa macho tu! Kweli nilipenda sana Tosa hadi nilipata ONE, salamu kwa Lyunyiliko Komba, Steve, Nicholaus Haule, Sadati Kalolo, George Binde, Salvatory Kyakwe bila kumsahau mwl wa hesabu enzi hizo Ugulumo na mzee wa Idete Fyudo.

Aliyekua wakuitwa Mwl Inyasi kwa sasa ni marehemu yapata mwezi sasa.
asee mungu amlaze mahali pemanakumbuka aliniambia comb ninayotaka kusoma itangharimu sana na alinukuu kwa kusema ni sawa na mtu aliyetoka kubeba gunia la nyasi na kuja kubeba gunia la misumari sikumuelewa kabisa juu ya hii kauli yake pale pale kwa kumuonyesha dharau ni ka mwambia tanzania kuna high skul nying na sitokanyaga ata darasani....ahaaa alicheka sana na hakuniona tena na baadaye yule mkuu alikuja illboru na kunikuta ....

Kijana kumbe upo we c ulkua mkondo wa PCB 1&2 na monta wenu Sijaona.Hehehe mkuu kujisifia huku kungeambatana na kapicha ingenoga sana
Hehehe mzee baba hujakosea, ila sijaona umonita uliishia kwa wakyuba(form 5).Kijana kumbe upo we c ulkua mkondo wa PCB 1&2 na monta wenu Sijaona.
C akaja homeboy wako bukwimbaHehehe mzee baba hujakosea, ila sijaona umonita uliishia kwa wakyuba(form 5).
Ebu mkuu nikujue wewe nani vile?
Hahaa vipi half mile, idete, junction tanangozi?Nakumbuka tu msiwasi na ipamba over
mimi nilikuwa nakaa azimio room no 42 chini mwisho kabisaIpo ukiingia tu ground floor unakata kulia then kule mwisho kushoto. Dirisha lake liko upande wa half mile. Kwa nyuma kuna bathrooms
Mi Mwenge room sikumbukimimi nilikuwa nakaa azimio room no 42 chini mwisho kabisa
Michael lupilya bukwimba.C akaja homeboy wako bukwimba
Hiyo room nimekaa mwaka 2006 mwezi wa nne nikiwa form five ,ukiingia ndani kitanda cha kwanza kulia juu dah zamani sanamimi nilikuwa nakaa azimio room no 42 chini mwisho kabisa
Hamna bana me sio mfupi ivo na sio mtu wa milegezo km msingidani yule.Michael lupilya bukwimba.
Ebu sema wewe nani kwanza, usikute wewe ni hidali musa
Hehe basi utakuwa yule jamaa aliekuwa anakula vyuraHamna bana me sio mfupi ivo na sio mtu wa milegezo km msingidani yule.
Oya...kininga hapa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimefurahi sanaaaaaaa kukuta sred hii humu ndani.
Nmepita apo 2014-16, ukintajia mzee ugulumo alikuepo wakat tunamaliza 6 sitamsaau kwanza mtoto wake alikua roommatê wangu pale ujamaa #14 (kwa sas npo nae chuo MD2 amentangulia mwãka mmoja) pili, alinpaga adhabu ya kukimbia (mbele ya block za ujamaa na mapinduz) mm na wenzangu, cha ajabu nkaànguka, looh hatari sanaaaaaaa nkarudi dom kulala.
Uyo inyasi, ayubu na kilasi wakawa wababe wa shule. One week bfr necta prof ndalichako akafanya ziara..daah miss it much tosaaa nation.
Alikuwa anazingua kinoma noma jamaa yulemzena
Mwanangu umekaa namba 100 we nani wew..mi nilikuwa 99Wapi ujamaa room no 12 walumendago family....
Room 100 old mandela kitivo...
Fyudooooooooooo
Nilikuwepo hii broAcha kabisa ,siku yenyewe tunamaliza tukafukuzwa maana hakuna darasa lililokua na vurugu kama six iliyomaliza 2008 ,kwanza mpaka tunamaliza kila muhula anakufa mtu mmoja kwa vurugu au kuugua ,dah tumepiga mpaka vita na wanakijiji wa Ipamba acha kabisa sisi tuna mawe wao mapanga na mishale ngumi zimepigwa kitu cha police na hospitalini pale Ipamba ,dah akafariki mwanafunzi mmoja r.i.p
Basi darasa letu utakua unalifahamu acha kabisa dah ,sema nina bahati mbaya since primary,o level, a level ,chuo ,kazini kote nakutana na vichwa vibovu tuuuuu dahNilikuwepo hii bro