Waliosoma Tosamaganga High School

Waliosoma Tosamaganga High School

nakumbuka aliniambia comb ninayotaka kusoma itangharimu sana na alinukuu kwa kusema ni sawa na mtu aliyetoka kubeba gunia la nyasi na kuja kubeba gunia la misumari sikumuelewa kabisa juu ya hii kauli yake pale pale kwa kumuonyesha dharau ni ka mwambia tanzania kuna high skul nying na sitokanyaga ata darasani....ahaaa alicheka sana na hakuniona tena na baadaye yule mkuu alikuja illboru na kunikuta ....
Hehehe huyu bila shaka ni JJ shulla
 
Hivi kwanini wengi waliosoma hizi shule za Jinsia moja wanaongoza sana kwa Mahusiano ya kingono na jinsia moja?
 
Hahahahah ama kweli mtu aliyepita tosamaganga ana mengi aliyojifunza kutokana na life style ya pale.
>Kipindi cha mitihani halafu ikutwe mvua inanyesha huwa ni balaa ngazi za kule jikoni kwani ni mtiti mbaya zaid ukute ni kitu cha nyalii...hahhaha
>Mgomo wa tar 30 june 2012 hii nayo sitasahau pale mabomu yalipoanza kulindima na watu tukapoteana msituni,baadaye tunajikuta mwingine hana kiatu kimoja,mwingine peku hahahahaha hii siku ni ukumbisho tosha maishani mwangu kwani shulla hakuamini kilichokuwa kikitokea
>Aiseeeee yako mengi ninayo yakumbuka toka ule mlima wa tosa
2010 - 2012
Mgomo ulifanyika 2011 mkuu. Nilishiriki nikiwa form 6, na kuhitimu feb 2012
 
ahaaa ticha ailwalisha matango pori nin....daud
Mjinga sana yule hajui halafu analazimisha tujue

Sasa wakaja wakatuvuruga wakatuletea wamama flani ivi wakyuba eti watupigishe mechanics form five..kumbe nao ilikuwa chenga
 
Mjinga sana yule hajui halafu analazimisha tujue

Sasa wakaja wakatuvuruga wakatuletea wamama flani ivi wakyuba eti watupigishe mechanics form five..kumbe nao ilikuwa chenga
ndo yale st joseph kufundishwa mitaala ya india ahaaaa
 
kilasi marufu chogo jamaa huyu sikuelewa pigo zake wakat mkuu shulla alnipa kbali ajabu nikakutana naye illiboru...
Hehe shulla wababe wake ni form 6 wa 2012 waliomtilia kidume cha mgomo 2011 akataka kulia asubuhi asubuhi kama mtoto hata kuongea hawezi
 
Yaani mimi dah nilikaa room namba 42 kisha nikahamia Muungano (bweni) ,kwenda Ipamba nilikua namba moja na kila weekend Kalenga au Iringa mjini kulinihusu haa haaa
Hehehe kama ni 42 azimio basi ulikuwa dom mate mimi 47 complex azimio.

Unaenda kukosha ipamba na town!.. tosa boy buana mambo yenu
 
Hehe shulla wababe wake ni form 6 wa 2012 waliomtilia kidume cha mgomo 2011 akataka kulia asubuhi asubuhi kama mtoto hata kuongea hawezi
ahaaaa akuchukua carina yake kuwahi home kwake kweli maana nilisikiaga hzo story pale july 2012 ambapo shule ilifungwa kwa ajili ya kupisha sensa na walkuwa wanafungua 23.10.2012
 
Back
Top Bottom