Waliosoma Tosamaganga High School

Waliosoma Tosamaganga High School

chama lipo poA lile kijana nenda kasome pale...pale ndio njia panda ya chuo kikuu......inabeba idadi kubwa sana ya watu na asilimia 95 ya hao hufaulu.....ukifeli labda uwe umegoma kujisomea......
utakutana na mlunza mpishi celebrity. it is a good place to learn, i was there and graduated in 2012 PCM
 
Nimepitia comment nyingi za wanatosa humu naona mengi yanayoandikwa ni ya early 2000 kuja 2010 na kuendelea.Lakini wale member wa 90's naona hamna.Enzi za mzee DUDU.Hiyo ndiyo ilikuwa TOSA ya ukweli.Huyo mzee alikuwa balaa.Mkifika Njuka mnatandikwa fimbo tatu tatu ofisini kwa HM kuwakaribisha.Lengoo kuwajenga hofu.Mie nilikuwa pale 91-93 Pcm ujamaa no.1.Sitasahau mgomo wa 92 tulifanikiwa kumng'oa Dudu pale lkn ilitucost.Yule mzee alipelekwa Mkwawa high sch.Alikufa baada ya muda mfupi kifo cha ghafla.Nina mengi ya kusimulia basi tu.kuanzia manesi wa Ipamba, Walimu enzi za Mtesigwa mzinguaji wa phy kila siku anafundisha mechanics mpk mnamaliza usipokomaa mwenyewe basi.Enzi hizo Ugulumo alikuwa kijana anagindisha hesabu Olevel.alikuwa na demu wake mzuri kinoma naye mwl pekee wa kike.try to imagine wanafunzi walivyokuwa wakimmendea.Half mile usiseme.Ukienda unavua nguo nje ndo uingie.Zoo wakija lzm mtoboe matairi ya gari ili wasiondoke.Jmani Wahenga wa enzi hizo karibuni mtukumbushe matukio ya enzi za DuDu.
 
Nimepitia comment nyingi za wanatosa humu naona mengi yanayoandikwa ni ya early 2000 kuja 2010 na kuendelea.Lakini wale member wa 90's naona hamna.Enzi za mzee DUDU.Hiyo ndiyo ilikuwa TOSA ya ukweli.Huyo mzee alikuwa balaa.Mkifika Njuka mnatandikwa fimbo tatu tatu ofisini kwa HM kuwakaribisha.Lengoo kuwajenga hofu.Mie nilikuwa pale 91-93 Pcm ujamaa no.1.Sitasahau mgomo wa 92 tulifanikiwa kumng'oa Dudu pale lkn ilitucost.Yule mzee alipelekwa Mkwawa high sch.Alikufa baada ya muda mfupi kifo cha ghafla.Nina mengi ya kusimulia basi tu.kuanzia manesi wa Ipamba, Walimu enzi za Mtesigwa mzinguaji wa phy kila siku anafundisha mechanics mpk mnamaliza usipokomaa mwenyewe basi.Enzi hizo Ugulumo alikuwa kijana anagindisha hesabu Olevel.alikuwa na demu wake mzuri kinoma naye mwl pekee wa kike.try to imagine wanafunzi walivyokuwa wakimmendea.Half mile usiseme.Ukienda unavua nguo nje ndo uingie.Zoo wakija lzm mtoboe matairi ya gari ili wasiondoke.Jmani Wahenga wa enzi hizo karibuni mtukumbushe matukio ya enzi za DuDu.
haa haa ila zamani shule za boarding zilikuwa na vituko
 
Namkumbuka Mr Mlwale mwl na mpiga picha mashuhuri wa Tosa.Ni kitambo sana.Sijui yuko wapi sasa hv.
 
Namkumbuka Mr Mlwale mwl na mpiga picha mashuhuri wa Tosa.Ni kitambo sana.Sijui yuko wapi sasa hv.
Pia kulikuwa Na mwl Mwakabanje wa chemistry
mazingira yakoje

ndo nn tena mdau

Enzi za kwenda idete kwa machuwa
Ujamaa room no 12 walumendago family
Egm walikuwa wanakula sana coz walikuwa wanasolve sana hesabu
Kitivo room no 100 old Mandela block
Mesini tulikuwa tunakula sumu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukio jingine ambalo siwezi kulisahau tulipofika Tosa 1991 tukiwa Njuka.Enzi hizo za Hm Dudu kulikuwa na imani kuwa kila mwaka kuna Njuka lzm afe na aliyekuwa anahisiwa ni huyo Mzee Ili kuimarisha utawala wake ambao ulikuwa wa kidikteta ajabu.kwa hiyo alikuwa alikuwa akija kila mmoja anatafuta pa kijificha.Siku moja Manjuka tulipewa kazi kupanga kuni jikoni.Akaja huyo Mkuu akasimama akatutazamaa kama dk 15 bila kusema chochote halafu ghafla akampoint jamaa mmoja kwa kidole."you why are you so black than the rest?" Jamaa alikuwa mnyakyusa wa Mbeya lkn wazazi wake walikuwa wanaishi Dar.Jamaa alichanganyikiwa sana hakuweza kuendelea na ile kazi na jioni hakula na wala hakwenda kipiga bundi.Kila saa alikuwa anajisemea tu "da jamaa ndo kanichagua niwe kafala? tulimfariji usiku mzma jamaa haluelewa.Asb jamaa akawa ametoweka na begi lake!
 
Nimepitia comment nyingi za wanatosa humu naona mengi yanayoandikwa ni ya early 2000 kuja 2010 na kuendelea.Lakini wale member wa 90's naona hamna.Enzi za mzee DUDU.Hiyo ndiyo ilikuwa TOSA ya ukweli.Huyo mzee alikuwa balaa.Mkifika Njuka mnatandikwa fimbo tatu tatu ofisini kwa HM kuwakaribisha.Lengoo kuwajenga hofu.Mie nilikuwa pale 91-93 Pcm ujamaa no.1.Sitasahau mgomo wa 92 tulifanikiwa kumng'oa Dudu pale lkn ilitucost.Yule mzee alipelekwa Mkwawa high sch.Alikufa baada ya muda mfupi kifo cha ghafla.Nina mengi ya kusimulia basi tu.kuanzia manesi wa Ipamba, Walimu enzi za Mtesigwa mzinguaji wa phy kila siku anafundisha mechanics mpk mnamaliza usipokomaa mwenyewe basi.Enzi hizo Ugulumo alikuwa kijana anagindisha hesabu Olevel.alikuwa na demu wake mzuri kinoma naye mwl pekee wa kike.try to imagine wanafunzi walivyokuwa wakimmendea.Half mile usiseme.Ukienda unavua nguo nje ndo uingie.Zoo wakija lzm mtoboe matairi ya gari ili wasiondoke.Jmani Wahenga wa enzi hizo karibuni mtukumbushe matukio ya enzi za DuDu.

Heshima yako
 
Bila Kusahau Mgahawa wa Masister Ukiitwa Kontolengo.Waliokuwa A level Miaka ya 88 hadi 90 Kulikuwa na Walimu wa Kemia na Physics toka Urusi.Mmojawapo akiitwa Shabunin,alikuwa anakuja na Chakula Tu,anashusha ubaoni,da!!Na TX toka Mji wa Manchester,akifundisha Hesabu.Mto Ruaha ulikuwa ukifurika Maji miezi ya April,lazima utaskia mtu kajitupa mtoni!Form 6 1990 wapi Baharia,Wapi Muyanja,wapi Power..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nakumbuka 2012 ndo nimetoka hapo dah sitasahau maisha ya tosa yalikuwa noma sana....wapi sifongo wapi mzee mlunza...wapi inyasi...wapi chogo aiseee it was so amaizing kuna jamaa alikuwa anakula wadudu ni balaaa....wenzangu wa EGM mpo aisee

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Back
Top Bottom